Urusi kaanza mashambulizi ndani ya mji Mkuu wa Ukraine, Kyiv

Halafu majuzi si alisema kabisa ana uwezo wa kujam mifumo yote ya ulinzi ya taifa lolote
 
Hawa wakae wazungumze, wayajenge. Hawa ni ndugu pia jirani. Wasiingie kwenye mtego wa kuchonganishwa na mabepari.
Kwa mtazamo wangu. Wote wanapoteza.
Huu ushauri unamfaa muigizaji Zelensky. Kalianzisha kwa kutegemea West watamuunga mkono, wote wamemkimbia.
 
Saivi analalama kwamba G7 wawe partners and not obsevers jamaa wanahanya maana Putin hana utani, naona haka kateule kapya ka CDFka UK kanachokitafuta soon katakipata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…