Urusi kaanza mashambulizi ndani ya mji Mkuu wa Ukraine, Kyiv

Urusi kaanza mashambulizi ndani ya mji Mkuu wa Ukraine, Kyiv

Mbaya zaid ilo jiji la Kiev lilikuwa under protected na mfumo ya ulinzi ya ujerumani

Alichofanya Urusi ni kutanguliza kombora moja liloweza Kupiga jamming mifumo yote ya ulinzi wa anga na kisha yakaja makombora ya yaliopiga makazi walioficha mamluki na wakufunzi kutoka West


Kuna video jana ilitamba sana misseli intercept ya Ukraine ikilipuka yenyewe angani
Halafu majuzi si alisema kabisa ana uwezo wa kujam mifumo yote ya ulinzi ya taifa lolote
 
Hawa wakae wazungumze, wayajenge. Hawa ni ndugu pia jirani. Wasiingie kwenye mtego wa kuchonganishwa na mabepari.
Kwa mtazamo wangu. Wote wanapoteza.
Huu ushauri unamfaa muigizaji Zelensky. Kalianzisha kwa kutegemea West watamuunga mkono, wote wamemkimbia.
 
Saivi analalama kwamba G7 wawe partners and not obsevers jamaa wanahanya maana Putin hana utani, naona haka kateule kapya ka CDFka UK kanachokitafuta soon katakipata
 
Back
Top Bottom