Us embassy na vioja vya baadhi ya wafanyakazi


unaluka = unaruka

luka = ruka

Jitahidi sana tutafika tu.


 
Bado hujajibu hoja,ila pia kuna watu nawaheshim sana humu ndani Jf wame ni PM wameniambia najisumbua bure kubishana na kichwa cha mwenda wazim,wanakujua vizuri hoja zako ni dhaifu na za kitoto na mi nimefuatilia nimeziona nyingi nonses za kiswahili swahili udini mwingi,nakuomba 2kutane kule kwny majukwaa mengine hapa 2nawachosha tu bure vijana wanaofungua na kudhani ni masuala ya kazi kumbe malumbano,"hili ni jukwaa la kazi" kesho nitakujibu kule kwenye Thread ya "Kama" stay tuned
 

Umejitahidi sana, na umefanya vizuri katika spelling, kumbe nafaa kuwa teacher wako, japo wa spelling!
 
Umejitahidi sana, na umefanya vizuri katika spelling, kumbe nafaa kuwa teacher wako, japo wa spelling!

Kama umejifunza Kiarabu na Kiswahili tu toka udogo wako kwa nini usiwe mwalimu wangu by the way nafurai nimekushinda kwa hoja mana hukujibu,nenda kwenye ile thread ya "Kama Cdm... Basi Ccm...?" kajibu hoja kule hapa ni jukwaa la nafasi za kazi
 
Kama umejifunza Kiarabu na Kiswahili tu toka udogo wako kwa nini usiwe mwalimu wangu by the way nafurai nimekushinda kwa hoja mana hukujibu,nenda kwenye ile thread ya "Kama Cdm... Basi Ccm...?" kajibu hoja kule hapa ni jukwaa la nafasi za kazi

Sasa hapa tuanze somo jipya ya namna ya kuandika, chunga sana unapoanza sentensi na kumalizia, ujue ni wapi pa kuweka "space" na usiwe na haraka ya kuandika na ukisha andika urejee maandiko yako na yalete maana. Tazama "spelling" bado zinakupa shida:
 
Pole sana ndugu, ninachokuthibishia ni kwamba kule kuna waswahili wa kizungu na kibongo kupita maelezo ninayotooa hapa. Next time uliza jina la aliyepiga simu ikiwezekana record, zaidi usithubutu ukafikiri kule kuna kitu cha kutisha sana au kufanya mambo yataenda kama unavyodhani. Ni sehemu ya kawaida tu wanakopenda kudeal na majungu.

Kwa njia moja au nyingine afadhali hukufanya hiyo interview endelea na ulikokuwa kwaweza kuwa kuzuri kuliko hapo.

Be blessed.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…