Urusi yachukua udhibiti wa mojawapo ya migodi mikubwa ya Lithium Barani Ulaya

Urusi yachukua udhibiti wa mojawapo ya migodi mikubwa ya Lithium Barani Ulaya

Strong ladg

Senior Member
Joined
Jul 15, 2021
Posts
170
Reaction score
445
Urusi imechukua udhibiti wa mgodi wa Lithium wa Shevchenko baada ya kutwaa eneo unapopatikana mgodi huo. Hii ni mwendelezo wa Urusi kutwaa maeneo yaliyoko mashariki mwa Ukraine tangu kuanza kwa vita kati ya Urusi na Ukraine.

Mgodi huu ni miongoni mwa migodi migodi mikubwa zaidi ya Lithium barani Ulaya hivyo kitendo cha Urusi kuchukua udhibiti wake si habari njema kwa maadui wa Urusi.

Taarifa iliyotolewa na chombo cha habari cha Urusi (RT) kupitia mtandao wa Telegram mnamo tarehe 11 Januari 2025,ilitumia lugha ya kejeli kuwa " walafi " wamekosa udhibiti wa mgodi mkubwa zaidi wa Lithium barani Ulaya.

Madini ya Lithium ni muhimu hasa kwa sasa kutokana na matumizi yake katika kutengeneza betri zinazotumiwa na magari ya umeme.

Pia itakumbukwa katika mojawapo ya Interviews zilizofanywa na Lindsay Graham ambaye ni seneta wa Marekani anaetokea South Carolina, alisema " Ukraine inakalia raslimali zenye thamani ya matrilioni hivyo hatuwezi kuacha Urusi azichukue Ili akatumie pamoja na China".
SOURCE : RT
 
Urusi kishachukua 50% ya kursk, CNN tu hawakwambii,wakikwambia ni juu juu
Na kingine nilichoona , Ukraine ilidhani kuichukua Kursk ingepelekea Russia kuacha kuwa front na kuzidi kuimega Ukraine kwa kurudisha majeshi nyumbani kwenda kuipambania Kursk, lakini walivyo washenzi RUssia ni kama wanaiangalia Kursk na kutambua mtego uliopo.

Putin na mastermind wa hatari.
 
Na kingine nilichoona , Ukraine ilidhani kuichukua Kursk ingepelekea Russia kuacha kuwa front na kuzidi kuimega Ukraine kwa kurudisha majeshi nyumbani kwenda kuipambania Kursk, lakini walivyo washenzi RUssia ni kama wanaiangalia Kursk na kutambua mtego uliopo.

Putin na mastermind wa hatari.
Urusi ameufanya mkoa wa kursk kuwa uwanja wa mazoezi ya kivitendo wanajeshi wa Ukraine ata waneachiwa njia mbili za kutoka na kuingia Kursk njia izo wanazitumia wajeda wa Ukraine kuingiza silaha ndogondogo lengo la Russia kuufanya uwo mkoa wa mafunzo ndio mana Wakorea wameomba kwenda apo kupambana lkn lengo kuu kujifunza kupata Uzoefu wa kuuwa Sababu wajeda wengi wasasa wa Korea kasikazini awajawai pigana vita wala kuuwa ivyo wanautumia uwo Mkoa kuwanoa Vijana wao kila baada ya muda vijana wa Korea wanapelekwa wengine !!! Zana hii wengi awajiui wameilshwa propaganda kuwa Russia imeomba msaada kutoka Korea kivita lazima West waseme ivyo lazima wafanye propaganda lkn nijukum letu kuchekecha akili zaid. Ukweli ni Korea ndio kaomba kwenda kursk na wote awataki kuukomboa uwo mkoa kwasasa. Ila wanautumia kupigana vita ya kujifunza kwasasa,,
 
Urusi ameufanya mkoa wa kursk kuwa uwanja wa mazoezi ya kivitendo wanajeshi wa Ukraine ata waneachiwa njia mbili za kutoka na kuingia Kursk njia izo wanazitumia wajeda wa Ukraine kuingiza silaha ndogondogo lengo la Russia kuufanya uwo mkoa wa mafunzo ndio mana Wakorea wameomba kwenda apo kupambana lkn lengo kuu kujifunza kupata Uzoefu wa kuuwa Sababu wajeda wengi wasasa wa Korea kasikazini awajawai pigana vita wala kuuwa ivyo wanautumia uwo Mkoa kuwanoa Vijana wao kila baada ya muda vijana wa Korea wanapelekwa wengine !!! Zana hii wengi awajiui wameilshwa propaganda kuwa Russia imeomba msaada kutoka Korea kivita lazima West waseme ivyo lazima wafanye propaganda lkn nijukum letu kuchekecha akili zaid. Ukweli ni Korea ndio kaomba kwenda kursk na wote awataki kuukomboa uwo mkoa kwasasa. Ila wanautumia kupigana vita ya kujifunza kwasasa,,
Kwa hio Putin akitaka kuiokomboa Kursk ni chap sana?
 
Urusi imechukua udhibiti wa mgodi wa Lithium wa Shevchenko baada ya kutwaa eneo unapopatikana mgodi huo. Hii ni mwendelezo wa Urusi kutwaa maeneo yaliyoko mashariki mwa Ukraine tangu kuanza kwa vita kati ya Urusi na Ukraine.

Mgodi huu ni miongoni mwa migodi migodi mikubwa zaidi ya Lithium barani Ulaya hivyo kitendo cha Urusi kuchukua udhibiti wake si habari njema kwa maadui wa Urusi.

Taarifa iliyotolewa na chombo cha habari cha Urusi (RT) kupitia mtandao wa Telegram mnamo tarehe 11 Januari 2025,ilitumia lugha ya kejeli kuwa " walafi " wamekosa udhibiti wa mgodi mkubwa zaidi wa Lithium barani Ulaya.

Madini ya Lithium ni muhimu hasa kwa sasa kutokana na matumizi yake katika kutengeneza betri zinazotumiwa na magari ya umeme.

Pia itakumbukwa katika mojawapo ya Interviews zilizofanywa na Lindsay Graham ambaye ni seneta wa Marekani anaetokea South Carolina, alisema " Ukraine inakalia raslimali zenye thamani ya matrilioni hivyo hatuwezi kuacha Urusi azichukue Ili akatumie pamoja na China".
SOURCE : RT
Mtu akiishiwa kila kitu kinakuwa Mali aisee. Yaani Urusi ndio ya kujivunia kuchukua mgodi baada ya miaka mitatu ya vita? Tena vita walivyosema watapigana masaa 72!? Ahahahahaha! Acha nicheke kwa uchungu!
 
Bado sielewagi matarajio ya Zelenky kwenye hii vita
 
Urusi ameufanya mkoa wa kursk kuwa uwanja wa mazoezi ya kivitendo wanajeshi wa Ukraine ata waneachiwa njia mbili za kutoka na kuingia Kursk njia izo wanazitumia wajeda wa Ukraine kuingiza silaha ndogondogo lengo la Russia kuufanya uwo mkoa wa mafunzo ndio mana Wakorea wameomba kwenda apo kupambana lkn lengo kuu kujifunza kupata Uzoefu wa kuuwa Sababu wajeda wengi wasasa wa Korea kasikazini awajawai pigana vita wala kuuwa ivyo wanautumia uwo Mkoa kuwanoa Vijana wao kila baada ya muda vijana wa Korea wanapelekwa wengine !!! Zana hii wengi awajiui wameilshwa propaganda kuwa Russia imeomba msaada kutoka Korea kivita lazima West waseme ivyo lazima wafanye propaganda lkn nijukum letu kuchekecha akili zaid. Ukweli ni Korea ndio kaomba kwenda kursk na wote awataki kuukomboa uwo mkoa kwasasa. Ila wanautumia kupigana vita ya kujifunza kwasasa,,
Kwani wewe uko Moscow au uko Pyongyang mbona uko tu hapo Mlingotini, Bagamoyo sasa hayo wewe umeyajuaje..!!?? Punguza uongo shehe na porojo za masjid ubwabwa.
 
Mtu akiishiwa kila kitu kinakuwa Mali aisee. Yaani Urusi ndio ya kujivunia kuchukua mgodi baada ya miaka mitatu ya vita? Tena vita walivyosema watapigana masaa 72!? Ahahahahaha! Acha nicheke kwa uchungu!
MKUU UNA VIDEO AU NUKUU YOYOTE YENYE UTHIBITISHO WA RUSSIA KUSEMA ATAICHUKUA UKRAINE KWA MASAA 72?

KAMA IPO NISAIDIE.
 
Mtu akiishiwa kila kitu kinakuwa Mali aisee. Yaani Urusi ndio ya kujivunia kuchukua mgodi baada ya miaka mitatu ya vita? Tena vita walivyosema watapigana masaa 72!? Ahahahahaha! Acha nicheke kwa uchungu!
Huo mgodi una thamani ya pesa ndefu sana.
 
Ahahahahaha! Basi ndio maana Warusi wameshindwa kuiteka Ukraine kwa kipindi chote hicho.
Warusi wenyewe ndio wanaweza kujibia hilo. Mimi sina uwezo wala utaalamu wa kujua kwanini hawajaweza kuiteka Ukraine hadi leo
 
Back
Top Bottom