passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Nani alisema siku tatuSiku tatu sasa inaenda kuwa mwaka...!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani alisema siku tatuSiku tatu sasa inaenda kuwa mwaka...!!
NakaziaWalimdanganya vipi?! Russia alitoa demands ambazo hazitekelezeki ikiwemo NATO waondoe wanajeshi pamoja na vifaa vya kivita kwenye nchi za Baltic Lithuania,Estonia,Latvia. NATO ilishakubali kufanya mazungumzo na Russia ili kuzuia kutokea Kwa hii vita lakini Putin kujifanya kichwa ngumu akavamia akijua atakua kamaliza kazi ndani ya wiki tu na kupachika kibaraka wake Kiev matokeo yake mpaka sasa ni mwezi wa 7 wapo vitani na hakuna dalili ya Vita kwisha Leo au kesho.
Tukubaliane tu Putin kaivamia Ukraine kwa sababu zake nyingine hiyo ya kutaka kujiunga NATO ilikua kama kisingizio tu.
Keshamaliza kazi ya kupoka miji muhimu ya donbass na kherson imayokaliwa na watu was asili ya urusi....ambayo kwa vyovyote vile haitaridi tena ukraine
Ndio hapo maeneo aliyoteka mrusi na kuanza kujenga hayawezi kurudi!Hiyo ndio condition,sioni vita ikiisha!
Tuanzie Crimea,ilikuwaje?Vp Donbas?I can bet my life kuwa Donbas will never be part of Ukraine!Can u do the same?Hayo ndio yalikuwa malengo ya uvamizi wake?
Keshamaliza kazi ya kupoka miji muhimu ya donbass na kherson imayokaliwa na watu was asili ya urusi....ambayo kwa vyovyote vile haitaridi tena ukraine
Matumaini ya ushindi yanafifiaAiseee mbona ghafla Sana miezi michache iliyopita Zelenksy ndo kila siku alikua anakesha akiomba mazungumzo na Putin Leo hii Russia ndo wanataka mazungumzo na Zelenksy halafu mwenyewe hataki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani hizi terms and conditions si alipewaga mwanzoni kabla hata vita kuanza wakagoma, hakuna jipya ataendelea kupigika hadi Kyiv huku akipoteza bandari, viwanda vya chuma na mbolea na nashamba ya nganoUkiona hivi ujue mkubwa kashikwa kubaya.Sasa hivi anaomba poo ,ila itakua jambo la busara wakiyamaliza mezani kiukweli vita siyo vizuri ,sikia kwa wenzako tuu.
Zelesky tunaomba ushushe asira mambo haya tuweke sawa ,
![]()
Michezo Mipya ya Casino Imewadia.
AdGal Sport Betting
Ukrayinska Pravda
Kremlin considers negotiations again, although "special operation going as planned"
Ukrainska Pravda
Sun, September 4, 2022 at 3:52 PM·1 min read
In this article:
- Dmitry Peskov
Russian politician![]()
Volodymyr Zelensky
Sixth and current President of Ukraine- Roman Petrenko
Russian businessman![]()
Vladimir Putin
President of Russia
![]()
ROMAN PETRENKO – SUNDAY, 4 SEPTEMBER 2022, 15:52
Dmitry Peskov, spokesperson for the President of Russia, claimed that the government was ready to negotiate with Volodymyr Zelenskyy, the President of Ukraine, about how "Moscow’s conditions will be met" in order to end the war.
Source: Peskov, cited by Russian Kremlin-aligned media outlet Interfax
Details: In an interview for a propagandist TV programme titled "Moscow. Kremlin. Putin", Peskov was asked about what Russia would discuss with Zelenskyy, given that the Ukrainian President had stated he would not negotiate with Moscow.
Hahaha eti had kyiv wakati tuliwatimua kama wezKwani hizi terms and conditions si alipewaga mwanzoni kabla hata vita kuanza wakagoma, hakuna jipya ataendelea kupigika hadi Kyiv huku akipoteza bandari, viwanda vya chuma na mbolea na nashamba ya ngano
Jamaa tunasonga mbele kwa kishindoHahaha eti had kyiv wakati tuliwatimua kama wez
Mkuu unakosea, kwanza unatakiwa kuelewa tofauti za kimaeneo na maana Example-Donbas, Donetsky, and Luhansk.Donesky ya wapi hiyo siku nyingi donesky IPO chini ya urusi.
Takbiri alwaa wakbariUkraine wameanza kusimika bendera...takbirr Ukraine wasimika bendera yao Kherson baada ya kutembeza kichapo cha HIMARS
Me navoelewa Donbas = Donestsky + LuhanskyMkuu unakosea, kwanza unatakiwa kuelewa tofauti za kimaeneo na maana Example-Donbas, Donetsky, and Luhansk.