passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Nenda kaangalie madhara ya Iile Bomu alafu lilikuwa ni dogo mabomu ya sasa hivi ni makubwa na Yana madhara mara 100 ya mabomu ya Japan.Acha uwongo mkuu, kwani hayo mabomu tangu yaanze kugunduliwa hayajawahi kutumika? Japan alipigwa na atomic bomb mbona dunia haikuteketea?
Jibu zuri sana maana wengi humu hawaendi na wakati wao wanapenda kukwenda na ya zamani kuliko ya sasaNenda kaangalie madhara ya Iile Bomu alafu lilikuwa ni dogo mabomu ya sasa hivi ni makubwa na Yana madhara mara 100 ya mabomu ya Japan.
Like seriously!! Ulikuwa haujui !?This is sad, sikujua before Russia wana silaha za Nyuklia, kumbe walikua wana wasema North Korea tu buree...inaelekea labda nchi nyingi zina hizo silaha za Nyuklia...yakifumuka ya kufumuka huko tobaaaa...
[emoji16][emoji16][emoji16]Umri wako inawezekana ulipaswa kuwa darasan ila kwa sababu za jeuri upo mtaani
Putin Hana ubaya wowote mmekarilishwa na west Ili iaminike kuwa ni mbaya but Putin Hana ubaya , Taifa lake linafanyiwa choko choko so mlitaka anyamanze asifanye kitu !? Kwaajili ya kulilinda taifa lake !?ASante mkuu kwa kunielimisha, Urusi anataka kutufuta uso wa dunia haki ya nani, saa nyingine unaweza kuwa smart ila usiwe wise...huyu Putin ndio mmoja wao...lol...nimeona hapo News, wanasema Ukraine haitatumia silaha za Marekani kwa sasa..mimi nahisi ni wazo zuri,wameona dunia nzima tutaisha...sababu Putin is soo dangerous for the world, sijui ndio Devil mwenyewe..au ndio kiama kinakuja sasa..tutubu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]NATO walianza kufanya mazoezi kabla Russia haijaivamia Ukraine na mpk leo bado wanafanya mazoezi tu.Kitu pekee ambacho NATO wanakiweza hua Ni kufanya Mazoezi tu.
Siku tatu zimeisha na walioonywa kujaribu kuingilia washaingilia zimebaki kelele tu.Atajaribu na hakuna kitu mtamfanya
Putin Hana tatizo lolote na USA hawana power ya kumuondoa Putin kama walishindwa Kwa Fidel Castro na Maduro wata weza vipi kuipiga nchi ynye nguvu kubwa ya kijeshi , ujue unaleta masihara Yule ni Putin na Russia sio sadam hussen na Iraq [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hao USA wenyewe Wana ijua Russia vyema .. Kesha wapa mkong'oto heavy Kule Syria aka wazuia kufanya mapinduzi Na aka wa zuia kumtoa Maduro madarakani Kule Venezuela so unapomtaja Putin na Russia yakupasa utambue kwamba unaongelea lidubwana likubwa sana DunianiMimi sio mfuatiliaji wa hii vita hivyo sijui source yake, ila nitafurahi humu duniani wakiwaondoa viongozi wote wanaobariki nchi zao kuwa na silaha za Nyuklia, sababu wana intention mbaya sana ya kuangamiza dunia, ni kama unatengeneza Nyuklia ili dunia iwe chini yako, ambayo sio fair wewe sio Mungu kwamba dunia yote iwe chini yako, mimi nahisi Marekani inakosea kutaka kuipiga Russia, Wamuondoe Putin peke yake,decisions zake ndio zinazotaka kuangamiza dunia na sio watu wa Russia...
Kama kazi kama dawa [emoji16][emoji16][emoji16]Naaam,
Mwanaume kazini
Ukiweka ya shingo,naweka ya roho[emoji4]
Okay tufanye mimi sijui mkuu, basi hebu nipe jibu hapa,Nenda kaangalie madhara ya Iile Bomu alafu lilikuwa ni dogo mabomu ya sasa hivi ni makubwa na Yana madhara mara 100 ya mabomu ya Japan.
Umemuona ameingilia wapi au unakurupuka tuSiku tatu zimeisha na walioonywa kujaribu kuingilia washaingilia zimebaki kelele tu.
Tuliza akili kijana kabla ya kujibu jitahidi kufikiri kwanza uyo urusi anapigana na watu wangapi urusi anapiga na NATO ndo maana kakimbia Nuclear unajua NATO ni muunganiko wa nchi ngapi ?? unaijua nguvu ya NATO ?? au unaongea tu maadamu uwe umeongea urusi anapigana na nchi zaidi 10+ na ushee ndo maana anakimbilia kutishia NuclearIvi Putin anamuogopa biden ama vipi, mbona wakitishwa kidogo tu wanakimbilia manyuklia.
Inamana kwa silaha nyingine zote Russia wanaona hawanauwezo wa kupambana na US mbaka wanakimbilia ma nyuklia????
Kukimbilia nyuklia maana yake nikujitoa muhanga kwamba nawao wanajiuwa.
Kwasababu kuanzisha vita vya nyuklia karne hii nikama kujiuwa,sababu nawewe watakufyatua na nuclear pia.
Yani nikuiharibu dunia, warusi wenzangu wa Dar hebu nifafanulieni hii, kukimbilia nyuklia ni uoga, ama ndio kusema kwa silahanyingine hatuwezi kufurukuta kwa US.
Asanteni sana ni mimi nduguyenu mrusi wa namtumbo huku.
Pia takwimu zinaonyesha US ni namba 1 kijeshi.Like seriously!! Ulikuwa haujui !?
Takwimu zinasema Russia ndio nchi inayoongoza Kwa wingi wa silaha hizo
Lakini urusi anao uwezo wa kupigana na NATO na akashinda.Tuliza akili kijana kabla ya kujibu jitahidi kufikiri kwanza uyo urusi anapigana na watu wangapia urusi anapiga na NATO ndo maana kakimbia Nuclear unajua NATO ni muunganiko wa nchi ngapi ?? unaijua nguvu ya NATO ?? au unaongea tu maadamu uwe umeongea urusi anapiga na nchi zaidi 10+ na ushee ndo maana anakimbilia kutishia Nuclear
Asante kwa jibu zuriTuliza akili kijana kabla ya kujibu jitahidi kufikiri kwanza uyo urusi anapigana na watu wangapia urusi anapiga na NATO ndo maana kakimbia Nuclear unajua NATO ni muunganiko wa nchi ngapi ?? unaijua nguvu ya NATO ?? au unaongea tu maadamu uwe umeongea urusi anapiga na nchi zaidi 10+ na ushee ndo maana anakimbilia kutishia Nuclear
Nazani bado humjui Russia vizuri mimi sisemi atashinda au atashindwa ila kwa macho hii vita inaonyesha russia kamzidi USA kete muhimu zaidi ya 5 hivyo ushindi uko waziLakini urusi anao uwezo wa kupigana na NATO na akashinda.
The correct statement was supposed to be:Even if you wife denies you sex you would blame America.