Chama hatulitaki ila limetuganda ka donda ndugu khaa!!Mwaka huu kazi ipo.
Marekani watusaidie tuondokane na jinamizi ccm, chama kimetufukarisha miaka 60 ya uhuru kila siku kinajiita chama cha wanyonge. Kila miaka watanzania ni wanyonge tu.
Umoja wa mataifa ingilieni kutusaidia, umasikini utatuua chini ya ccm.
Wangekuwa na ubinadamu kiasi hicho huyo balozi angehangaika na Libya ambako usalama na amani hakuna. Wameivuruga libya kwa sababu ya tamaa ya mafuta ambayo Gadafi alikuwa amewabana wasiyanyonye. Hakuna mzungu ambaye anampenda mwafrika kwa dhati ni basi tu wangekuwa na uwezo wangetumaliza hta kwa silaha za sumu ili waje watawale afrika yote.Are you sure? America stands for its interest full stop.
If it stands for ordinary people it could have stopped mass genocide in Rwanda and Burundi
Kumbe una mtindio wa ubongo ee... Hizi kejeli zipeleke pale US Embassy kama una guts... Wanawalisha na kuwapunguzia makali ya ukimwi afu mnawabeza... Jichanganyeni muone
Nyie hamjawahi kuwa na akili... Uzwazwa umewajaa mkikaa nao mbona hamuwaropokei ila mnawaita wadau wa maendeleo?Mtindio wa ubongo unao wewe unayejitisha bila sababu
Usiku Ubongo ukibahatika kurudi sawa rudi kumsikiliza muwakilishi wa barrick ndio utajua mlivyo vibaraka
View attachment 1608796
Hizo zama za utegemezi kwa JPM hazipo tena, ndo maana kwa mara ya gharama za uchaguzi hatujaomba mtu! Sasa hao nyangau wanajisikia vibaya ndo maana wanatoa vitamko uchwara!Baada ya uchaguzi huu,tegemea sheria nyingi kandamiz kwa wananchi kufutwa kupitia shinikizo la jumuiya ya kimataifa ikiwemo ubadilishwaji wa tume ya uchaguzi.Bila Support ya Marekani Tanzania haiwezi survive
Hahahaha kama inakuuma chomoa!Nunueni ARV kwa cash kama mnavojinasibu kwenye ndege! Dose ya mtu mmoja ni kuanzia 300$ mkiweza hapo hamtakuwa mnapangiwa sio mnaleta hapa nye nye nye mara mabeberu sijui
Wadau wa maendeleo ni pale kunapokua na usawa lakini kwa mkataba kama ule wa acacia mliokua mnalia kuwatetea ni utapeli mkubwa na wezi. Hata was wanajua nyie ni mazwazwa na John Pombe Magufuli ni kichwaaaNyie hamjawahi kuwa na akili... Uzwazwa umewajaa mkikaa nao mbona hamuwaropokei ila mnawaita wadau wa maendeleo?
How can you compare a bitch with an anointed one Tundu Antiphas Lissu a survival of 16 bullets???Higher wrong expectation = Big disappointment (ask Mange Kimambi and she will tell you a tale)
October 28th kura nyingi za NDIO ni kwa JPM.
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Kha! Mange keshakua bitch😎😎😎 maskini dahHow can you compare a bitch with an anointed one Tundu Antiphas Lissu a survival of 16 bullets???
Mbona unadivert? Hapa inajadiliwa issue ya balozi wa US na nimekuambatanishia kazi zao hapa nchini... Hao accacia wameingiaje tena humu?Wadau wa maendeleo ni pale kunapokua na usawa lakini kwa mkataba kama ule wa acacia mliokua mnalia kuwatetea ni utapeli mkubwa na wezi
Kha! Mange keshakua bitch😎😎😎 maskini dah??
Hujielewi weweMbona unadivert? Hapa inajadiliwa issue ya balozi wa US na nimekuambatanishia kazi zao hapa nchini... Hao accacia wameingiaje tena humu?
Narudia tena hamjawahi kuwa na akili...Hujielewi wewe
“Pleach” if you must!Thank you for what? For saying what they (US) can't entertain to be done in their country! Nowadays, I am extra careful not to invite Lucifer to start pleaching for heavenly life whilst he knows better devilish life.
This is where meddling of US comes in !!To my dismay, I have seen and heard reports of government and security representatives disrupting and preventing candidates’ ability to campaign freely. As we get closer to election day, the pace and severity of these disruptions is quickening and deepening. We have seen political violence, restrictions on media, and a candidate certification process that, by all appearances, gave a clear advantage to the ruling party. Already, we are hearing reports of officials denying poll watchers the ability to do their jobs. Taken together, these developments paint a picture of an electoral process that does not provide a level playing field.
Wewe unawaza kitumwa sana mkuu!! Sisi sasa tunawaza tutoke kwenye makucha ya utumwa mambo leo ndiyo maana mwaka huu tumeamua kuendesha uchaguzi wetu bila kuomba hata senti moja kutoka kwa mabeberu tunatumia pesa zetu wenyewe! Na huyo kibaraka wao Lissu hawezi shinda watz wameshamgundua janja yake! Yeye tarehe 29/10/2020 arudi tu kwa mabeberu wake.Kateni misaada na mikopo vinginevyo mambo haya kamwe hayatakoma.
Sijui kwanini nchi wahisani wanashindwa kuweka shariti la kutoa misaada na mikopo kuwa ni lazima nchi husika iwe na Tume Huru ya Uchaguzi inayokubalika na makundi yote.
Ningekuwa na ushawishi, ningeanzisha movement ya kuzitaka nchi tajiri na mashirika ya fedha ya kimataifa kuweka shariti kwamba, kila nchi inayotaka msaada au mkopo, ni shariti nchi hiyo iwe na Tume Huru ya Uchaguzi inayokubalika na wadau wote wa uchaguzi katika nchi hiyo.
Au kama hili gumu,basi movement yangu nyingine ingekuwa ni kuzishawishi nchi hizi kuweka shariti linaloweza kuwa kama incentive ambapo nchi yenye kuonyesha demokrasia ya kweli, kwa kuwa na Tume Huru na Katiba inayokubalika na makundi yote katika nchi, inakuwa ni moja ya kigezo kwa nchi husika kupunguziwa au kufutiwa madeni.
Jitihada za nchi wahisani na mashirika ya fedha ya kimataifa za kuondoa umasikini katika mataifa yanayoendelea, hasa Afrika, haziwezi kufanikiwa iwapo katika nchi hizi hakuna demokrasia ya kweli, hivyo kuna ulazima wa kulazimisha nchi hizi kuwa na demokrasia vinginevyo maendeleo yatachukuwa muda mrefu kufikiwa katika nchi hizi.
Demokrasia ya kweli inafanya watawala wawajibike kwa watu wao na nchi zao na hivyo kuwezesha maendeleo kupatikana kwa haraka zaidi.