Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya haina shida mkuu, naona umeshafuturu sasa umeingia Jf. Tukaribishane shehe wangu.
Hakuna nchi itakayokubali kuubeba hùo msalaba ni mzito haswaa. Shambulio kubwa sana la anga kufanyika usiku huu huko Ukraine. Kaa tayari kutega sikio ni vilio kila kona ya dunia. Ukraine alikua anapigwa taratibu sana naona kavimba kichwa sasa wacha mzazi amfunze adabu.Hao watuhumiwa watahitaji kufa ila kifo kitakaa mbali nao, huo uchungu wanaokutananao hakuna kiumbe hai mwenye kuvumiliaa!
Fikiri, nchi yenyewe yenye Vita Ukraine imekataa kubeba msalaba huo ili hali wangepaswa washangilie kwamba wamemchapa adui ndani, wameruka mbali wanajua gharama ya msalaba huo!!
Hakuna cha kuwa na wakili au kupelekwa mahakamani ni mateso magumu ambapo mwishoe pia ni kufa tu
Asalaaaleee bora wangebaki na familia zao kula tambi kwa juice mixer upapa laini kwa wife
Naona simanzi juu yao
HakikaBado awajaojiwa,watahojiwa na watasema nukta kwa nukta mstari kwa mstari.
Afghanistan na Pakistan kiasili wanaendana na Tajikistan na hao Uzbekistan.Hizi kamba tu, Afghanistan na Xinjiang wapi na wapi? Xinjiang ni Turkic ethnicity people sawa na kina Tajikistan, Uzbekistan, Kazakhstan, Uturuki etc Afghanistan ni kama kina India na Pakistan.
Ugomvi baina ya China na jimbo la Xinjiang ni unatokana sana na Ethnicity, Ethnicity kubwa ya China ni Han people ambao wana wa Opress minorities kama hao Ughuyr wanaopatikana hilo eneo, by appearance Ughuyr sio kama wachina. Ila waisilamu ambao ambao appearance zao ni kama Han kama vile Hui people nao pia wanashirikiana na Han kuwa Opress Ughuyr.
Badala ya kukaa kwenye fact unaendekeza udini.Walioshambulia ni waislamu na ndo magaid yenyewe
Acha kuropoka takataka kama umekunywa maji machafu.Waislam wanavyowatetea hao magaidi unaona kabisa hii dini ina walakini!
BILA UISLAM DUNIA INGEKUWA MAHALI SALAMA PA KUISHI
Kaka embu mpuuze huyo.Nani amesema akuuwe, au umeielewa vibaya comment yangu!
Unajua vyanzo ya hivyo vikundi?We nenda kasikilize BBC au katizame Taarifa za Habari za Aljazeera na media nyingine za kimataifa usikie ndugu zako wanvyoongelewa huko kila siku.
Yani nchi zote zenye uislam duniani ndizo kila siku zinaongelewa kuwa na shida ya milipuko ya kujitoa mhanga, anzia huku Somalia, Egypt, sudan, Yemen, Saudi Arabia nakadhalika. Nyie kila siku mabomu tu. Hatujaongelea bado hao wapalestina wenyewe waliowashikilia mateka wa israeli
Vikundi vyote vya TERRORISM asilimia 99% ni vya kiislamu tena wanajiita kabisa waislam wenye Itikadi kali.
Acha kabisa bana.
Isis wanalazimisha wao ndo wahusikaBadala ya kukaa kwenye fact unaendekeza udini.
Udini hautakupeleka popote bwana mdogo.
Nakusikitikia sana kelele zako za udini hazifiki popote.
Punguza udini utakutoa akili na kuendelea kuwa MPUMBAVU WA KIFIKRA.
We ni mjinga sana pakistan na india ilikua nchi moja na ziligawanywa kwa itikadi za diniAfghanistan na Pakistan kiasili wanaendana na Tajikistan na hao Uzbekistan.
Afghani na Paki sio Indian origin hata kidogo wana unasaba mkubwa wa kiajemi .
Udini unakumaliza akili kijana.Isis wanalazimisha wao ndo wahusika
Hizo hasira wapelekee ISIS (islamic state of iraq and syria) waambie waache kutumia mwavuli wa dini kuua watu
Vita vya dunia walikua wanapigania maslai na sio diniUnajua vyanzo ya hivyo vikundi?
Kuna maujai ya watu wengi kuliko ya Crusade war,World war 1 and 2??
Embu tupe jibu hapo.
Hitler na Benito Mussolin je hao pia ni waislam??
Hayo mambo ya middle east hauna ubongo wa kuyaelewa eidha we ni mtoto mdogo au hauna elimu nayo.
Acha ufala wewe Pakistan wana asili ya uajemi nenda kasome.We ni mjinga sana pakistan na india ilikua nchi moja na ziligawanywa kwa itikadi za dini
Hata pavel musharaf waziri mkuu wa zaman wa pakistan alizaliwa new delhi ipa baada ya partition waliaamia pakistani
Makabila ya punjab na sidhi ya pakistan wale ni wahindi kabisa na ndo wako wengi sana
Allah akbarUdini unakumaliza akili kijana.
Whatever wawe IS au wawe Daesh ulitakiwa kutaja kundi husika sio kujumuisha waislam wote kwamba kiujumla eti"waislam ndio waliohusika".
Ulitakiwa useme ISIS ndio wamehusika.
Au kisa Antibaraka wa Central African republic wanajinasibu kuwa wakatoliki je wakifanya insurgence inafaa kusema "WAKATOLIKI NDIO WAMEHUSIKA"!?
Tumia akili.
Pakistan ilikuwa ni india kama ulikuwa hujui uislamu ndo uliwaganyaAcha ufala wewe Pakistan wana asili ya uajemi nenda kasome.
Pakistan sio wahindi.
KUwepo baadhi ya makabila ya kihindi ndani ya Pakistan haimaanishi kuwa Pakistan are Indians.
HATA LUGHA YA PAKISTAN INA MISAMIATI MINGI YA KIFURSI.JE KIFURSI NI KIHINDI???
Wahajemi walikaa mpaka na waarabu mathalan Syria kipindi hiko ni ALEPPO wahajemi waliishi chini ya taratibu moja na waarabu wa Syria je nao tuwaite waarabu??
Kwao kuishi pamoja haimaanishi kuwa ni asili moja.