Urusi na maaskari wa Afrika: I smell a rat!

Urusi na maaskari wa Afrika: I smell a rat!

jMali

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2010
Posts
8,404
Reaction score
4,973
Urusi iko desperate kwenye hii vita ya Ukraine. Kwa ukubwa wa Urusi na capabilities zake hii vita ilitakiwa iwe imekwisha kitambo. Putin hana huruma hata kwa raia zake wenyewe. Vijana wanalazimishwa kuwa askari na kupelekwa kinguvu front-line Ukraine, huko wananyimwa mawasiliano na ndugu zao na wala hawahudumiwi wanapoumia kutokana na bajeti kuwa ngumu. Hao ni raia wa Urusi wenyewe. Source: Russian Soldier Reveals Conscripts Forced To Sign Contracts, Military Stopped Paying For Injuries

Nashangaa Waafrika tunakubali haraka haraka kuwa ndugu zetu walikuwa jela wakapewa msamaha kwa kukubali kwenda kupigana. Kuna kesi nyingi kama za huyu ndugu Nemes kwenye nchi nyingine za kiafrika with the same story: kwamba mtu alifungwa halafu akajiunga na Wagner Group ili asamehewe.

Inapaswa tujiulize maswali magumu kidogo sio kukubali tu:

  • Waafrika wanaoenda Ulaya huwa ni watu makini kidogo wanaojitambua, most of them ni wasomi, sio hawa madogo wanaozamia Sauzi. Ukimuangalia Nemes na hawa wengine mbona hawaonyeshi dalili zozote za uwaluwalu utakaowafanywa wafungwe kwa lolote lile? These are mostly upstanding citizens.
  • Hakuna taarifa zozote ambazo zilikuja kabla ya vifo vyao kuwa hawa Waafrika wana kesi mahakamani. Watu wanapoteza mawasiliano na familia zao halafu all of a sudden wanarudishwa maiti with the story ya eti walikuwa na kesi, walifungwa, wakaenda kupigana kwa msamaha. Mbona familia zao last contact na wapendwa wao walikuwa shule? Kwa mfano: kesi ya Nemes iliyomfanya afungwe ilikuwa ni nini?




Quote:

“They are switching entire regiments to contract [soldiers,] although the guys did not submit any formal requests for this, and took no such initiative. There are instances of physical violence, and beatings of those who refuse to become contract soldiers. And after that it’s completely unknown [what happens to them], because they take away their phones,” Andrei Kurochkin, the deputy chairman of the group, told Takie Dela.

Source: Russia Used Beatings and Tricks to Forcibly Send Rookie Troops to Ukraine, Rights Group Says

Hivi kama Urusi inalazimisha wananchi wake kupigana tunadhani raia wa Waafrika watathaminiwa? Nadhani Urusi inajua kuwa African countries ziko weak politically, ukichanganya na corruption, haziwezi kuleta ukali raia wake wakifanyiwa hivi.
 
Urusi iko desperate kwenye hii vita ya Ukraine. Kwa ukubwa wa Urusi na capabilities zake hii vita ilitakiwa iwe imekwisha kitambo. Putin hana huruma hata kwa raia zake wenyewe. Vijana wanalazimishwa kuwa askari na kupelekwa kinguvu front-line Ukraine, huko wananyimwa mawasiliano na ndugu zao na wala hawahudumiwi wanapoumia kutokana na bajeti kuwa ngumu. Hao ni raia wa Urusi wenyewe. Source: Russian Soldier Reveals Conscripts Forced To Sign Contracts, Military Stopped Paying For Injuries

Nashangaa Waafrika tunakubali haraka haraka kuwa ndugu zetu walikuwa jela wakapewa msamaha kwa kukubali kwenda kupigana. Kuna kesi nyingi kama za huyu ndugu Nemes kwenye nchi nyingine za kiafrika with the same story: kwamba mtu alifungwa halafu akajiunga na Wagner Group ili asamehewe.

Inapaswa tujiulize maswali magumu kidogo sio kukubali tu:

  • Waafrika wanaoenda Ulaya huwa ni watu makini kidogo wanaojitambua, most of them ni wasomi, sio hawa madogo wanaozamia Sauzi. Ukimuangalia Nemes na hawa wengine mbona hawaonyeshi dalili zozote za uwaluwalu utakaowafanywa wafungwe kwa lolote lile? These are mostly upstanding citizens.
  • Hakuna taarifa zozote ambazo zilikuja kabla ya vifo vyao kuwa hawa Waafrika wana kesi mahakamani. Watu wanapoteza mawasiliano na familia zao halafu all of a sudden wanarudishwa maiti with the story ya eti walikuwa na kesi, walifungwa, wakaenda kupigana kwa msamaha. Mbona familia zao last contact na wapendwa wao walikuwa shule? Kwa mfano: kesi ya Nemes iliyomfanya afungwe ilikuwa ni nini?




Quote:

“They are switching entire regiments to contract [soldiers,] although the guys did not submit any formal requests for this, and took no such initiative. There are instances of physical violence, and beatings of those who refuse to become contract soldiers. And after that it’s completely unknown [what happens to them], because they take away their phones,” Andrei Kurochkin, the deputy chairman of the group, told Takie Dela.

Source: Russia Used Beatings and Tricks to Forcibly Send Rookie Troops to Ukraine, Rights Group Says

Hivi kama Urusi inalazimisha wananchi wake kupigana tunadhani raia wa Waafrika watathaminiwa? Nadhani Urusi inajua kuwa African countries ziko weak politically, ukichanganya na corruption, haziwezi kuleta ukali raia wake wakifanyiwa hivi.
Malalamiko ya Urusi Ni yapi,yanayomfanya apigane?,,,,,,halafu nijibu unachotaka kujua.
 
Huwezi kwenda Urusi kwa lolote ukawa sawa kichwani. Hivi hata marais na viongozi wetu wamewahi kutembelea hiyo nchi lini?
 
Hivi unajua maana ya nchi kuwa vitani we? Au unaongea ujinga tu,subiri Tanzania [emoji1241] iingie vitani kwa bahati mbaya na nchi nyingine ndo ujue maana ya military conscription
Si tulikubaliana Ile ni special military operation?.., mbona mnajikanyaga sana wakuu [emoji28]

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Inasikitisha sana jamaa hakuwa hata na mtu wa kumtetea na hata kesi yake haijulikani inawezekana pia hakuwa na kesi yoyote bali alisingiziwa tu chochote ni mtu alikuwa anapambana tu life lake...
Who knows na hakuna wakumuuliza!
 
MSM zikiongozwa na BBC zinataka huruma za waafrika

PMC sio yakwanza hii ya wagner nawala haitakua ya mwisho

Waafrika na wapenda amani ulimwenguni tunaipapole familia ya nemes tarimo ila tunawaambia nemes alikufa kishujaa haswaaa

Maana aliamua kuipambania haki usawa na amani ya DUNIA

Tupo na RUSSIA huko kulialia kwenu hakutasaidia lolote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie wenye vinasaba vya rainbow ni mandezi sana.. mnashirikiana na vyombo vya magharibi kutengeneza huruma ili dunia ijue kuwa urusi ni makatili sana... kwa taarifa yako ni kwamba urusi wanahuruma sana kuliko hao wakoloni makatili waliowatesa babu zetu na mpaka sasa wanatutesa kwa kutumia sera zao za kibepali.. hao urusi ndio waliamsha hali ya waafrika kujitambua na kuanza kupigania uhuru kutoka kwa mabeberu wenu washenzi hao..... ni wewe tu uliopo mtaani ndo huelewi kinachoendelea lkn serikari nyingi za afrika zipo bega kwa bega na Rusia.... wanajua historia yetu na rusia ekoje...wengi sana wafrica wanaenda na wataendelea kwenda kupigana huko kuhakikisha kwamba kamwe ushoga hausimami katika Jamii yetu.
 
Back
Top Bottom