Urusi yapitisha ndege za Kijasusi Alaska, Marekani

Russia amechelewa kwenye mipango hii ya kuiteka Alaska angalia Sweden na Finland tayari wameanza mchakato wa kujiunga NATO...hii mikwala mbuzi ya Russia haijaanza Leo ni miaka mingi huwa anafanya upelelezi wa Aina hii
Jidanganye
 
Pesa tulikula na tutalichukua kwa nguvu US hana ubavu wowote wa kuizuia Russia, US raia wake wengi mpaka Wanajeshi wameshafumiliwa sildi hawana maamuzi ya kiume
Putin mtu m bad[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
vijana wanaoshabikia Urusi reasoning capacity yao ni ndogo kweli kweli una jihakikisha kiurahisi tu kua mnachukua eneo ambalo lilikwisha uzwa kihalali kwa SuperPower kipigo mtakacho pewa mtafutwa kabisa kwenye uso wa Dunia
 
Huko Ukraine anajambajamba ndo akavagae mziki USA weeee thubutu
 
vijana wanaoshabikia Urusi reasoning capacity yao ni ndogo kweli kweli una jihakikisha kiurahisi tu kua mnachukua eneo ambalo lilikwisha uzwa kihalali kwa SuperPower kipigo mtakacho pewa mtafutwa kabisa kwenye uso wa Dunia
Nyie mliopigwa na wavaa makubazi ,wasomali,wavietnam mtamfuta Nani?
 
Tunakoelekea kutamu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…