Urusi: Ukraine imejaribu kumuua Rais Putin kwa shambulizi la drone Ikulu ya Kremlin

Urusi: Ukraine imejaribu kumuua Rais Putin kwa shambulizi la drone Ikulu ya Kremlin

Kremlin yenyewe ndo imepigwa na drone 2

Haijulikani kama ni Ukraine au Russia imeamua jitekenya na kucheka
Najiuliza tu hii video sio ya CCTV inaonekana Kuna mtu aliii record Sasa he huyu mtu alijuaje tukio hili.lita tokea?
 
Back
Top Bottom