Urusi imezikatia gesi nchi za Poland na Bulgaria. Putin alivyosema walipe kwa ruble hakuwa anatania

We
Raia wa hayo mataifa wakikusikia watakupiga mawe,recession inaingia marekani,mfumuko wa Bei ulaya kote
We jamaa akili huna.
Unafananisha madhara walopata Urusi na EU??
Yani unafananisha madhara aliyopata Russia na Germany, France na washirika!?
AU HUKUELEWA SWALI!?
NARUDIA SWALI,KATI YA EU NA RUSSIA SIO UKRAINE NA RUSSIA NOP KATI YA EU NA RUSSIA NANI KAATHIRIKA KIUCHUMI MPK SASA!?
MIND YOU RUSSIA RUBLE IMESHUKA THAMANI ZAID YA 30%, FOREIGN RESERVE IMEKUA FROZEN,MATAJIRI MALI ZAO KUSHIKILIWA.
NDUGU UNAFANANISHA MADHARA HAYO NA EU??
 
Wakipata mbadala ndio uje uchangie
Halafu URUSI kakurupuka alikwambia nani!!?
Upe muda nafasi huku ukiomba UHAI na UZIMA ndio utaelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa unaweka ushabiki mbele kuliko uhalisia.
Unakosea japo hoja zako zatakiwa kuheshimiwa.
We unafikiri China muda mwingine kutumia busara na kuufyata ni mjinga!?
Kitu kikubwa dunia ya sasa ni Uchumi.
Ukishakua mdhaifu ktk uchumi watu hawashughuliki na ww.
Uchumi wa Russia unaanguka unadhani baadae Western powers watakua na mpango nae!?
 
Unafanya nishindwe kuendeleza mjadala na ww.
Ruble imeshuka thamani mbele ya Dollar,euro na pound.
Hivi habari huna!?
Dollar,euro na pound thamani zake ziko pale pale.
Labda km huangalii habar za biashara za kimataifa mzee.
Km hali ya uchumi ingekua nzuri Russia wananchi wasingekua wakihamia Tbilisi Georgia.
Mataifa ya EU ikiwemo France ns Germany imeweka ilani ya kuruhusu wakimbizi wa Ukraine kupewa nafasi za ajira na kuhudumiwa km raia wa kawaida still unataka kubishana na watu km hao!?
EU Wana bank yao ya kuback up uchumi je Russia anategemea a back up uchumi kwa msaada upi!?
Mind you China amejitoa kumpa mkono.
 
Ruble gani iliyoshuka Thamani 30%!?...bado una habari za miezi miwili iliuopita!?...fanya assessment EU itapoteza dola/euro ngapi ngapi kwa kukosa nishati za Russia!?
 
Nasikia Ujerumani naye Jana kaliwa panga , ila sijui Kama ni habari za uhakika.
 
Ruble gani iliyoshuka Thamani 30%!?...bado una habari za miezi miwili iliuopita!?...fanya assessment EU itapoteza dola/euro ngapi ngapi kwa kukosa nishati za Russia!?
Khaa ht habari hutizami jinsi uchumi na sarafu ya Russia inavyozorota!?
Pole sina Cha kubishana hapo.
NARUDIA hayo mataifa yameshajipanga ndugu kwa lolote litakalotokea.
Na wiki ilopita Ursula Von der leyen aliweka kikao kutenga fungu benki ya EU ya kubambana na economic tragedy yeyote itakayotokea.
JE RUSSIA BACK UP YAKE IKO WAPI!?
 
Ruble umepanda Thamani,imerudia Thamani yake kabla ya vikwazo,maana baada ya vikwazo iliporomoka,Hilo funguo wanalotenga EU ndizo miongoni mwa hasara zenyewe,unadhani urusi aliyeanzisha Vita alikua hajajipanga!?
 

Mkuu wakati vita anaanza $ moja ilikua sawa na rouble 110, kwa rate ya leo $1 ni sawa na rouble 71!! Kwa uelewa wako ni pesa ipi inashuka thamani hapo?
 
Ruble umepanda Thamani,imerudia Thamani yake kabla ya vikwazo,maana baada ya vikwazo iliporomoka,Hilo funguo wanalotenga EU ndizo miongoni mwa hasara zenyewe,unadhani urusi aliyeanzisha Vita alikua hajajipanga!?
Hee hatari hi!!!
Ruble irudi thamani ilhali vyanzo vya vipato vimeporomoka!?
Unajisikia unachoongea bro!!??
Angekua amekuja kajipanga wananchi wasingekua wanaitoroka nchi kukwepa ugumu wa maisha.
Hali ya wananchi Russia ni tete.
Usisahau pia vita ikiisha kuna gharama zake.
Je Russia kwa kuzuiliwa hazina ya nje na matajiri wake kuwekewa kibano fedha za kurekebisha yote atazitolea wapi?!
 
Mkuu wakati vita anaanza $ moja ilikua sawa na rouble 110, kwa rate ya leo $1 ni sawa na rouble 71!! Kwa uelewa wako ni pesa ipi inashuka thamani hapo?
Nitafuatilia usemalo na kupata uhakika.
$ haijawahi kushuka thamani labda useme ruble imepanda thamani juu ya $.
Vipi kuhusu nyenzo zingine za kiuchumi!?
Mpk sasa Kuna wamiliki wa viwanda kadhaa ikiwemo vya sigara wamekimbia nchi na kufunga viwanda.
Hilo unalizungumziaje kiuchumi!?
 
Hebu Google ruble appreciates...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…