Mawembasa1979
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 2,540
- 3,333
Hata kuruhusu chakula wamekataa mpaka vikwazo ilivyowekewa viondolewe. Mzigo wote wa ngano (grains) unaopelekwa Ulaya upo hapo Mariupol Mkuu!Hicho chakula wanacholialia kiruhusiwe kitatima bandari gani,kwa akili za kindezi, Urusi itaruhusu chakula Tu,Ila bidhaa zake bataruhusu?