Urusi: Ukraine imejaribu kumuua Rais Putin kwa shambulizi la drone Ikulu ya Kremlin

France wanaandhama kuongezewa Pencheni kama hapo bongo munavyomlalamikia Samia, hakuna uhusiano maandamano ya France na vita ya Ukrean wala vikwazo alivyoekewa mrusi ni hujitumi tu kutaka kujua mambo ya ulimwengu
Hio pensheni ilianzia wapi?? " mtawaokota haohao mamburura wenu,,,,,, Mfaransa baada ya hali ya uchumi kua mbaya ndo akachokonoa kwenye pensheni na kinachoendelea ndo hiko
 
Ukishambulia russia km ilikuwa kwa siku makombora 30 utaongezewa inakuwa makombora 100 kwa siku mpk ujute
Kwani mpaka Russia inaivamia ukraine, ilikuwa imeshambuliwa kwa makombora mangapo?
 
Putin anatatizoo la baadhi ya watu wake wa karibu kutofurahishwa na mwenendo wa anachokifanya. Huenda sasa anarusha midori ikulu ili kuwatia watu uwoga na kisha wamuunge mkono
Wewe hizo habari kuwa watu wa karibu yake kutofurahishwa umepata wapi?
 
Nadhani kuna jambo linatengenezwa ambalo sio zuri...Ila naamini Urusi haiwezi kupigwa kirahisi hivyo tena Ikulu ya Rais hilo suala sio rahisi hata Ikulu ya Burundi ina mitambo ya kuzuia vitu kama Hivi na hiyo ni Burundi imechoka sana hoi..Ila kwa Zelensky akae chonjo watamua sasa..Sio muda mrefu sasa watamuua na hamna kitu Marekani itafanya,,,Huyu ameingia kwenye 18 za Russia watamua soon.
 
Unaota bro.Urusi hana nia hiyo
 
Kama watamuua zele na yy atauwawa tu hakuna kinachoshindikana.
 
Kwanza vidrone vyenyewe havikubeba enough explosive kiasi Cha kusababisha madhara yakulipua ikulu.

So inaweza kuwa ni igizo tu wame listage wenyewe
 
Unatakiwa ujue mchezo wa siasa kwanza kabla ya kuwa na upande au kukubali ki2.Ukraine haiwezi kumshambulia Raisi wa Russia hata iweje, hata kama akatembea bila bodyguards wala ulinzi...hakuna anayetaka vita vikubwa wala vita vya nuklia. na Ukraine sio wajinga wafanye hvyo wala Urusi sio wajinga wajaribu kufanya hvyo kwa Raisi wa Ukraine...kilichotokea either vikundi vya ndan ya Russia vinavyojarbu kumtoa Putin madarakani wanataka kumuua kwa mgongo wa vita au vikundi havitaki kumuua ila vinataka kutangeneza mazingira yatakayoleta machafuko ndan ya nchi au Jeshi la Urusi limeona haliwezi kushinda kwa hii vita bila kutumia silaha ambazo haziruhusiwi na namna peke yake ya kupata uhalali wa kuzitumia ni kusingizia Ukraine inataka kumuua Putin kwahiyo Urusi inabidi ifanye chochote inachoweza kulinda Russia...Kumbuka pia Ukraine ilikua kwenye maandalizi ya kufanya mashambulio makubwa kwa muda mref na wamatengaza wamesha jikamilisha kuanza mashambulizi siku yoyote kuanzia sasa...Russia wanaona hamna namna ya kujitetea zaid ya kutumia silaha za kemikali au tactical nuklia(nyuklia za kushambulia eneo dogo) na hiyo inaweza ikawa sababu ya kujarbu kutengeneza propaganda
 
Putin atauawa na Warusi wenzake afu lawama atatupiwa Marekani, ndo utakuwa mwisho wa hii vita
 
Training ground Poland. MTO -Slovakia (Michalovce). Transit Uzhgorod, Ivano, Khelmenstkiy, Vinnitsa, Uman, Odessa. Uman strike potential attempt to hit railway.
 
The Russian Aerospace Forces launched a strike with planning high-explosive bombs on enemy targets on the outskirts of Berislav. There is a huge column of smoke above the city since noon, a fuel depot is burning. Weapons were also reportedly stored nearby.
 
Hahahahahaha wahuni wanamtafutia sababu Zele ya kuwahishwa jehannam
Wewe mpumbavu aise, tumia japo akili kiduchu Putin hana uwezo kwa sasa wa kufanya chochote ndani ya Ukraine, matamko ya Putin yamekuwa mengi sana but hakuna hata moja lililotimizwa so watu wamezoea ujinga wake
 
Wewe mpumbavu aise, tumia japo akili kiduchu Putin hana uwezo kwa sasa wa kufanya chochote ndani ya Ukraine, matamko ya Putin yamekuwa mengi sana but hakuna hata moja lililotimizwa so watu wamezoea ujinga wake
Daaaaah yaaani mambo ya Ukraine na Russia ndo yanakufanya unitusi kuniiita mpumbavu??
Ebhana eeeeeh shukran saaana
 
naona Tanzania mmeanza kushabikia vita kama mnaifahamu.. acheni hizi mambo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…