Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe ndio hakuna unacho elewa zaidi ya kumeza story kama zilivyo... jiulize kwanini mataifa kama china ina sheria za kulazimisha makampuni kujenga viwanda na kuweka hiyo tech katika ardhi ya mchina na sio kupeleka bidhaa ambazotayari zime tengenezwa...We jamaa ndo hata exposure sijui kama unayo ,!! Tena huko kwenye madawa ndo kuna unyama wa copyrights hadi basi those companies are Ruth less, Arv zenye kuzipata sisi waafrica ilikuwa ishu, kama si bill gates tungeteketea kwa kasi ya ajabu ,
Mamlaka zoote unazozijua wewe hawana ubavu wa kuzuia au kulazimisha formula za wenye nazo ziwe disclosed haipo kwanza kuna products unaambiwa kabisa wewe hazikuhusu na hazikutengenezwa kwa ajili yako .
Itabidi waiite PUTIDONALDBado Mac Donald maana ngano wanalima wao ni recipes ndio inatakiwa
Yaani mtu kawekewa vikwazo lkn utafikiri panzi wanaotikisa mbuyu.Urusi ni mwamba jamani
Wa Mang'ati wa Russia hawatakuelewaSasa hio si kama Mo Cola au Azam Cola kuna nini cha ajabu? Karibu supermarket chains zote dunia ya kwanza wana Cola zao.
Russia wana propaganda za ki uvccm sanaKama kuna ajira zimepotea,kodi kiasi fulani imepotea hio ni athari hata ukiweka siasa kujaribu kuonesha hamna madhara unajidanganya tu.
Yaani kakurupuka huko alikkokuwa eti anakuja kusahihisha!Doh !
Content ya kile kinywaji ni cola nuts , ndio sbabu kila anayetengeneza lazima amalizie na hilo neno ' cola'
Coca ni trademark name
Watu wana poteza ajira serikali mapatoIla Wazungu Ni wajinga Sana,yaani walidhani Taifa kubwa Kama Russia litatetereka kwa sababu ya Cocacola,Fanta 😄😄, hata Tz tu leo wakifunga hivyo viwanda hakuna mwananchi atahangaika kusema eti serikali iondoke madarakani kwa Sababu ya Coca na Stone Tangawizi 😄😄
Sanasana bidhaa zikikosekana,Kodi itapungua kiaina lkn pia serikali ita-save pesa nyingi inazozitumia kwenda kununulia madawa ya ugonjwa wa kisukari.
[emoji2960][emoji2960]Hizo zinataste kama products Za cocs cola 100%.....kumbuka zinatengenezewa kwenye viwanda vya Coca-Cola vilivyotaifishwa na urusi
comment hii nashindwa hata kucheka [emoji2960][emoji2960]nenda kawaulize tbs, tmda na sheria za nchi mbalimbali... ISO etc... usipigizane kelele la mimi...
nchi zina sheria zake upeleki tu bidhaa kisa una taka usiibiwe, zibiti hilo kisheria sio ufiche ili uhatarishe uhai wa wananchi wake...
china russia etc wakubali upuuzi na kuhatarisha watumiaji ambao ni wananchi wao?
usalama wa watumiaji kwanza...
hizo stori zako za kale zitoe hapa
hata maji ya kilimanjaro na uhai yana tofautiana ladha na yote ni colorless...
Hao wanywaji umewaonea wapi?? CNN??BBC?? Au FoxNews??
Wew umeinywa ukagundua haina ladha nzuri kama Coca-Cola??
[emoji23][emoji23][emoji23] hilo jina tu,hakuna biashara tena hapoItabidi waiite PUTIDONALD
Hata uweke majambia mwanzo mwisho wa comment,haisaidii.Leo tuko mwezi wa nne,ngoma.bado mbichi kabisa.Supapawa jasho la kwapa linamvuja[emoji3538][emoji3538][emoji3538]Mario Draghi Italian premier "I asked Putin for a ceasefire Putin replied it's not the time"[emoji3538][emoji3538][emoji3538]