Urusi yaikalia Ufaransa kooni Afrika Magharibi

Urusi yaikalia Ufaransa kooni Afrika Magharibi

ITR

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
6,096
Reaction score
16,390
Ufaransa kama ilivyo huruka ya nchi za kimagharibi alikuwa anajiona ndo Mungu na mmiliki wa nchi za Africa magharibi.

Alikuwa ndo kila kitu ndani ya nchi hizo lakini sasa mambo yana muendea kombo ndani ya nchi hizo, hasa tangu Urusi ijiingize kwenye eneo hilo imevuruga kabisa ushawishi wa Ufaransa kwenye makoloni yake ya zamani na kwa sasa Ufaransa haitakiwi eneo hilo kuanzia raia mpaka serikali zao wote wameungana kuwafukuza Wafaransa.

Nadhani wenye nchi zao wamegundua kuwa Ufaransa ni walaghai na ndo chanzo cha matatizo yasiyo isha ndani ya mataifa yao kwa sababu tangu Urusi ijiingize eneo hilo matizo ya kiusalama yamepungua sana ndani ya nchi hizo.

Mfano nchi kama Afrika ya kati tangu Urusi imepeleka wana jeshi wake masula ya watu kuuwana kwa misingi ya kidini yaani mapigano ya waislam na wakristo yameisha kabisa na maisha yamerudi kuwa kawaida ,wakati Ufaransa ina zaidi ya miaka kumi imepeleka wamajeshi lakini hakuna cha maana walicho kifanya.

Nchi kama Niger, Mali, Burkina Faso na Chad, ambazo ilikuwa haipiti wiki bila kusikia magaidi wamevamia makambi ya jeshi na kuuwa wanajeshi, sijui Magaidi wamevamia hotel wameuwa raia wa kigeni, sijui magaidi wamevamia vijiji na kuuwa mamia ya watu,lakini tangu Urusi ipeleke wapiganaji wake kupitia Wiger huu upuuzi umepungua sana.

Na sasa hivi nasikia Urusi imeanza kupeleka wapiganaji wa Wiger nchi Congo kwa hiyo ni suala la muda tu kwa wamagharibi wanao ivuruga Kongo kupitia kibaraka wao Kagame ili waindelee kupora rasilimali za wakongo na penyewe kupakimbia maana pata kuwa pachungu kwao.

Wewe usione nchi za magharibi zina ichukia Urusi ni zina haki kuichukia kwa sababu imekuwa mvurugaji wa ajenda zao ovu ndani ya dunia hii, na ndio maana unaona wanachangishana silaha kwa hali na mali kupeleka Ukraine ili kuikomoa na kuidhohofisha Urusi lakini na penyewe watashindwa tu hata kama ni miaka 15.
 
Usifikiri Urusi anaipenda Afrika, Urusi yenyewe ni rogue state. Tunamkumbuka vizuri kwenye vita vya Uganda, anadai kulipwa cash, Uganda anauziwa ndege vita, Tanzania tunauziwa makombora ya kuziangusha, yeye anahesabu noti tu. Nchi nyingi za kisoshalisti zimekuwa na mifumo ya uongozi mbovu kupindukia.
 
Usifikiri Urusi anaipenda Afrika, Urusi yenyewe ni rogue state. Tunamkumbuka vizuri kwenye vita vya Uganda, anadai kulipwa cash, Uganda anauziwa ndege vita, Tanzania tunauziwa makombora ya kuziangusha, yeye anahesabu noti tu. Nchi nyingi za kisoshalisti zimekuwa na mifumo ya uongozi mbovu kupindukia.
Funga bakuli lako maana nyinyi hata mkipewa elimu hamuelewi
 
Usifikiri Urusi anaipenda Afrika, Urusi yenyewe ni rogue state. Tunamkumbuka vizuri kwenye vita vya Uganda, anadai kulipwa cash, Uganda anauziwa ndege vita, Tanzania tunauziwa makombora ya kuziangusha, yeye anahesabu noti tu. Nchi nyingi za kisoshalisti zimekuwa na mifumo ya uongozi mbovu kupindukia.
Kitu gani cha faida urusi alishawahi kuifanyia africa tangu dunia ianze. na kwa waliofika urusi au kuishi nchi za eastern europe, wataelewa ninachoongea, kwa asili tu watu wa huko ni wabaguzi mno kwa waafrica. ni kweli wamagaribi ni wajinga na ni mafirauni/mapunga lakini kwa upande mwingine wameifaidisha kwa kiasi fulani africa kuliko hata urusi. urusi anakuja africa kwasababu tu anahitaji kulipiza visasi kwa wamagaribi, isingekuwa hivyo asingekuja.
 
kitu gani cha faida urusi alishawahi kuifanyia africa tangu dunia ianze. na kwa waliofika urusi au kuishi nchi za eastern europe, wataelewa ninachoongea, kwa asili tu watu wa huko ni wabaguzi mno kwa waafrica. ni kweli wamagaribi ni wajinga na ni mafirauni/mapunga lakini kwa upande mwingine wameifaidisha kwa kiasi fulani africa kuliko hata urusi. urusi anakuja africa kwasababu tu anahitaji kulipiza visasi kwa wamagaribi, isingekuwa hivyo asingekuja.
Moja wapo ya faida zake ni hiyo kuwadhibiti magaidi kama alivyo fanya sasa Afrika magharibi kwa sasa ni tulivu.

Alafu kumbuka kuwa Urusi ndo alikuwa mfadhiri mkuu wa nchi za Africa kabla Usoviet kuanguka.
 
Mkuu huna taarifa za kutosha juu ya mizozo ya w.Afrika .juzi tu kuna wanajeshi 10 wa mali wameuawa!!Yeye urusi anachofanya ni kuwapa kazi mamruki wa kundi la wagner kujifanya wanatoa mafunzo kwa majeshi yao.kitakacho tokea sasa ni nchi za ulaya kupunguza /kuacha kutoa misaada kwa nchi hizo.Na urusi pekee yake hatakuwa na uwezo huo.
 
Mkuu huna taarifa za kutosha juu ya mizozo ya w.Afrika .juzi tu kuna wanajeshi 10 wa mali wameuawa!!Yeye urusi anachofanya ni kuwapa kazi mamruki wa kundi la wagner kujifanya wanatoa mafunzo kwa majeshi yao.kitakacho tokea sasa ni nchi za ulaya kupunguza /kuacha kutoa misaada kwa nchi hizo.Na urusi pekee yake hatakuwa na uwezo huo.
Mi nadhani Urusi yupo sahahi maana wnatupa ndoano tukavue wenyewe, hayo mamisaada yamelaza akili zetu mpaka sasa hatujui tufanye nini kwa maisha yetu, acha Mrusi atukomaze na sisi tuje tuishi kama binadamu.
 
Usifikiri Urusi anaipenda Afrika, Urusi yenyewe ni rogue state. Tunamkumbuka vizuri kwenye vita vya Uganda, anadai kulipwa cash, Uganda anauziwa ndege vita, Tanzania tunauziwa makombora ya kuziangusha, yeye anahesabu noti tu. Nchi nyingi za kisoshalisti zimekuwa na mifumo ya uongozi mbovu kupindukia.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Pumbav kabisa hujui lolote umeona West wanabanwa kende kila kona kimekuuma, jinyonge kama vp
 
Mkuu huna taarifa za kutosha juu ya mizozo ya w.Afrika .juzi tu kuna wanajeshi 10 wa mali wameuawa!!Yeye urusi anachofanya ni kuwapa kazi mamruki wa kundi la wagner kujifanya wanatoa mafunzo kwa majeshi yao.kitakacho tokea sasa ni nchi za ulaya kupunguza /kuacha kutoa misaada kwa nchi hizo.Na urusi pekee yake hatakuwa na uwezo huo.
Sija sema matatizo yameisha kabisa ila wamepungua sana.
Pamoja na hiyo misaada ya wamagharibi unayo isema lakini bado hali ya kiusalama Africa magharibi ilikuwa mbaya sana sasa hiyo msaada isiyo kuwa na mantiki ni ya nn?
 
Mkuu huna taarifa za kutosha juu ya mizozo ya w.Afrika .juzi tu kuna wanajeshi 10 wa mali wameuawa!!Yeye urusi anachofanya ni kuwapa kazi mamruki wa kundi la wagner kujifanya wanatoa mafunzo kwa majeshi yao.kitakacho tokea sasa ni nchi za ulaya kupunguza /kuacha kutoa misaada kwa nchi hizo.Na urusi pekee yake hatakuwa na uwezo huo.
Wapotee na misaada yao....mtu anakusaidia 100 huku anachukua 1000 ndo nini
 
kitu gani cha faida urusi alishawahi kuifanyia africa tangu dunia ianze. na kwa waliofika urusi au kuishi nchi za eastern europe, wataelewa ninachoongea, kwa asili tu watu wa huko ni wabaguzi mno kwa waafrica. ni kweli wamagaribi ni wajinga na ni mafirauni/mapunga lakini kwa upande mwingine wameifaidisha kwa kiasi fulani africa kuliko hata urusi. urusi anakuja africa kwasababu tu anahitaji kulipiza visasi kwa wamagaribi, isingekuwa hivyo asingekuja.
Yaani KUKATWA GOVI under Bill and Melinda Gates ndo 7bu ya kuikashifu urusi? Unajua ni faida kiasi gani West watapata kupitia kukatwa kwako GOVI bure?
 
Kuwa mstaarabu unapochangia mada muhimu kama hizi,kutukana wenzio ni dalili ya upumbavu wa kiwango cha juu kabisa.
Sasa unaleta upuuzi uachwe? Mbona umekuja na vumbi vipi au nawe umepata pihechidii ya mchongo? Humu ukileta upuuzi utazabuliwa tu.
 
Mlisha Lishwa Matangopori Mpaka mmekuwa kama Tumbili
Ungetuambia Kwann Mrusi achukiwe na hao !
Mrusi Anatetea Dunia Kutoka kwenye Ukoloni Mamboleo
Naona umeamua kuwa SI Unit ya ujinga. Hakuna anayemchukia Urusi, ila kilichopo ni kuwa dunia imegawanyika katika makundi ya ki~ideology.Kila kundi lina mambo yake linaloamini na kuna faida ambazo kila nchi kwa kujiunga na kundi flan. Russia aliwahi kuwa na shirikisho lake likasambaratika. Hivyo unachokiona ni mgongano wa maslahi tu na hakuna anayetoa free lunch.
 
Back
Top Bottom