Urusi vs Ukraine: Putin asema wataendelea kupambana hadi "malengo yao mema" yatimie

Hii vita ina awamu kama serikali ya ccm, awamu ya kwanza mambo yametick, ukraine hana tena uwezo wa kijeshi kupambana yeye kama yeye hadi apewe misaada,,...ya pili watu wanavuta pumzi kwanza........malengo yasipotimia zitakuwepo hata awamu 100
Wakati huu Jeshi la Urusi linajiondoa Kharkive, tangia Jana. Lengo lao hatulijuhi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…