muhweza
JF-Expert Member
- Feb 22, 2022
- 986
- 1,394
Ukraine hakufa hata mmoja[emoji3][emoji3]Unasema Russia wamekufa askari 139k Ukraine wamekufa wangapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukraine hakufa hata mmoja[emoji3][emoji3]Unasema Russia wamekufa askari 139k Ukraine wamekufa wangapi?
Kwahiyo na wewe unayemjibu muda wote unabwana mzunguHivi unapata muda wa kufanya shughuli zako za kimaendeleo?au kuwa na bwana wa kizungu kunakufanya kutwa kucha Ukraine?.
Unatiwa siyo Bure kutwa kutaka vitendo hivyo vya hovyo, hopeful mnapigwa miti maana so Kwa wivu huu.Mashoga mtapigwa popote mlipo
We unashida kichwani.Wewe umewahi kuchungulia PM yangu mnavyojazana kupiga mizinga wakati muda wa kufanya kazi mmejigeuza marepota wa Ukraine.Au na wewe sio riziki,?
Yeye ametuletea takwimu za warusi waliokufa. Nawe tuletee takwimu za waukraine waliokufa.Unasema Russia wamekufa askari 139k Ukraine wamekufa wangapi?
Hajafa hata mmoja huko UKRAINEYeye ametuletea takwimu za warusi waliokufa. Nawe tuletee takwimu za waukraine waliokufa.
Mkuu wewe ndio unashida kwenye kichwa chako Alafu kama ni mwanamke huyo mumeo ana kazi.Niko na Bepali MK254 wewe umekuja kuingilia.Pole Sana MK254 mwenye thread angekuwa na akili Yako angetukanana Sana na Warusi wa huko Maneromango.We unashida kichwani.
Na wewe uliyenijibu hapa una bwana mzugu au unatafuta bwana wa kizungu?Kwahiyo na wewe unayemjibu muda wote unabwana mzungu
Maandishi ya mtu yanajieleza jinsi alivyo ndani yake. Naona umetokwa na matusi sasa kiroho chako kwatuuuu.... kimetulia.We mwanamke una roho mbaya sana, huwaonei huruma wanawake wenzako na watoto wanvyopigwa mabomu na mhalifu Putin? Duh ama kweli Kuna wanawake wapumbavu
Njoo pm tuyajengeMaandishi ya mtu yanajieleza jinsi alivyo ndani yake. Naona umetokwa na matusi sasa kiroho chako kwatuuuu.... kimetulia.
Hii vita huwa naona takwimu za mauaji upande mmoja, je kulikuwa na ubaya mimi wa mimi kupata total fatalities?
Aiseeee! sawa.
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻Urusi imepokea kipigo kikali pale Ukraine na kupoteza wanajeshi zaidi ya 130,000 hadi imeanza kukusanya mateja mtaani na wafungwa kuipigania, licha ya yote hiyo imeanza kuchokoza kataifa kengine ambako kako nje ya NATO...
Russian Foreign Minister Sergei Lavrov has suggested that Moldova is the West's new "anti-Russian project." In an interview for Russian state television, he declared that the West had now "set its sights on the Republic of Moldova to have the role of the next Ukraine."
Russia's more or less direct threats against Moldova have intensified since it began the war of aggression against Ukraine almost a year ago.
In the interview, which was banned from broadcast in Moldova because of accusations of propaganda, Lavrov also stated that the pro-European Moldovan President Maia Sandu had been appointed with methods that were "far from being freely democratic" and that she was pursuing a deeply anti-Russian approach. He added that she was "a president who wants to join NATO, has Romanian citizenship, is ready to unite with Romania and, in general, is ready for almost anything."
"This is one of the countries that the West wants to turn into another anti-Russia," he said.
MSN
www.msn.com
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
Hio idadi yako na mbona anazidi kuzitafuta nchi zingine kama hana uwezo?Jamaa kapoteza wanajeshi 130,000 kimzaha pale Ukraine aking'ang'ania kamji ka chumvi huko, na hajui anatokaje, kaishiwa ilhali Ukraine ndio kama wanajiandaa kuanza vita, sasa yeye kuanzisha chokochoko nyingine ni kama kujitoa mhanga.
Unasema Russia wamekufa askari 139k Ukraine wamekufa wangapi?
Huku unalia vitu vimepanda bei. Putin kwisha habari yake. Huu mwaka sasa bado hajaipiga Ukraine km tulivyoaminishwa.Huyo ndyo Putin hakuna wa kumgusa
Putin endelea tupeleka moto tu [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Ni ule mkwara ajioneshe bado yupo vizuri kivita ila habari yake imeisha.Hio idadi yako na mbona anazidi kuzitafuta nchi zingine kama hana uwezo?
Turejee kwenye mada itapendeza.Na wewe uliyenijibu hapa una bwana mzugu au unatafuta bwana wa kizungu?