Urusi yaikatia gesi Ufaransa baada ya kushindwa kukamilisha kulipia gesi iliyotumia mwezi Julai

Urusi yaikatia gesi Ufaransa baada ya kushindwa kukamilisha kulipia gesi iliyotumia mwezi Julai

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Mwaka huu tutashuhudia mengi. Wakoloni wa Afrika wanazidi kuumbuliwa na Urusi kupitia nishati za Urusi. Hivi sasa Putin amekula sahani moja na Ufaransa kwa kumkatia gesi Macron baada ya Ufaransa kukosa pesa ya kulipia gesi iliyotumia mwezi July.

Wakoloni hawa walizoea kupewa gesi ya dezo na Putin, lakini sasa hivi Putin kaamua kuwauzia gesi kwa bei juu hadi wanashindwa kumudu kulipia.
=======

SmartSelect_20220830-232738_Chrome.jpg
 
Mwaka huu tutashuhudia mengi. Wakoloni wa Afrika wanazidi kuumbuliwa na Urusi kupitia nishati za Urusi. Hivi sasa Putin amekula sahani moja na Ufaransa kwa kumkatia gesi Macron baada ya Ufaransa kukosa pesa ya kulipia gesi iliyotumia mwezi July.

Wakoloni hawa walizoea kupewa gesi ya dezo na Putin, lakini sasa hivi Putin kaamua kuwauzia gesi kwa bei juu hadi wanashindwa kumudu kulipia.
=======

View attachment 2340473
Safi sana
 
Hii habari sio ya kweli,kwa sababu Urusi ni taifa masikini,haliwezi kuitesa nchi tajiri ya Ulaya Magharibi,ufaransa nchi mojawapo yenye first citizens in the world.
Ulimwengu wa kwanza Iko umoja wa kujihami dhidi ya Urusi wa NATO.
Jipange mtoa mada.

Urusi hi hii au Urusi ya kwenye Mars labda.
 
Timu upinde watakuja na bla bla Kama ufaransa itakatiwa gesi basi Afrika ndo itakuwa hatati zaidi.

Au Putin hana akili anapiga Vita ya kijinga [emoji1787][emoji1787]

Pia utasikia hii ni mbinu ya ufaransa ya kitelejensia kuchelewesha malipo ili kuua Uchumi taratibu wa Urusi.
 
Hii habari sio ya kweli,kwa sababu Urusi ni taifa masikini,haliwezi kuitesa nchi tajiri ya Ulaya Magharibi,ufaransa nchi mojawapo yenye first citizens in the world.
Ulimwengu wa kwanza Iko umoja wa kujihami dhidi ya Urusi wa NATO.
Jipange mtoa mada.

Urusi hi hii au Urusi ya kwenye Mars labda.
Hahaha naona umeamua kujitoa ufahamu
 
Hii habari sio ya kweli,kwa sababu Urusi ni taifa masikini,haliwezi kuitesa nchi tajiri ya Ulaya Magharibi,ufaransa nchi mojawapo yenye first citizens in the world.
Ulimwengu wa kwanza Iko umoja wa kujihami dhidi ya Urusi wa NATO.
Jipange mtoa mada.

Urusi hi hii au Urusi ya kwenye Mars labda.
Nimekuelewa, yaan umecheka kwa dharau[emoji14][emoji14][emoji14]
 
Hii habari sio ya kweli,kwa sababu Urusi ni taifa masikini,haliwezi kuitesa nchi tajiri ya Ulaya Magharibi,ufaransa nchi mojawapo yenye first citizens in the world.
Ulimwengu wa kwanza Iko umoja wa kujihami dhidi ya Urusi wa NATO.
Jipange mtoa mada.

Urusi hi hii au Urusi ya kwenye Mars labda.

Yaan france ana pesa za husaidia silaha ukrain akose za kulipia gas mtoa mada atakuwa ana malaria kali sio bure
 
Hii habari sio ya kweli,kwa sababu Urusi ni taifa masikini,haliwezi kuitesa nchi tajiri ya Ulaya Magharibi,ufaransa nchi mojawapo yenye first citizens in the world.
Ulimwengu wa kwanza Iko umoja wa kujihami dhidi ya Urusi wa NATO.
Jipange mtoa mada.

Urusi hi hii au Urusi ya kwenye Mars labda.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji635]
 
Timu upinde watakuja na bla bla Kama ufaransa itakatiwa gesi basi Afrika ndo itakuwa hatati zaidi.

Au Putin hana akili anapiga Vita ya kijinga [emoji1787][emoji1787]

Pia utasikia hii ni mbinu ya ufaransa ya kitelensia kuchelewesha malipo ili kuua Uchumi taratibu wa Urusi.
[emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji1732][emoji1787]
 
Hii habari sio ya kweli,kwa sababu Urusi ni taifa masikini,haliwezi kuitesa nchi tajiri ya Ulaya Magharibi,ufaransa nchi mojawapo yenye first citizens in the world.
Ulimwengu wa kwanza Iko umoja wa kujihami dhidi ya Urusi wa NATO.
Jipange mtoa mada.

Urusi hi hii au Urusi ya kwenye Mars labda.
mahaba mengine bhana
 
Hii habari sio ya kweli,kwa sababu Urusi ni taifa masikini,haliwezi kuitesa nchi tajiri ya Ulaya Magharibi,ufaransa nchi mojawapo yenye first citizens in the world.
Ulimwengu wa kwanza Iko umoja wa kujihami dhidi ya Urusi wa NATO.
Jipange mtoa mada.

Urusi hi hii au Urusi ya kwenye Mars labda.
Endelea kuota, kujana ila angalia usijekulpjoa kitandani
 
Back
Top Bottom