Urusi yaanza janja janja za kuvuta Belarus kwenye vita

Urusi yaanza janja janja za kuvuta Belarus kwenye vita

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Hali imekua ngumu, Ukraine waligeuza kibao na kuanza kuwasukuma Warusi, hao Warusi walijaribu kubembeleza Belarus waingie kwenye vita ikashindikana, sasa wameanza janja za kupiga mabomu ndani ya Belarus ili ionekane kana kwamba Ukraine wameshambulia.

Ndege ya Urusi ilipaa kutokea Belarus kisha kiaina ikageuza na kushambulia vijiji vya hao wenyeji wake, ila huo mchezo ukashtukiwa mapema.
 
Hiiiiiiiiiiiiiiiii
FPNS316XwAw2Rd4.jpg
 
Hali imekua ngumu, Ukraine waligeuza kibao na kuanza kuwasukuma Warusi, hao Warusi walijaribu kubembeleza Belarus waingie kwenye vita ikashindikana, sasa wameanza janja za kupiga mabomu ndani ya Belarus ili ionekane kana kwamba Ukraine wameshambulia.

Ndege ya Urusi ilipaa kutokea Belarus kisha kiaina ikageuza na kushambulia vijiji vya hao wenyeji wake, ila huo mchezo ukashtukiwa mapema.
Hujachoka tuu kutikisa masaburi!?

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom