Urusi yaikatia gesi Ufaransa baada ya kushindwa kukamilisha kulipia gesi iliyotumia mwezi Julai

Urusi yaikatia gesi Ufaransa baada ya kushindwa kukamilisha kulipia gesi iliyotumia mwezi Julai

Na chakushangaza zaidi analipa in Rubles [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Hapo ndio utakapojua kuwa vikwazo ni maneno tu, Maana USA anaagiza bidhaa za mamilioni ya fedha kutoka Urusi unadhani analipa kwa pesa gani??

Tupe list ya bidhaa hizo na sisi tuzione
 
Rais wa Ufaransa hana kanuni kama gari moshi la kwenda Mpanda mara leo hiki kesho kile - ngoja Putin amkatie gesi atakula jeuri yake.
Wewe mpuuz Kati ya nchi zenyewe dependency ndogo ya gas Europe ni France , energy demand ya gas ni asilimia 17 Tu haivuki hapo ,France anatumia nuclear power kuzalisha umeme na power Kwa ajili ya domestic heating , na hiyo portion Algeria anaenda kuicover juzi macron alikuwa Algeria ,wenzetu wanatumia hii opportunity kusupply Hilo gap na kujinufaisha Sisi tumekaa kiseng£ senge Tu hapa tuna gas kila Kona ya nchi hii Ila hatujielewi ,Nigeria pia wanapanua miondo mbinu Yao ya uzalishaji WA gas ili kusupply Europe .

Tungekuwa na akili nchi nyingi za Africa Huu ndio ulitakiwa uwe wakati wakuinua chumi za nchi zetu hizi kupitia hii resource ya mafuta na gesi hata uranium na coal pia, mjerumani na mbritish wanafufua vinu vyao vya nuclear na coal kuanza kucover demand gap ya iliyotokanana scarcity ya gas .
 
MuAfrica Hana akili nakwambia hii energy resource iliyopo Africa angekuwa nayo mchina sasa hivi angesupply hiyo demand gap nakwambia ,Africa kuna coal kuna gas ,kuna Uranium ,kuna oil
Hizi zote ni energy sources zilizopo kwenye demand kubwa Kwa wakati Huu ,Mimi sijui hawa maf@la wanaoongoza hizi nchi zetu huwa akili wameziweka matakoni ? ,

Ila sishangai na Huu uzezeta WA watu wengi humu jamii forum kushabikia upumbav watu wanaopigana vita huko Europe badala ya kukaa na kufikiria ni vipi nchi zetu zingeweza kuutilize Hilo gap na kufaidika .

Idiots
 
Aumie Mrusi aumie mfaransa wewe unafaidika na nini ? Akili za kimavi mavi Tu na ushabiki mbuzi
Pumbav
 
Aumie Mrusi aumie mfaransa wewe unafaidika na nini ? Akili za kimavi mavi Tu na ushabiki mbuzi
Pumbav
TULIZA MSHONO WAKO BIBI, kumbuka umetoka KUJIFUNGUA jana tu kwa KISU🔪🔪🔪 (operesheni)...Sasa ukikasirika hovyo na kupata stress nyingi kwa kuminywa 'mbupu' za 'MMEO' mfaransa, utasababisha MSHONO wako kufunguka/ kuchanika tena, na kutupa shida sie nduguzo ya kuushikiza MSHONO wako kwa 🧷🧷🧷🧷🧷

SmartSelect_20220831-132532_Chrome.jpg
 
TULIZA MSHONO WAKO BIBI, kumbuka umetoka KUJIFUNGUA jana tu kwa KISU[emoji380][emoji380][emoji380] (operesheni)...Sasa ukikasirika hovyo na kupata stress nyingi kwa kuminywa 'mbupu' za 'MMEO' mfaransa, utasababisha MSHONO wako kufunguka/ kuchanika tena, na kutupa shida sie nduguzo ya kuushikiza MSHONO wako kwa [emoji3470][emoji3470][emoji3470][emoji3470][emoji3470]

View attachment 2340821
Stick this into your asshole
JPEG_20220831_134810_1034571517264124558.jpg

Mazafaka
 
Back
Top Bottom