Urusi yatiwa hofu na inteligesia ya Marekani kuhusu uvamizi Ukraine

Urusi yatiwa hofu na inteligesia ya Marekani kuhusu uvamizi Ukraine

USA ndiye dominant hapo NATO, ndugu!
NATO inaendelea kuwepo kwa sabab us anataka iwepo na us ndio mchangiaj mkubwa wa kibajet na ndio maana mara zote ajenda za us ndio ajenda za NATO,

Ujeruman alikuwa anajirudisha nyuma ktk kadhia hii ya ukraine lkn akalazimika kuonyesha ushirikiano baada ya kiongoz wake kupata mualiko wa white house na naamin injinia wa mchezo wote huu yupo us.

Ingawaje mambo yanaenda ktk njia ngumu baada ya urusi nae kutumia mbinu za kibabe hadi kupelekea ukraine kuomba kikao na urus na urusi kuuchuna lkn mwisho wa siku watakaa mezan na kupeana mashart na hatimae hali kurud ktk hali ya kawaida.
 
NATO inaendelea kuwepo kwa sabab us anataka iwepo na us ndio mchangiaj mkubwa wa kibajet na ndio maana mara zote ajenda za us ndio ajenda za NATO,

Ujeruman alikuwa anajirudisha nyuma ktk kadhia hii ya ukraine lkn akalazimika kuonyesha ushirikiano baada ya kiongoz wake kupata mualiko wa white house na naamin injinia wa mchezo wote huu yupo us.


Ingawaje mambo yanaenda ktk njia ngumu baada ya urusi nae kutumia mbinu za kibabe hadi kupelekea ukraine kuomba kikao na urus na urusi kuuchuna lkn mwisho wa siku watakaa mezan na kupeana mashart na hatimae hali kurud ktk hali ya kawaida.
Inaonekana sasa Ukraine anaenda kutii masharti ya Russia kuepuka vita, sharti kubwa ni kutojiunga na NATO
 
Inaonekana sasa Ukraine anaenda kutii masharti ya Russia kuepuka vita, sharti kubwa ni kutojiunga na NATO
Wa kukubaliana hapo ni us kwa mgongo wa NATO na urusi huyo Ukraine atapewa maelezo kuhusu makubaliano
 
hakuna inchi ngumu kuipeleleza kama urusi marekani wanaangali moviment za silaha za urusi na kupima kiwango cha uvamizi
Sidhani mkuu; miaka ya 80 kurudi nyuma, Urusi ndio ilikua inaongoza siasa za UJAMAA duniani almaarufu kama UKOMINIST, CIA waliweza kuua kabisa ukominist duniani, walitumia njia hizo hizo za Intelijensia hiyo hiyo na UKAFA hadi leo.
Hi dhana ndio alikua nayo sana Kagame wa Rwanda, alikua anajua yeye anazijua siri za majirani zake, majirani zake hawajui siri zake, Kikwete akamchapa hadi ndani ya Rwanda na hakuamini; hi imetokea juzi tu, mwaka 2014, kumbe JWTZ wanamjua PK ndani nje, wanaijua Rwanda ndani nje hadi PK akaomba poo. I think unaikumbuka ile issue ya M23 wa Rwanda/Congo.
 
Kiukwel kwangu mimi putin ni favorite president wa muda wote mwamba anachanja mbuga utafikiri hana vikwazo itoshe kusema Vladimir put-in ni Mkali hizo kazi yanii show show

Syria kwa Asad kawaweza
Krimea alibeba kitabe
Na gesi mwamba anawauzia kupitia Gazprom
Kwenye masilahi yake hajiulizi mara mbili umemzingua leo kesho kutwa kashaleta wanajeshi elfu kumi na makomandoo wa mijegeji 300 hapo hafati zijui sheria za kimataifa sijui nn atasubiri zikwazo vya wavulana wa magharibi baadae baada ya kumaliza mission yake
Netanyahu aliwauwa wanajeshi wake na operation zake za kuvizia vizia anauma anakimbia kwenye nchi za waarabu mwenyeweee kapanda ndege huyo mpka Moscow kwa put in

Warussi si waafrica lkn wanajua mzikii wake hamna mrusi anayesema Suu kwenye kumtoa jamaa madaraka wote kawatuliza pia kumbka hakuna nchi kubwa kama Russia Sasa kutawala hilo linchi ni lazima uwe hushikiki nyie nyie nyie hamuogopi
 
Ukibahatika kuangalia movies za kirusi ziwe, action movies, criminal investigation, family matters, nakadhalika. Huwezi kurudi kwa movies za Hollywood.

Pia movies zilizotengenezwa Iran, ni kali mno.
Mzee mbona kama unaisema hii yaan intelligence ya humo imetulia, haina mbwembwe na mauongo kama ya Hollywood movies za wamarekani zenye lengo la kuwapa kiki,

Russian intelligence is so wonderful
Screenshot_20220215-100329.jpg
 
Mzee mbona kama unaisema hii yaan intelligence ya humo imetulia, haina mbwembwe na mauongo kama ya Hollywood movies za wamarekani zenye lengo la kuwapa kiki,

Russian intelligence is so wonderfulView attachment 2119918
Huyo Anna ni Mrusi nadhani anaitwa Tatiana alafu mtu simple sana nimemfollow Instagram wala haonekani ni star. Ila movie imeandaliwa na watu wa Hollywood na Ufaransa flani ndani yake, sio movie ya Warusi. Nzuri sana
 
Huyo Anna ni Mrusi nadhani anaitwa Tatiana alafu mtu simple sana nimemfollow Instagram wala haonekani ni star. Ila movie imeandaliwa na watu wa Hollywood na Ufaransa flani ndani yake, sio movie ya Warusi. Nzuri sana
Sidhani kama walishiriki mazima hao Hollywood na Ufaransa.
Ebu Kagua Full Cast & Crew hapa ya hiyo movie
====
 
Hiyo kazi inafanywa na MOSSAD kwa kushirikiana na CIA ,MOSSAD ndio shirika bora la kiupelelezi duniani hakuna taarifa zozote hasizozijua
Yaani we unaishi Yombo kwa Limboa unawezaje kupima ubora wa Mashirika ya Kijasusi duniani au ndio umeshindwa kuficha mahaba yako mpaka unadanganya watu wenye taaluma zetu
 
Kiukwel kwangu mimi putin ni favorite president wa muda wote mwamba anachanja mbuga utafikiri hana vikwazo itoshe kusema Vladimir put-in ni Mkali hizo kazi yanii show show

Syria kwa Asad kawaweza
Krimea alibeba kitabe
Na gesi mwamba anawauzia kupitia Gazprom
Kwenye masilahi yake hajiulizi mara mbili umemzingua leo kesho kutwa kashaleta wanajeshi elfu kumi na makomandoo wa mijegeji 300 hapo hafati zijui sheria za kimataifa sijui nn atasubiri zikwazo vya wavulana wa magharibi baadae baada ya kumaliza mission yake
Netanyahu aliwauwa wanajeshi wake na operation zake za kuvizia vizia anauma anakimbia kwenye nchi za waarabu mwenyeweee kapanda ndege huyo mpka Moscow kwa put in

Warussi si waafrica lkn wanajua mzikii wake hamna mrusi anayesema Suu kwenye kumtoa jamaa madaraka wote kawatuliza pia kumbka hakuna nchi kubwa kama Russia Sasa kutawala hilo linchi ni lazima uwe hushikiki nyie nyie nyie hamuogopi
AMKA AMKA.. HUO USINGIZI UTAKUFNYA UOTE PUTIN KAOA KWENU.
VITU VIPO KINYUME NA ULIVYOTAPIKA HAPA.
 
Yaani we unaishi Yombo kwa Limboa unawezaje kupima ubora wa Mashirika ya Kijasusi duniani au ndio umeshindwa kuficha mahaba yako mpaka unadanganya watu wenye taaluma zetu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom