NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Misaada ikiisha ndo watajifunza kujitegemea.Kumbe bora mrusi awepo.Mkuu huna taarifa za kutosha juu ya mizozo ya w.Afrika .juzi tu kuna wanajeshi 10 wa mali wameuawa!!Yeye urusi anachofanya ni kuwapa kazi mamruki wa kundi la wagner kujifanya wanatoa mafunzo kwa majeshi yao.kitakacho tokea sasa ni nchi za ulaya kupunguza /kuacha kutoa misaada kwa nchi hizo.Na urusi pekee yake hatakuwa na uwezo huo.
Taja misaada ya maana iliyotoka Magharibi kuifaidisha Afrika halafu compare na China.kitu gani cha faida urusi alishawahi kuifanyia africa tangu dunia ianze. na kwa waliofika urusi au kuishi nchi za eastern europe, wataelewa ninachoongea, kwa asili tu watu wa huko ni wabaguzi mno kwa waafrica. ni kweli wamagaribi ni wajinga na ni mafirauni/mapunga lakini kwa upande mwingine wameifaidisha kwa kiasi fulani africa kuliko hata urusi. urusi anakuja africa kwasababu tu anahitaji kulipiza visasi kwa wamagaribi, isingekuwa hivyo asingekuja.
Unajua wanachokipata kutoka West Africa?Mkuu huna taarifa za kutosha juu ya mizozo ya w.Afrika .juzi tu kuna wanajeshi 10 wa mali wameuawa!!Yeye urusi anachofanya ni kuwapa kazi mamruki wa kundi la wagner kujifanya wanatoa mafunzo kwa majeshi yao.kitakacho tokea sasa ni nchi za ulaya kupunguza /kuacha kutoa misaada kwa nchi hizo.Na urusi pekee yake hatakuwa na uwezo huo.
Huu ndio ukweli wenyewe, tena aheri kuna ambao hunyonya hata kwa aibu.Hakuna mtu mweupe atasaidia afrika
Mwarabu alikuuza utumwani
Mzungu alikukolonize
Machina ananyonya
Hii ni dunia Kila mtu amle kibonde wake,kagame yupo right
Hakuna mzuri hata mmoja! Wote wanagombea mlo!Ufaransa kama ilivyo huruka ya nchi za kimagharibi alikuwa anajiona ndo mungu na mmiliki wa nchi za Africa magharibi.
Alikuwa ndo kila kitu ndani ya nchi hizo lakini sasa mambo yana muendea kombo ndani ya nchi hizo, hasa tangu Urusi ijiingize kwenye eneo hilo imevuruga kabisa ushawishi wa Ufaransa kwenye makoloni yake ya zamani na kwa sasa Ufaransa haitakiwi eneo hilo kuanzia raia mpaka serikali zao wote wameungana kuwafukuza wafaransa.
Nadhani wenye nchi zao wamegundua kuwa Ufaransa ni walaghai na ndo chanzo cha matatizo yasiyo isha ndani ya mataifa yao kwa sababu tangu Urusi ijiingize eneo hilo matizo ya kiusalama yamepungua sana ndani ya nchi hizo.
Mfano nchi kama Afrika ya kati tangu Urusi imepeleka wana jeshi wake masula ya watu kuuwana kwa misingi ya kidini yaani mapigano ya waislam na wakristo yameisha kabisa na maisha yamerudi kuwa kawaida ,wakati Ufaransa ina zaidi ya miaka kumi imepeleka wamajeshi lakini hakuna cha maana walicho kifanya.
Nchi kama Niger,Mali,Buknafaso na Chad, ambazo ilikuwa haipiti wiki bila kusikia magaidi wamevamia makambi ya jeshi na kuuwa wanajeshi ,sijui Magaidi wamevamia hotel wameuwa raia wa kigeni ,sijui magaidi wamevamia vijiji na kuuwa mamia ya watu,lakini tangu Urusi ipeleke wapiganaji wake kupitia Wiger huu upuuzi umepungua sana.
Na sasa hivi nasikia Urusi imeanza kupeleka wapiganaji wa Wiger nchi Congo kwa hiyo ni suala la muda tu kwa wamagharibi wanao ivuruga Kongo kupitia kibaraka wao Kagame ili waindelee kupora rasilimali za wakongo na penyewe kupakimbia maana pata kuwa pachungu kwao.
Ww usione nchi za magharibi zina ichukia Urusi ni zina haki kuichukia kwa sababu imekuwa mvurugaji wa ajenda zao ovu ndani ya dunia hii, na ndio maana unaona wanachangishana silaha kwa hali na mali kupeleka Ukraine ili kuikomoa na kuidhohofisha Urusi lakini na penyewe watashindwa tu hata kama ni miaka 15.
Hebu tutolee keleleUsifikiri Urusi anaipenda Afrika, Urusi yenyewe ni rogue state. Tunamkumbuka vizuri kwenye vita vya Uganda, anadai kulipwa cash, Uganda anauziwa ndege vita, Tanzania tunauziwa makombora ya kuziangusha, yeye anahesabu noti tu. Nchi nyingi za kisoshalisti zimekuwa na mifumo ya uongozi mbovu kupindukia.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
hulkaUfaransa kama ilivyo huruka ya nchi za kimagharibi alikuwa anajiona ndo mungu na mmiliki wa nchi za Africa magharibi.
Alikuwa ndo kila kitu ndani ya nchi hizo lakini sasa mambo yana muendea kombo ndani ya nchi hizo, hasa tangu Urusi ijiingize kwenye eneo hilo imevuruga kabisa ushawishi wa Ufaransa kwenye makoloni yake ya zamani na kwa sasa Ufaransa haitakiwi eneo hilo kuanzia raia mpaka serikali zao wote wameungana kuwafukuza wafaransa.
Nadhani wenye nchi zao wamegundua kuwa Ufaransa ni walaghai na ndo chanzo cha matatizo yasiyo isha ndani ya mataifa yao kwa sababu tangu Urusi ijiingize eneo hilo matizo ya kiusalama yamepungua sana ndani ya nchi hizo.
Mfano nchi kama Afrika ya kati tangu Urusi imepeleka wana jeshi wake masula ya watu kuuwana kwa misingi ya kidini yaani mapigano ya waislam na wakristo yameisha kabisa na maisha yamerudi kuwa kawaida ,wakati Ufaransa ina zaidi ya miaka kumi imepeleka wamajeshi lakini hakuna cha maana walicho kifanya.
Nchi kama Niger,Mali,Buknafaso na Chad, ambazo ilikuwa haipiti wiki bila kusikia magaidi wamevamia makambi ya jeshi na kuuwa wanajeshi ,sijui Magaidi wamevamia hotel wameuwa raia wa kigeni ,sijui magaidi wamevamia vijiji na kuuwa mamia ya watu,lakini tangu Urusi ipeleke wapiganaji wake kupitia Wiger huu upuuzi umepungua sana.
Na sasa hivi nasikia Urusi imeanza kupeleka wapiganaji wa Wiger nchi Congo kwa hiyo ni suala la muda tu kwa wamagharibi wanao ivuruga Kongo kupitia kibaraka wao Kagame ili waindelee kupora rasilimali za wakongo na penyewe kupakimbia maana pata kuwa pachungu kwao.
Ww usione nchi za magharibi zina ichukia Urusi ni zina haki kuichukia kwa sababu imekuwa mvurugaji wa ajenda zao ovu ndani ya dunia hii, na ndio maana unaona wanachangishana silaha kwa hali na mali kupeleka Ukraine ili kuikomoa na kuidhohofisha Urusi lakini na penyewe watashindwa tu hata kama ni miaka 15.
Wewe umeifanyia nini nato au ulaya na washirika wakekitu gani cha faida urusi alishawahi kuifanyia africa tangu dunia ianze. na kwa waliofika urusi au kuishi nchi za eastern europe, wataelewa ninachoongea, kwa asili tu watu wa huko ni wabaguzi mno kwa waafrica. ni kweli wamagaribi ni wajinga na ni mafirauni/mapunga lakini kwa upande mwingine wameifaidisha kwa kiasi fulani africa kuliko hata urusi. urusi anakuja africa kwasababu tu anahitaji kulipiza visasi kwa wamagaribi, isingekuwa hivyo asingekuja.
Njoo na hoja acha kuwa na akili kama za akina Kajala.Hebu tutolee kelele
America na Europe wana ajenda yao Afrika ya wagawe na uwatawale na waibie rasilimali zao. Sasa mrusi kapiga darubini yake kaona America na Europe ndio zinazowafanya waweze kuwa juu kimaisha. Sasa Afrika ikitulia itataka ijunufaishe wenyewe.Ww usione nchi za magharibi zina ichukia Urusi ni zina haki kuichukia kwa sababu imekuwa mvurugaji wa ajenda zao ovu ndani ya dunia hii, na ndio maana unaona wanachangishana silaha kwa hali na mali kupeleka Ukraine ili kuikomoa na kuidhohofisha Urusi lakini na penyewe watashindwa tu hata kama ni miaka 15.
Mkuu nafikiri kuna mambo mengi hujui kuhusu Urusi. Kwa taarifa yako Urusi ndio imekuwa ikisaidia sana kuondoa ukoloni mambo leo Afrika. Nchi za SADC zilisaidiwa na huyo Mrusi kupata uhuru. Tanzania tumesaidiwa na Mrusi na Mchina katika kukuza ulinzi wa taifa letu. Bila Mrusi na Mchina kiulinzi tungekuwa hoi sana. Nchi za magharibi kazi yao kubwa ni dividing rule ili waendelee kuzitawala nchi hizo. Mrusi pamoja na kuwa taifa kubwa lakini halijawahi tawala nchi hata moja hapa Afrika. Warusi wanapenda sana waafrika wajitambue kwa kufanyakazi na kupambana na maisha mwenyewe siyo kukupatia msaada wa kukudumaza kiakili kama ambavyo wanafanya nchi za magharibi.kitu gani cha faida urusi alishawahi kuifanyia africa tangu dunia ianze. na kwa waliofika urusi au kuishi nchi za eastern europe, wataelewa ninachoongea, kwa asili tu watu wa huko ni wabaguzi mno kwa waafrica. ni kweli wamagaribi ni wajinga na ni mafirauni/mapunga lakini kwa upande mwingine wameifaidisha kwa kiasi fulani africa kuliko hata urusi. urusi anakuja africa kwasababu tu anahitaji kulipiza visasi kwa wamagaribi, isingekuwa hivyo asingekuja.
Kubishana na walevi wa gongo sitaki.Sasa unaleta upuuzi uachwe? Mbona umekuja na vumbi vipi au nawe umepata pihechidii ya mchongo? Humu ukileta upuuzi utazabuliwa tu.
Usifikiri Urusi anaipenda Afrika, Urusi yenyewe ni rogue state. Tunamkumbuka vizuri kwenye vita vya Uganda, anadai kulipwa cash, Uganda anauziwa ndege vita, Tanzania tunauziwa makombora ya kuziangusha, yeye anahesabu noti tu. Nchi nyingi za kisoshalisti zimekuwa na mifumo ya uongozi mbovu kupindukia.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
mbona hapa kipindi cha jpm misaada mingi ilipoanza tu kupunguzwa mlikuwa mna hahahaaa!!na kama hadi sasa angekuwepo cjui ingekuwaje?yqqni mshindwe kujitegemea kipindi kizuri mje kujitegemea wakati hakuna kitu kweli!??Huyo aliyekuwa ana kopa kwa siri akiwadanganya wananchi kuwa tunajitegemea.Misaada ikiisha ndo watajifunza kujitegemea.Kumbe bora mrusi awepo.