Urusi yatishia kuzuia usambazaji wa gesi kwa mataifa mengine ya Ulaya

Urusi yatishia kuzuia usambazaji wa gesi kwa mataifa mengine ya Ulaya

Ukweli ni kwamba mataifa ya magharibi mwanzo yaliona km Russia anataka kutumia kitisho tu kwa Ukraine,lakini hawakutegeme km ataivamia mazima na ndio maana na wao wakaanza kutia mkwara kwa kufanya mazoezi ya kijeshi na Ukraine ili kumuogopesha Urusi,ila hali ilivyozidi kubadilika na intelligence zao kuona kuna ukweli anaweza kuivamia na wakanza kutafuta namna nyengine ya kumtia moyo jamaa yao Ukraine..hata hivi vikwazo walivyoviweka hawakujipanga vizuri kuona madhara gani yatawakuta kwa upande wao,

Na ndio maana kuna baadhi ya nchi za ulaya wanaona hawana sababu ya kuingizwa kwenye mgogoro wenye madhara kwao,ila kwa sababu ya shinikizo kutoka kwa wakuu na wao wanalazimika kufanya hivyo kwa matakwa ya wakuu wao kwenye muungano huo..

Kuna wachambuzi wa uchumi kutoka mataifa ya ulaya wanakili wazi kwamba hivyo vikwazo walivyoviweka vinawaumiza na wao,kuliko matarajio yao viwaumize waRusi tu.
Waliona kitisho kivipi wakati Marekani alishatoa details zote kuwa Russia ishajiandaa kushambulia Ukraine na hata viongozi wa Russia walipoulizwa walipinga hadharani,sasa kilichotokea? Ina maana kuwa walishajua plans zote za Russia na matokeo yake yatakuwaje
 
Kama Umewahi kufika Poland au hizo nchi za Western na Eastern Europe ogopa sana baridi ya kule Gas inatumika muda wote iwe summer au winter sema summer hailiki sana ila inatumika sana....Jameni kuna baridi hiyo Dunia ya huko asikuambie mtu...Wewe Mtz ukiambiwa Summer beba makoti mana utakoma ukijipeleka kienyeji...
Mwisho wa Yote Urusi huwezi kuitenga hilo halina namna...Ndio mana hata India na China wamegoma huo ujinga wa Vikwazo..Tunachotaka sisi sio Kingine ni kwamba Dunia iwe na Balance of Power sio magenge ya Western yakiamua Kumuua yeyote hapa Dunian kama yalivyofanya Libya..Yemen..Iraq na kwinigeneko basi hamna wa kusema jambo..New world Order ni mhimu ili heshima iwepo...

HUWEZI kukwepa Gas ndio mana wanalia sana hata wakinunua kwa bei juu nao watauza kwa bei juu nani anataka vitu aghali? HIVYO wananchi wao wataumia zaidi na uchumi wao utayumba sana pia...
 
1. Humu ndani si mlisema ulaya inanunua gas kwa rubble kimya kimya ili kuficha aibu yao? Sasa mbona peskov anadhihirisha kuwa bado wananunua kwa Euro.

2. Humu ndani mkasema kuwa Ulaya haiwezi kusustain pasipo gas ya mrusi. Endapo wao wanalifahamu hili, iweje wakatae kulipo kwa Rubble?

3. Narudia tena kuzungumza, hiki kitu westerns walishapanga kitambo mno, walishapga hesabu siku wakigomea mafuta na gas ya mrusi ni kipi kitatokea na wataishi vipi.

Sisi hatujui ni kipi kipo nyuma ya pazia, muda utazungumza zaidi.
Mkuu, wakomunisti kwa porojo ni balaa
 
Kauli za Kiume hizo,Urusi funga Bomba la Gesi kwa Wadwanzi hao wa West.
 
Na kitu kingine,anawakatia gesi wakati wanaelekea kipindi cha Summer muda mfupi tu ujao,mpaka Summer iishe watakuwa walishaweka sawa jinsi ya upatikanaji wa gesi.Russia akae na gesi yake,hakuna anayeihitaji kwa sasa
Kwani mkuu matumizi ya gesi ni kwa ajili ya baridi tu?
Mimi nilikuwa sijui hilo.
 
Back
Top Bottom