Bhikalamba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 1,916
- 2,756
Already I've shown you the discrepancy in your previous statement,refer my comment in post #281.Sarcasm is what you remained if you weren't dimwit and irritated you would have come with explanation to show what you called errors on my comment but you couldn't because you are dumb and irritated.
Poor boy.
Your Ignorance and misconception is at its peak. Lord Have mercy on you.Already I've shown you the discrepancy in your previous statement,refer my comment in post #281.
Again your comment above is not grammatically correct, you're supposed to say that: "what you have remained with if you weren't irritated" instead of: "what you remained if you weren't irritated"
If being educated is to be as you are, then I joyfully tell you that I am not educated.The correct statement was supposed to be:
Even if your wife denies you sex still you would blame it to America.
Pale anapiga na US kumbe! Sio NATO Tena?Nazani bado humjui Russia vizuri mimi sisemi atashinda au atashindwa ila kwa macho hii vita inaonyesha russia kamzidi USA kete muhimu zaidi ya 5 hivyo ushindi uko wazi
Habari za marekani kupeleka nuclear Ukraine umezitoa wapi?! Kama Marekani kapeleka makombora ya kwenda umbali wa 80km tu tayari Russia keshakuwa na kiwewe cha nuclear Sasa Kuna haja gani kutumia nuclear?! Afu Hadi Sasa Marekani keshaingia kwenye vita na Russia make kwa mujibu wa Russia ni kwamba atakayeisaidia Ukraine ni atapigwa ndo tunasubiri Sasa US apigwe make keshapuuzia kauli ya Russia.Believe me Marekani hawezi kuthubutu kupeleka nuclear Ukraine Kwa kufanya hivyo atakuwa ametangaza vita Rasmi na urusi.
Eleza wewe shabiki kitumbua, kutishia nuclear maana yake nini?!Unasumbuliwa na ushabiki maandazi, badala ya uhalisia.
Kubwa linaweza kava eneo la 18,000 square kms!Okay tufanye mimi sijui mkuu, basi hebu nipe jibu hapa,
1. je unajua umbali wa kutoka Ukraine/Russia hadi tz?
2. Je unajua hizo modern atomic bomb demage yake inaukubwa gani?
Kwamba wewe unajua hadi speed ya mabomu ya Russia na kwa uhakika kabisa una undermine mabomu ya US,basi Mkuu naona wewe uko juu sana hadi unapata intel info za Pentagon na CIA.JF ina watu wazito sana wako ndani ya Pentagon kabisa.Kubwa linaweza kava eneo la 18,000 square kms!
Hio ni damage ya bomu moja tu[emoji3] mwenye nayo akiyatupa hayo kama 10 tu anaharibu eneo kubwa sana la nchi.
Target ya nyuklia ni kuwahiana tu, ambaye lake litawahi kutua ndio mshindi wa vita na urusi anatamba sababu yake yana speed na uharibifu mkubwa kuliko ya mmarekani na pia ana mitambo ya kuvuruga mawasiliano ya bomu huenda akaliharibu kabla halijatua kwenye target.
Tulia wewe ishi na huo ukweli ndio maana biden kakaa kitakoKwamba wewe unajua hadi speed ya mabomu ya Russia na kwa uhakika kabisa una undermine mabomu ya US,basi Mkuu naona wewe uko juu sana hadi unapata intel info za Pentagon na CIA.JF ina watu wazito sana wako ndani ya Pentagon kabisa.