Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biashara ipi hiyo? Hacha kudanganya watu.Russia aliamua kukaa na siri kubwa ili usalama na amani duniani viwepo lakini sasa tutajua ukimya wa Russia ni fumbo kubwa.
Siasa za Urusi za kibabe sana na Putin mbabe Sana, kazuia mbolea na chakula kisitoke dunia inapolia njaa anasema vikwazo ndio vinasababisha chakula kisitoke hapo kahamishia ugomvi mbali ili asionekane mkorofi.
Kitakachofuata kwa Sababu hakuna baunsa kwa njaa nchi nyingi zitajitenga na Marekani na hapo Russia ataweza kufanya nao biashara.
Yaani Yuan 1=0.0029 Tsh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], hiyo Yuan ina nn kwenye uchumi wa duniani.Kwa mujibu wa shilika LA fedha Duniani(IMF) nchi ya urusi imehodhi zaidi ya ⅓ ya hifadhi ya sarafu ya China(yuan) duniani
Hisa yako ya akili ni ya mawingu mawinguYaani Yuan 1=0.0029 Tsh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], hiyo Yuan ina nn kwenye uchumi wa duniani.
Kwa hiyo Tsh ina thamani kubwa kuliko Yuan?Yaani Yuan 1=0.0029 Tsh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], hiyo Yuan ina nn kwenye uchumi wa duniani.
1 Chinese Yuan = 350 TZS.Yaani Yuan 1=0.0029 Tsh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], hiyo Yuan ina nn kwenye uchumi wa duniani.
Kwa mujibu wa shilika LA fedha Duniani(IMF) nchi ya urusi imehodhi zaidi ya ⅓ ya hifadhi ya sarafu ya China(yuan) duniani
Ndugu unasema Yuan Ina nini kwenye uchumi wa dunia? Kwanza unajua Yuan ni fedha ya taifa lipi hapa duniani? Unajua hilo taifa linanguvu gani kiuchumi, Kisiasa, Kibiashara ,kijeshi na Kisayansi na kiteknolojia hapa duniani?Unajua how powerfu yuan is?Yaani Yuan 1=0.0029 Tsh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], hiyo Yuan ina nn kwenye uchumi wa duniani.
Sizani kama anajua kuwa thamani ya yuan kuwa chini wakati wote huwa ni lengo kuu la bank kuu ya Uchina na wanazo tools mbalimbali za kuhakikisha inakuwa hivyoMuulize huyo dada anajua maana ya devaluation na faida zake?
Yani kila siku nasema jf ndio mtandao unaongoza kwa vijana wasio kua na upeo wa kufikiri , bora mkuu umuache tu na akili zake mgando .yani anafananisha exchange rate na uchumi wa nchi kwa maana hiyo uchumi wa Oman mkubwa kuliko Marekani maana pesa ya Oman 1 sawa na elfu sita ya TZ dollar unaingia Mara mbili na nusuHisa yako ya akili ni ya mawingu mawingu
Kwa hiyo unataka kusema Urusi mpaka sasa hajui anachokifanyaHiyo Yuan sio (Convertible Currency) hivyo haina maana yoyote katika dunia hii.
Ukitaka kujua hilo ingia kwenye mtandao wa Ali Baba ujaribu kutaka kununua kitu kutoka China uone watakupa bei kwa sarafu gani kisha ndio urudi humu.
Watu Kama Nyie Ndo Mnasababisha JF ionekane imejaa watu WakipumbavuYaani Yuan 1=0.0029 Tsh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], hiyo Yuan ina nn kwenye uchumi wa duniani.
Yuan haina chochote kwenye uchumi wa dunia, hiyo ni kama sh tu, kiufupi ipo ipo tu.Ndugu unasema Yuan Ina nini kwenye uchumi wa dunia? Kwanza unajua Yuan ni fedha ya taifa lipi hapa duniani? Unajua hilo taifa linanguvu gani kiuchumi, Kisiasa, Kibiashara ,kijeshi na Kisayansi na kiteknolojia hapa duniani?Unajua how powerfu yuan is?
Usiruke ruke kama maharage yanayochemshwa, ww elezea devaluation ni niniMuulize huyo dada anajua maana ya devaluation na faida zake?