Urusi ina Ubalozi wake hapa nchini; je, imewekeza nini Tanzania?

Urusi ina Ubalozi wake hapa nchini; je, imewekeza nini Tanzania?

Pesawebz

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2021
Posts
242
Reaction score
344
Hello wakuu,

Naomba kutangaza my interests! Mimi ni mmoja wa watu ambao kama mambo yataenda sawa sawia, basi mwaka huu nitaenda Urusi kusoma my bachelor

Hivyo huu uzi hauhusiani na mihemko ya kivita au upenzi wowote ule!

Ipo hivi, Urusi Ina embassy hapa kwetu, tafsiri yake kuna mambo fulani tunahusiana nao. Je, kuna kampuni zozote za kirusi hapa nchini? Au nini Urusi imewekeza hapa mbali na kuwa na embassy?

Nataka nikishamaliza shule angalau nije kuomba kazi kwenye kampuni hizo hapa nchini!

Asanteeee
 
Wakati unasubiria makibu ya wana, langu ni moja.

Jiandae kurudi nchini ukiwa mlevi mbwa.

Na hili ni ngumu kulikwepa, huko ni baridi mno so kilaji kwao ni kama chai kwa wachaga na wameru au watu wa nyanda za baridi.
 
Tz imewekeza nini Urusi?

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Tuna-import Crude Oil, Ngano, Silaha, na Mbolea kutoka Urusi.

Urusi Wana kiwanda Chao au mgodi au mashamba mkoani Iringa, Miradi siyo ya Serikali ya Urusi Bali Mmiliki wake ni Mrusi na Iringa ndiyo mkoa wenye waumini wengi sana wa dhehebu la Orthodox nchini
 
Tuna-import Crude Oil, Ngano, Silaha, na Mbolea kutoka Urusi.

Urusi Wana kiwanda Chao au mgodi au mashamba mkoani Iringa, Miradi siyo ya Serikali ya Urusi Bali Mmiliki wake ni Mrusi na Iringa ndiyo mkoa wenye waumini wengi sana wa dhehebu la Orthodox nchini
Wewe Una ongopa hapa!!..Unajua kwamba hakuna Mrusi ana wekeza nnje ya Urusi bila kuwa na fedha na utashi wa serikali ya Putin!!..
 
Wengine wako Chunya-Mbeya wanachimba madini (dhahabu)
Pia muache kuwa fanisha wa Ukraine/Poland/Russia nimefanya biashara za Mashine na wa Poland na Ukraine wengi walikuwepo Mbeya, Singida,Iringa kanda ya Ziwa pia wa Russia ni wachache labda wengi wapo pale sea view!!..
 
Hello wakuu,

Naomba kutangaza my interests! Mimi ni mmoja wa watu ambao kama mambo yataenda sawa sawia, basi mwaka huu nitaenda Urusi kusoma my bachelor

Hivyo huu uzi hauhusiani na mihemko ya kivita au upenzi wowote ule!

Ipo hivi, Urusi Ina embassy hapa kwetu, tafsiri yake kuna mambo fulani tunahusiana nao. Je, kuna kampuni zozote za kirusi hapa nchini? Au nini Urusi imewekeza hapa mbali na kuwa na embassy?

Nataka nikishamaliza shule angalau nije kuomba kazi kwenye kampuni hizo hapa nchini!

Asanteeee
Makombora 😂😂😂😂

Moja ya Nchi ya hovyo ni hiyo hata Tanzania inavyoishobokea huwa sielewi..

Hakuna cha maana wamefanya hao ni maskini tuu ,wao wanachojali ni makombora na sio maisha ya watu.
 
Hello wakuu,

Naomba kutangaza my interests! Mimi ni mmoja wa watu ambao kama mambo yataenda sawa sawia, basi mwaka huu nitaenda Urusi kusoma my bachelor

Hivyo huu uzi hauhusiani na mihemko ya kivita au upenzi wowote ule!

Ipo hivi, Urusi Ina embassy hapa kwetu, tafsiri yake kuna mambo fulani tunahusiana nao. Je, kuna kampuni zozote za kirusi hapa nchini? Au nini Urusi imewekeza hapa mbali na kuwa na embassy?

Nataka nikishamaliza shule angalau nije kuomba kazi kwenye kampuni hizo hapa nchini!

Asanteeee
Labda, sayansi ya uranium, matumizi ya sumu, uwongo, ukatili na ..m Mhhhhhh.
 
Tuna-import Crude Oil, Ngano, Silaha, na Mbolea kutoka Urusi.

Urusi Wana kiwanda Chao au mgodi au mashamba mkoani Iringa, Miradi siyo ya Serikali ya Urusi Bali Mmiliki wake ni Mrusi na Iringa ndiyo mkoa wenye waumini wengi sana wa dhehebu la Orthodox nchini
Tanzania inanunua mafuta urusi tangu lini?
 
Back
Top Bottom