pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Uturuki anakula ya veto Katika NATO na huwezi kujiunga mpk upigiwe kura na unatakiwa wanachama wote wakukubali akikataa hata mmoja hupati uwanachama na ndio Turkey alipowabana Finland na SwedenUturuki ni nani.
Nenda kwenye web ya bbc swahili utakuta habari nyingi tu. Wewe kama ulipitwa, isiwe sababu ya wengine wasiseme.sijawai kuona media yoyote iliyotabir hatima ya hii vita mbali na kusema maeneo, ambayo Ukraine inasonga mbele , nyinyi vilaza ndo mnataka taarifa mbovu tu ya Ukraine , mkisikia taarifa nzur ya Ukrain vichwan mwenu mnahis kama mmeambiwa Ukraine itashinda vita hii , baada ya vitaa hii bara la Afrika inabid lipimwe utimamu wa akili tuna vichaa wengi sana na ndio maana ugaid unashamir
Soma vizuri historia.Ndio Marakani ndio mfadhili wa hii vita, bila ya Marekani kusingetokea hii operation, back kuna history nzuri kati ya Ukraine na Urusi View attachment 2259104
Niko na wewe naunga mkono hoja ovaπͺπͺπͺπͺπͺπ·πΊπ·πΊπ·πΊπ·πΊπ·πΊWacha wazungu nao wafe, walizoea kuua WAARABU na waafrica.
[emoji38][emoji38][emoji38]Bye Bye NATO
Finland president Sauli Niinisto: We will not join NATO without Sweden.
#Erdogan : Will make sure Finland and Sweden are kept Out Of NATO
Peleka ujinga wako mbele hukoMtu anayeua watu anakufurahisha. Inabidi shetani akupe medal we na Putin wako.
Mtu anayeua watu anakufurahisha. Inabidi shetani akupe medal we na Putin wako.
sio lazima awe rafiki ila kama hujui hii vita nani yuko nyuma pole sanaKwani hii ni vita ya Marekani?
Nawe unaamini kuwa mrusini ni rafiki yako?
Manyang'au yamegeukiana.Niko na wewe naunga mkono hoja ova[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635]