Urusi yapiga kombora Ukraine, yaharibu bohari ya silaha za Marekani na Nchi za Ulaya

Urusi yapiga kombora Ukraine, yaharibu bohari ya silaha za Marekani na Nchi za Ulaya

sijawai kuona media yoyote iliyotabir hatima ya hii vita mbali na kusema maeneo, ambayo Ukraine inasonga mbele , nyinyi vilaza ndo mnataka taarifa mbovu tu ya Ukraine , mkisikia taarifa nzur ya Ukrain vichwan mwenu mnahis kama mmeambiwa Ukraine itashinda vita hii , baada ya vitaa hii bara la Afrika inabid lipimwe utimamu wa akili tuna vichaa wengi sana na ndio maana ugaid unashamir
Nenda kwenye web ya bbc swahili utakuta habari nyingi tu. Wewe kama ulipitwa, isiwe sababu ya wengine wasiseme.
 
Mtu anayeua watu anakufurahisha. Inabidi shetani akupe medal we na Putin wako.
9D8EAA9A-034E-4EB2-91E3-29D22F3A740B.jpeg
kwani huku wanaua mende na panya ?

au Ukraine ndio wanaishi watu ?
 
Back
Top Bottom