Uvamizi huwa unafanywa kwaajili ya kupora rasilimali za nchi husika.Je Tanzania nasi tujitwalie Burundi na Rwanda zote kwa vile wakati wa Mjerumani tulikuwa nchi moja?
pk mwenyewe anatamani walau aichukue karagwe na ngara na huko goma mashariki mwa kongo tz itawezaje kuitwa rwanda na burundi? Kwanza tz haina tamaa ya kujiongezea maeneo kwenye nchi za watu ila wakileta uchokozi wanavamiwa tu na kuzimega hizo nchi.Urusi imeonyesha mfano kuwa taifa moja linaweza kumega ardhi ya Taifa jingine na kuifanya yake, Venezuela naye sasa anafuata, anataka kumega nusu ya Guiyana ajichukulie. Hii lawlessness itaishia wapi, Je Tanzania nasi tujitwalie Burundi na Rwanda zote kwa vile wakati wa Mjerumani tulikuwa nchi moja?
Issue kubwa ni hii tabia mbaya kuvamia majirani na kujimegea ardhi zao. Urusi ni nchi yenye ardhi kubwa sana kuliko nchi nyingine yoyote duniani, lakini bado wana tamaa ya kujimegea ardhi kutoka nchi ndogo kama Ukraine. Dunia tunaelekea pabaya!pk mwenyewe anatamani walau aichukue karagwe na ngara na huko goma mashariki mwa kongo tz itawezaje kuitwa rwanda na burundi? Kwanza tz haina tamaa ya kujiongezea maeneo kwenye nchi za watu ila wakileta uchokozi wanavamiwa tu na kuzimega hizo nchi.
kwa urusi inataka kurudisha nchi zake zote zilizokuwa jamhuri, USSR, labda kama atataka kumega zile nchi ambozo hazikuwa shirikisho lake.Issue kubwa ni hii tabia mbaya kuvamia majirani na kujimegea ardhi zao. Urusi ni nchi yenye ardhi kubwa sana kuliko nchi nyingine yoyote duniani, lakini bado wana tamaa ya kujimegea ardhi kutoka nchi nndogo kama Ukraine. Dunaina tunaelekea pabaya!
Hivi unaielewa Rwanda vuzuri?Je Tanzania nasi tujitwalie Burundi na Rwanda zote kwa vile wakati wa Mjerumani tulikuwa nchi moja?
Vipi mazayuni?Urusi imeonyesha mfano kuwa taifa moja linaweza kumega ardhi ya Taifa jingine na kuifanya yake, Venezuela naye sasa anafuata, anataka kumega nusu ya Guiyana ajichukulie. Hii lawlessness itaishia wapi, Je Tanzania nasi tujitwalie Burundi na Rwanda zote kwa vile wakati wa Mjerumani tulikuwa nchi moja?
Stori za vijiweni ukute hata nyakanazi hujawai kupavukaHivi unaielewa Rwanda vuzuri?
Tz inaweza kuishia kumegwa kilaini tu
Haya ndio majibu ya thread, mjadala umeisha.Ila Uingereza kuvikalia visiwa vya Falk Island ni sawa?
Ufaransa mpaka Leo kuishikilia Mayotte ni sawa?
Marekani na Hawaii, unataka kusema nini?
Israel na maeneo ya Wapalestina?
China na Tibet, Xinjiang, Macau?
Angola na Jimbo la Kabinda?
Wewe kwa maono yako mafupi unazani yameanza kutokea Jana?
Dunia haipo fair na mwenye nguvu ndio mtawala.
Rwanda na Burundi zilikuwa ni sehemu za Tanzania ya leo wakati tukiitwa Deutsch-Ostafrika; je na sisi pia tuzirudishe kwa nguvu eti kwa sababu za kihistoria?kwa urusi inataka kurudisha nchi zake zote zilizokuwa jamhuri, USSR, labda kama atataka kumega zile nchi ambozo hazikuwa shirikisho lake.
Greenland na CanadaIla Uingereza kuvikalia visiwa vya Falk Island ni sawa?
Ufaransa mpaka Leo kuishikilia Mayotte ni sawa?
Marekani na Hawaii, unataka kusema nini?
Israel na maeneo ya Wapalestina?
China na Tibet, Xinjiang, Macau?
Angola na Jimbo la Kabinda?
Wewe kwa maono yako mafupi unazani yameanza kutokea Jana?
Dunia haipo fair na mwenye nguvu ndio mtawala.
Ufaransa gani anayeishikilia Mayotte? Mayotte walipiga kura ya kujiondoa Commoro, wakajiondoa Afrika na kujiunga Ufaransa.Ila Uingereza kuvikalia visiwa vya Falk Island ni sawa?
Ufaransa mpaka Leo kuishikilia Mayotte ni sawa?
Marekani na Hawaii, unataka kusema nini?
Israel na maeneo ya Wapalestina?
China na Tibet, Xinjiang, Macau?
Angola na Jimbo la Kabinda?
Wewe kwa maono yako mafupi unazani yameanza kutokea Jana?
Dunia haipo fair na mwenye nguvu ndio mtawala.
Burundi ni ya kujichotea tu kwanza warundi wenyewe wanapenda kuwa watanzania na watapata ulinzi madhubuti na chokochoko za Rwanda.Urusi imeonyesha mfano kuwa taifa moja linaweza kumega ardhi ya Taifa jingine na kuifanya yake, Venezuela naye sasa anafuata, anataka kumega nusu ya Guiyana ajichukulie. Hii lawlessness itaishia wapi, Je Tanzania nasi tujitwalie Burundi na Rwanda zote kwa vile wakati wa Mjerumani tulikuwa nchi moja?
Huo mfano mbaya kwanini iwe Urusi na Venezuela,na sio Uingereza, Ufaransa, Israel, Marekani,ambao wote wapo kwenye ardhi za nchi nyingine kinyume cha sheria?Urusi imeonyesha mfano kuwa taifa moja linaweza kumega ardhi ya Taifa jingine na kuifanya yake, Venezuela naye sasa anafuata, anataka kumega nusu ya Guiyana ajichukulie. Hii lawlessness itaishia wapi, Je Tanzania nasi tujitwalie Burundi na Rwanda zote kwa vile wakati wa Mjerumani tulikuwa nchi moja?
Good 👍 uko vizuri mkuuIla Uingereza kuvikalia visiwa vya Falk Island ni sawa?
Ufaransa mpaka Leo kuishikilia Mayotte ni sawa?
Marekani na Hawaii, unataka kusema nini?
Israel na maeneo ya Wapalestina?
China na Tibet, Xinjiang, Macau?
Angola na Jimbo la Kabinda?
Wewe kwa maono yako mafupi unazani yameanza kutokea Jana?
Dunia haipo fair na mwenye nguvu ndio mtawala.
Tanganyika zanzibarIla Uingereza kuvikalia visiwa vya Falk Island ni sawa?
Ufaransa mpaka Leo kuishikilia Mayotte ni sawa?
Marekani na Hawaii, unataka kusema nini?
Israel na maeneo ya Wapalestina?
China na Tibet, Xinjiang, Macau?
Angola na Jimbo la Kabinda?
Wewe kwa maono yako mafupi unazani yameanza kutokea Jana?
Dunia haipo fair na mwenye nguvu ndio mtawala.