Urusi: Video ya kuhojiwa ya mtuhumiwa wa ugaidi Moscow

Urusi: Video ya kuhojiwa ya mtuhumiwa wa ugaidi Moscow

Waliowengi pakistan ni Punjab, sindhi, na sairikies hawa ni pure wahindi na wanabagua sana pushtun na balochs ndo maana balochs wanafanya movement mpaka leo wawe na nchi yao balochstan hata shambulio la juzi la iran liliwalenga balochs wanaohishi pakistan

Pushtun na balochs wale ni jamii ya persian (wairan)
Central asia tajikistan, uzbekstan n.k ile ni jamii ya turkic (turkic people) tofauti na persians au jamii ya wahindi

Turkey, azerbaijan, turkmenstan lugha zao wanasikilizana huku uzbekistan na uygur wa china lugha zao wanasikilizana
Wewe mbuzi
Huna kazi unaonekana chronic jobless
Unalala humu
Aisee!
Nenda kawaombe viza wazungu uone kama wanatime na ugalatia labda unaweza kuja huku nikuajiri as toilet cleaner kwenye nyumba za wazee
1711372063107.jpeg
 
Wewe mbuzi
Huna kazi unaonekana chronic jobless
Unalala humu
Aisee!
Nenda kawaombe viza wazungu uone kama wanatime na ugalatia labda unaweza kuja huku nikuajiri as toilet cleaner kwenye nyumba za wazee
View attachment 2944346
Kazana utapata tuzo ya matusi kinyanganyoro kinaendelea

Unawatukana wazungu alafu mda huo huo unaproud kuish kwao hio ni akili matope waislamu mnashida sana

Mnawaita makafiri alafu mnakimbilia kwao
 
Kwahiyo unataka kuniambia Kuoga na kupiga mswaki ni Civilization zilizotolewa na Waisilamu?

Naona Umepagawa na Maruhani wewe!
Waisilamu ===> Spain wakapeleka civilization toka pale ikasambaa Ulaya, na dunia nzima. Soma Historia ni jambo common kabisa. Wafalme wa Ulaya walikua wakijisifia kutokuoga na wengine Wali amini kuoga ni kujiambukiza magonjwa. Ndio maana wakati huo Ulaya Tauni ilikua haiishi.


View: https://m.youtube.com/watch?v=C8M4i9fvq1M

Lecture hio ya Roy Casagranda proffesor wa Historia Austin Texas kama shida yako ni kujua ukweli,
 
Waisilamu ===> Spain wakapeleka civilization toka pale ikasambaa Ulaya, na dunia nzima. Soma Historia ni jambo common kabisa. Wafalme wa Ulaya walikua wakijisifia kutokuoga na wengine Wali amini kuoga ni kujiambukiza magonjwa. Ndio maana wakati huo Ulaya Tauni ilikua haiishi.


View: https://m.youtube.com/watch?v=C8M4i9fvq1M

Lecture hio ya Roy Casagandra proffesor wa Historia Austin Texas kama shida yako ni kujua ukweli,

Huu ni uongo mkubwa sana
Ulaya ilishaendelea kabla hata muhammad hajazaliwa

Wakina socrates, aristotle, plato walikuwepo zaman sana hata kabla yesu hajazaliwa na walileta ustaarabu kwa hiyo acha uongo
 
Waisilamu ===> Spain wakapeleka civilization toka pale ikasambaa Ulaya, na dunia nzima. Soma Historia ni jambo common kabisa. Wafalme wa Ulaya walikua wakijisifia kutokuoga na wengine Wali amini kuoga ni kujiambukiza magonjwa. Ndio maana wakati huo Ulaya Tauni ilikua haiishi.


View: https://m.youtube.com/watch?v=C8M4i9fvq1M

Lecture hio ya Roy Casagandra proffesor wa Historia Austin Texas kama shida yako ni kujua ukweli,

DUNIA BILA UISLAM INGEKUWA MAHALI SALAMA PA KUISHI!

Hiyo Video wapelekee Bakwata itawasaidia!
 
Huu ni uongo mkubwa sana
Ulaya ilishaendelea kabla hata muhammad hajazaliwa

Wakina socrates, plato walikuwepo zaman sana hata kabla yesu hajazaliwa na walileta ustaarabu kwa hiyo acha uongo
Nipe proof hao walileta hio civilization niliotaja, sababu mtu ka contribute kwenye kitu X haimaanishi alifanya Y na Z.

Na hapo unaongea na professor wa Historia ambaye yupo respected dunia nzima, huna sifa hata ya kufuta kiatu chake.
 
Nipe proof hao walileta hio civilization niliotaja, sababu mtu ka contribute kwenye kitu X haimaanishi alifanya Y na Z
Greek golden generation ndo ilileta ustarabu mkubwa sana na ilikuwepo miaka 200 kabla hata yesu hajazaliwa kumbuka muhammad kazaliwa miaka 600 baada ya Yesu kufariki

Ndo maana mpaka leo kwenye science tunatumia misamiati mingi sana ya kigiriki au imetoholewa kutoka lugha ya kigiri na sio ya kiarabu ulishawahi jiulizaga

Hakuna golden generation yeyote inayowafikia ya wagiriki kwenye kuleta ustaarabu kwa hiyo acha uongo
 
Kazana utapata tuzo ya matusi kinyanganyoro kinaendelea

Unawatukana wazungu alafu mda huo huo unaproud kuish kwao hio ni akili matope waislamu mnashida sana

Mnawaita makafiri alafu mnakimbilia kwao
Tatizo nyinyi mbuzi nyeusi mnafikiri wazungu ni wagalatia 😂
Wanawacheka sana kwa jinsi mlivyoukumbatia upupu wao walishaachana nao tokea 19 kweusi😂😂
Mnashangaa leo kuwaambia ushoga ruksa, mtatia akili tu
 
Hawa watateswa mpk wakome km dk Shika,
Kufa hufi ila chamoto utakiona
 
Tatizo nyinyi mbuzi nyeusi mnafikiri wazungu ni wagalatia 😂
Wanawacheka sana kwa jinsi mlivyoukumbatia upupu wao walishaachana nao tokea 19 kweusi😂😂
Mnashangaa leo kuwaambia ushoga ruksa, mtatia akili tu
Unawatukana wazungu alafu mda huo huo unaproud kuish kwao hio ni akili matope waislamu mnashida sana

Mnawaita makafiri alafu mnakimbilia kwao alafu kuish kwa uzungu sio ujanja we ushamba ndo unaokusumbua
 
Punjab wako india na pakistan na eneo lao lili gawanywa na cyril radcliff
Ujinga unakusumbua kuna mtu kakuelewesha hapo juu kwamba punjab kabila kubwa pakistan hata india ni moja ya kabila kubwa

Kakaririi juzuu ndo kitu unachojua
Sijui niseme ni mgumu kuelewa ama una utoto mwingi!!
Punjab asili yake wapii!?
Kurdi ni moja ya makabila makubwa pale Syria,JE KURDI NI WAARABU??
Kurdi ni persian descendants.
Narudi kwa Punjab hiyo jamii chimbuko lake sio hapo chimbuko lake ni sehemu nyingine we kijana aisee.Hata asili ya neno ni la KIAJEMI.
Hiyo ni jamii iliyozalikana baada ya muingiliano ya jamii ya kihindi na KiPakistani(persian descendant).
Embu soma hapo chini huenda ukaelewa.
FUATILIA KITU ASILI YAKE WAPI NAZUNGUMZIA ASILI WE KIJANA.
Screenshot_2024-03-25-16-48-23-15_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Punjab ni pure wahindi wewe kakariru juzuuView attachment 2944343
Bado una ujinga mwingi kichwani.
Kwahiyo hata wakurdi nao waliokua Syria ni waarabu!?
Usitizame mazaliano nao wakati huo tizama hiyo asili imetokea wapi kabla haijaja hapo.
ASILI YA HAO JAMAA SIO HAPO,HAPO WAMEHAMIA MIAKA MINGI ILIOPITA.
KIPINDI TURKIYE ORIGIN INAHAMA TOKA CENTRAL ASIA KUJA ANATOLIA NAO VIVYO HIVYO WALIHAMA.
UJINGA NI MZIGO MZITO SANA.
 
Bado una ujinga mwingi kichwani.
Kwahiyo hata wakurdi nao waliokua Syria ni waarabu!?
Usitizame mazaliano nao wakati huo tizama hiyo asili imetokea wapi kabla haijaja hapo.
ASILI YA HAO JAMAA SIO HAPO,HAPO WAMEHAMIA MIAKA MINGI ILIOPITA.
KIPINDI TURKIYE ORIGIN INAHAMA TOKA CENTRAL ASIA KUJA ANATOLIA NAO VIVYO HIVYO WALIHAMA.
UJINGA NI MZIGO MZITO SANA.
We ndo mjinga unabishana na mambo yapo wazi kakariri juzuu ndo unachojua
 
Sijui niseme ni mgumu kuelewa ama una utoto mwingi!!
Punjab asili yake wapii!?
Kurdi ni moja ya makabila makubwa pale Syria,JE KURDI NI WAARABU??
Kurdi ni persian descendants.
Narudi kwa Punjab hiyo jamii chimbuko lake sio hapo chimbuko lake ni sehemu nyingine we kijana aisee.Hata asili ya neno ni la KIAJEMI.
Hiyo ni jamii iliyozalikana baada ya muingiliano ya jamii ya kihindi na KiPakistani(persian descendant).
Embu soma hapo chini huenda ukaelewa.
FUATILIA KITU ASILI YAKE WAPI NAZUNGUMZIA ASILI WE KIJANA.View attachment 2944374
Kakariri juzuu muda wa madrasa huu
 
Greek golden generation ndo ilileta ustarabu mkubwa sana na ilikuwepo miaka 200 kabla hata yesu hajazaliwa kumbuka muhammad kazaliwa miaka 600 baada ya Yesu kufariki

Ndo maana mpaka leo kwenye science tunatumia misamiati mingi sana ya kigiriki au imetoholewa kutoka lugha ya kigiri na sio ya kiarabu ulishawahi jiulizaga

Hakuna golden generation yeyote inayowafikia ya wagiriki kwenye kuleta ustaarabu kwa hiyo acha uongo
Nimekwambia leta proof unaleta bla bla,

Science imejaa majina kibao ya kiarabu Alchemy, alkaline, algebra, Almanac ama kitu chochote unachoona kinaanziwa na Al kama Algorithm asili yake ni huko uarabuni, kuna Elixir, zero, Alcohol na maneno kibao.

Na ustaarabu si science,

nasubiria proof yako wagiriki ndio wame leta huo ustaarabu na sio hizo "trust me bro" evidence.
 
Back
Top Bottom