Urusi yatangaza usitishaji mapigano Ukraine ili raia watoke

Urusi yatangaza usitishaji mapigano Ukraine ili raia watoke

Raia watangaze kutotoka hapo ukraine.

Haiwezekani uwe na huruma na watu lakini usiwe na huruma na makazi ya watu hao.
Vita Ni Vita boss,
Vita haina macho mkuu.

Ndo tunaswa tuombe Sana ww3 isije lipuka maana hata sisimizi wataangamia kwa ugomvi wetu wanadamu[emoji4]

Kama ulimsikia vizur Putin,
Lengo kuondolea kabisa uwezo wa kijeshi Ukraine

Na ktk Hilo Lazima miundombinu muhimu yote ifyekwe, yakiwemo majengo.

Hapa Cha kuwashaur wanajesh wa ukraine, wasije wakajichanganya kuyatumia majengo ya raia Kama cover.

Putin atayafyeka yote, tutazoa vifusi tu
 
Putin pumzi imekata anataka apate muda wa kufanya mobilization na ujasusi..

Urusi likiwa kama jeshi imara lenye special forces na high precission weapon anashindwaje kuzipiga na raia wakiwepo.... USA kaingia Baghdad raia wakiwepo, kaingia Tripoli raia wakiwepo majumbani kwao...

Shida ya wajamaa ni kushindwa kutumia akili na kuwekeza kwenye miguvu, ameshindwa kuwaconvise waukrain kuigeuka na kuipindua serikali yao kwa kupandikiza mamluki pale Kiev?...
 
anataka kukusanya wapiganaji wake kutoka syria na chechniya aongeze nguvu huku akisupply ammunition na supply nyinginezo kwa walio front line... Urusi hana uwezo kivile kama tunavyomuoverate..
 
Hapo Waukraine wasepe wote raia, wajeda hadi Rais...

Vita ikiresume, Urusi wanajipata Ukraine nzima wapo peke yao hawana tena counterparts wa kudundana nao...
 
Angekuwa mjanja asingekubali raia waondoke maana hapo hakutakuwa tena na haki za binadamu.ni mwendo wa mabomu kwenda mbele

Kuna Game nyingi sana inachezwa on the ground pale, mnamuona mjinga lakini jua western intel yoote iko nyuma yake, inampa hints every step, everyday NATO wana surveillance flight iko na experts wa members woote wako hewan day and night kutoa intel, kuna mataifa ya western wao kama wao wanatoa intel, lakin naona maji yanamzidi putin naona leo kapigwa ban kuuza crud oil, gas& coal sidhan kama alitegemea hili, western wametoa 60M barrel kufidia na kati ya haya US katoa half of it pekee, tukurudi msemo usemao fedha shetan naona venezuela taratib nyimbo za us zimemuingia kakubali kuongeza uzalishaji, russia wenyewe wamekiri kwamba ndege walizopoteza in 13 days hawajawah poteza in the past 30yrs. Kwa kifupi hii ngoma bado mbichi saana haieleweki
 
Putin pumzi imekata anataka apate muda wa kufanya mobilization na ujasusi..

Urusi likiwa kama jeshi imara lenye special forces na high precission weapon anashindwaje kuzipiga na raia wakiwepo.... USA kaingia Baghdad raia wakiwepo, kaingia Tripoli raia wakiwepo majumbani kwao...

Shida ya wajamaa ni kushindwa kutumia akili na kuwekeza kwenye miguvu, ameshindwa kuwaconvise waukrain kuigeuka na kuipindua serikali yao kwa kupandikiza mamluki pale Kiev?...
Bado hujamuelewa putin.ni hivi anajua ana maadui wa 3,US ,NATO na Ukraine ,anayepigana naye face to face ninukraine lkn ,tayari US na NATO wameanza nao kumpiga kiuchumi kwa ku impose vikwazo vya mafuta yake,Sasa ili asiingia economic crisis pakubwa anatakiwa aimalize hii Vita ndani ya mwezi au si zaidi ya mwezi mmoja ,thus why ameona raia watoke halafu iwe rahisi ku endup the game,na wakitoka kweli raia Basi hata siku 5 hazipiti mchezo unaisha. kupigana Vita ukimsaka adui pekee ndo ulenge shabaha na huku unajizuia kutokumdhuru raia ,inahitaji umakini lkn usiwe na haraka ,huoni marekani walitumia miezi kadhaa kuidhibit Afghanistan ,Libya n.k!? Ni kwa sababu ya kikwazo Cha raia.
 
Kuna Game nyingi sana inachezwa on the ground pale, mnamuona mjinga lakini jua western intel yoote iko nyuma yake, inampa hints every step, everyday NATO wana surveillance flight iko na experts wa members woote wako hewan day and night kutoa intel, kuna mataifa ya western wao kama wao wanatoa intel, lakin naona maji yanamzidi putin naona leo kapigwa ban kuuza crud oil, gas& coal sidhan kama alitegemea hili, western wametoa 60M barrel kufidia na kati ya haya US katoa half of it pekee, tukurudi msemo usemao fedha shetan naona venezuela taratib nyimbo za us zimemuingia kakubali kuongeza uzalishaji, russia wenyewe wamekiri kwamba ndege walizopoteza in 13 days hawajawah poteza in the past 30yrs. Kwa kifupi hii ngoma bado mbichi saana haieleweki
Unasema Putin maji yamemzidi then unasema ngoma mbichi haieleweki. Kwahyo kuna kauli moja umeongea uongo... rekebisha mwenyewe wapi umeongopa?
 
anataka kukusanya wapiganaji wake kutoka syria na chechniya aongeze nguvu huku akisupply ammunition na supply nyinginezo kwa walio front line... Urusi hana uwezo kivile kama tunavyomuoverate..
Walikuwa wanamuogopa tu, labda yuko vizuri defensive
 
Kule Zelensky anajimwambafai kaua jenerali wa urusi, kipind hiki Cha cease fire

Sasa Ngoja wafatiliaji tukae mkao wa kula tuone jinsi gani ukrane inakwenda kugeuka HISTORICAL SITE kwa magofu yanayoenda kutengenezwa.[emoji4]

Uyu Zelensky anakwenda kuifanya ukraine yake igeuke mavumbi kwa upumbavu wake mwnyw wa kutaka cheap populality Kwny media.
Amepewa hela nyingi na NATO, kuna nguvu kubwa pia ya kusaidia raia wa Ukraine.
 
Angekuwa mjanja asingekubali raia waondoke maana hapo hakutakuwa tena na haki za binadamu.ni mwendo wa mabomu kwenda mbele
Kiongozi mzuri hawezi kuwatumia wananchi wake kama bullet proof.

Lazima ahakikishe taifa(watu) wanakuwa salama hata kama itawalazimu wawe uhamishoni. kuna kipindi watairudia ardhi yao hata baada ya Zelensky kutokuwapo tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vita Ni Vita boss,
Vita haina macho mkuu.

Ndo tunaswa tuombe Sana ww3 isije lipuka maana hata sisimizi wataangamia kwa ugomvi wetu wanadamu[emoji4]

Kama ulimsikia vizur Putin,
Lengo kuondolea kabisa uwezo wa kijeshi Ukraine

Na ktk Hilo Lazima miundombinu muhimu yote ifyekwe, yakiwemo majengo.

Hapa Cha kuwashaur wanajesh wa ukraine, wasije wakajichanganya kuyatumia majengo ya raia Kama cover.

Putin atayafyeka yote, tutazoa vifusi tu
Nchi inalindwa na jeshi.

Unapotaka kuondoa jeshi unakuwa na maana gani?

Nani ailinde katiba? Nani alinde mipaka? Nani alinde wananchi?

Anachokifanya Russia ni kutaka kuigeuza Ukraine kuwa koloni lake jambo ambalo halikubaliki kwenye karne ya 21.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom