Urusi yazikatia huduma za gesi Denmark na Germany

DeepPond

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2017
Posts
41,728
Reaction score
103,997
Kampuni ya kusambaza gesi ya urusi ya Gazprom imezikatia huduma nchi za denmark na German baada ya kampuni yao ya SHELL ENERGY EUROPE LIMITED yenye dhamana ya kuwasambazia gesi nchi za Denmark na German kushindwa kufanya malipo kwa rubble Kama ilivyoelekezwa na rais Vladmir Putin.

Hii inakuja baada ya kufikiwa kwa deadline waliyopewa ya tar 01 June kuwa wamefungua account ya rubble katika benki kuu ya Russia na malipo yote ya gesi yafanyike kwa cash ya pesa ya ruble.

Chanzo: Kyiv independent

 
Shell has said it will work to keep gas flowing to its customers in Europe after Russian energy firm Gazprom said it would cut supplies from tomorrow.

Shell told the BBC it would continue to get gas from its other sources. The gas giant said it would continue to phase out Russian fossil fuels.
 
Ujerumani ipo vizuri kiuchumi kuliko hao wenzake wa Ulaya,kukosa gesi atarudi hatua nyingi nyuma kiuchumi.
 
Hzi habari nazo zinachosha mara walisha ufyata cku nyingi wanalipa kwa ruble mara sasa ndio wamekatiwa manake wameshindwa lipa kwa ruble sasa kipi ni kipi
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nina furaha Sana Sana tuendelee kucheki movie 🤣🤣🤣
 
Mbona wale Mujahedeen wa imani kali za kidini walituambia humu kwamba sasa hivi kila nchi inayoagiza nishati kutoka Russia inanunua kwa Ruble, sasa hii taarifa anatoka wapi sasa hivi au watasema ni propaganda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…