Urusi waanzisha MacDonald yao

Ukikosa sprite si unakunywa 7up kama mbadala?
cocca=pepsi
fanta=mirinda
bitterLemon= tonic

HAKUNA CHA AJABU
nyiny huwa ndo walalamikaj wakubwa nakumbuka kweny utawala wa JPM , kuna vitu tulikosa mlikuwa mbele kupiga kelele , ila leo hii mnahis warus wana akili km za mangosha kuwa wanywe chochote tu , kuna uchungu wanaupata kukosa yale waliyozoea , hii sio siri
 
Russia wanaumia ndio maana wanapigana kufa kupona vikwazo walivyowekewa na nchi za magharibi viondolewe na ndio maana wanazuia bandari za Ukraine zisifanye kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…