Kuna Habari mbaya kwa sisi tulio upande fulani wa vita. Naomba walioilewa historia vita pili. Mfano USA, USSR (Urusi),UK vipigana dhidi Ujerumani ya Adolf Hitler. Vita Adolf Hitler dhidi ya Joseph Stanley wa Usoviet USSR. Naona kama malengo wa NATO na USSR usoviet ya urusi wa zamani yanafanana. Alafu malengo ya Urusi ya sasa putin nisawa na ya Adolf Hitler ni sasa.Mbona kama Urusi sio nchi ya kijamaa wala kikomonisti. Lakn NATO nchi wanachana za kijamaa, USA ya Biden ni wajamaa democratic. Naye kassel kijamaa ya Ujerumani Olaf scholz apinga ubeberu na amesisitoza dunia ya ukomonisti mpya isiyo na mipaka ana .kwa Maelezo ya Olaf scholz ujerumani anahitaka dunia ile usoviet ukomosti wa Markism.