Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Malengo ya upande wenu maana na nyie mlikua na malengo yenu ila kwa urusi mbele kwa mbeleKumbe malengo hayajatimia mpaka sasa mwezi wa pili huu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malengo ya upande wenu maana na nyie mlikua na malengo yenu ila kwa urusi mbele kwa mbeleKumbe malengo hayajatimia mpaka sasa mwezi wa pili huu.
Huwezi kupata vitu kama hivi huko kwa mablaza wenu minato na vyombo vyao......haya sema tena mmarekani wa buza.............Mbona Putin mwenyewe hajazungumzia hizo awamu halafu wewe mrusi wa Mwembetogwa ndio unajua hizo awamu za malengo
Porojo mjombaWatu wapo huku..........huko sinema ilishaisha ni muda wa kuimega ukraine sasaView attachment 2185815
Wamejiandaa...Russia hamna kitu kwa sasa..Watu wanaofikiri Russia ilikuljpuka kwenye hii vita mjiandae
Wakati huu Jeshi la Urusi linajiondoa Kharkive, tangia Jana. Lengo lao hatulijuhi.Hii vita ina awamu kama serikali ya ccm, awamu ya kwanza mambo yametick, ukraine hana tena uwezo wa kijeshi kupambana yeye kama yeye hadi apewe misaada,,...ya pili watu wanavuta pumzi kwanza........malengo yasipotimia zitakuwepo hata awamu 100