Urusi yazipa onyo Finland na Sweden mpango wao wa kujiunga na NATO

Urusi yazipa onyo Finland na Sweden mpango wao wa kujiunga na NATO

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
Urusi imetoa onyo kwa Finland na Sweden kuhusu mpango wao wa kujiunga na Nato, wakiamini kuwa mpango huo hakuwezi kuleta utulivu Ulaya.

Msemaji wa Kremlin, Dmitry Peskov amesema muungano huo unabaki kuwa kama 'chombo kinacholenga makabiliano'.

Marekani inaamini nchi hizo zinaweza kuomba uanachama mapema Juni, 2022 ili kuifanya Nato izidi kukua.

Ikulu ya Marekani inaunga mkono mpango huo ambao utaifanya Nato kufikisha wanachama 32. Wiki iliyopita mazungumzo yalifanyika kati ya viongozi wa Nato na mawaziri wa mambo ya nje wa Helsinki na Stockholm kuhusu mipango hiyo.

Source: BBC
===

Ukraine War: Russia warns Sweden and Finland against Nato membership


Russia has warned Finland and Sweden against joining Nato, arguing the move would not bring stability to Europe.

Kremlin spokesman Dmitry Peskov told reporters that "the alliance remains a tool geared towards confrontation".

It comes as US defence officials said Moscow's invasion of Ukraine has been a "massive strategic blunder" which is likely to bring Nato enlargement.

US officials expect the Nordic neighbours to bid for membership of the alliance, potentially as early as June.

Washington is believed to support the move which would see the Western alliance grow to 32 members. US State Department officials said last week that discussions had taken place between Nato leaders and foreign ministers from Helsinki and Stockholm.

Before it launched its invasion, Russia demanded that the alliance agree to halt any future enlargement, but the war has led to the deployment of more Nato troops on its eastern flank and a rise in public support for Swedish and Finnish membership.

Finnish MPs are expected to receive a security report from intelligence officials this week, and Prime Minister Sanna Marin said she expects her government "will end the discussion before midsummer" on whether to make a membership application.

Finland shares a 1,340km (830 miles) long border with Russia and has been rattled by the invasion of Ukraine.
 
Sweden , Finland , Ukraine zote zitajiunga NATO ni suala la mda tuu..
[emoji1][emoji1][emoji1]
Screenshot_20220410-224327.jpg
 
Ameanza kulewa sifa Mzee wetu Putin.

Atulie aendeleze kipigo pale Ukraine paishe.

Asijikute Mwanaume sana kuvimba vimba watamtia Kidole huko mbeleni kama hatumii akili yake vizuri.

Wahuni walikuwa wengi tu kama yeye huko nyuma.Ni muda tu uliwasubiri.

Aile Ukraine tujisifie kwa hapo.

Likivuma sana hupasuka.
 
Ameanza kulewa sifa Mzee wetu Putin.
Atulie aendeleze kipigo pale Ukraine paishe.
Asijikute Mwanaume sana kuvimba vimba watamtia Kidole huko mbeleni kama hatumii akili yake vizuri.

Wahuni walikuwa wengi tu kama yeye huko nyuma.Ni muda tu uliwasubiri.

Aile Ukraine tujisifie kwa hapo.
Likivuma sana hupasuka.
Napoleon , Hiro hito , Joseph Stalin na Adolf Hilter

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Urusi imetoa onyo kwa Finland na Sweden kuhusu mpango wao wa kujiunga na Nato, wakiamini kuwa mpango huo hakuwezi kuleta utulivu Ulaya.

Msemaji wa Kremlin, Dmitry Peskov amesema muungano huo unabaki kuwa kama 'chombo kinacholenga makabiliano'.

Marekani inaamini nchi hizo zinaweza kuomba uanachama mapema Juni, 2022 ili kuifanya Nato izidi kukua.

Ikulu ya Marekani inaunga mkono mpango huo ambao utaifanya Nato kufikisha wanachama 32. Wiki iliyopita mazungumzo yalifanyika kati ya viongozi wa Nato na mawaziri wa mambo ya nje wa Helsinki na Stockholm kuhusu mipango hiyo.

Source: BBC


===============================================


Ukraine War: Russia warns Sweden and Finland against Nato membership

Russia has warned Finland and Sweden against joining Nato, arguing the move would not bring stability to Europe.

Kremlin spokesman Dmitry Peskov told reporters that "the alliance remains a tool geared towards confrontation".

It comes as US defence officials said Moscow's invasion of Ukraine has been a "massive strategic blunder" which is likely to bring Nato enlargement.

US officials expect the Nordic neighbours to bid for membership of the alliance, potentially as early as June.

Washington is believed to support the move which would see the Western alliance grow to 32 members. US State Department officials said last week that discussions had taken place between Nato leaders and foreign ministers from Helsinki and Stockholm.

Before it launched its invasion, Russia demanded that the alliance agree to halt any future enlargement, but the war has led to the deployment of more Nato troops on its eastern flank and a rise in public support for Swedish and Finnish membership.

Finnish MPs are expected to receive a security report from intelligence officials this week, and Prime Minister Sanna Marin said she expects her government "will end the discussion before midsummer" on whether to make a membership application.

Finland shares a 1,340km (830 miles) long border with Russia and has been rattled by the invasion of Ukraine.
Kama vipi Ipigwe Vita ya tatu ya dunia tu Wasitizungushe tuna mambo mengi ya kufanaya
 
Kama vipi Ipigwe Vita ya tatu ya dunia tu Wasitizungushe tuna mambo mengi ya kufanaya
Mkuu kwa Technologia ya sasa vita ya tatu itaiacha dunia mahali pabaya mno..itakuwa ni nuclear war.. hata sisi Africa baadhi ya makombora yatapotezwa na kutua huku..

No one will be safe...usiombe kabisa kitu hii itokee...bara la Africa litakuwa la kwanza kupotea maana hatuna mifumo madhubuti ya ulinzi wa anga letu.
 
Putin linataka kugombana na kila nchi inayotaka kujiunga na NATO? mbona nchi zinazojiunga na Rusia zipo salama au Akili imemruka. Au yawezekana washauri wake wamemchoka Sasa wanamfitinisha na Dunia.
 
Back
Top Bottom