Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasaccos ndiyo wanataka kuharibu demokrasi ya nchi yetu.Jiwe kaiharibu kabisa nembo ya drmokrasia ya nchi yetu.
Nyie mnaopiga kelele kusifia huu upuuzi mnajikakamua tu lakini roho zenu zinawauma.
Hawakufuta faili walilokuwa wameliandaa kwa kile walichokuwa wamekusudia na kutarajiaa!! Sasa jamaa kachomaka nalo hivyo hivyo!!Which or what violence?
Cc: mahondaw
Mbunge wa kawaida?Chadema nyie kweli poleni sana, hadi mbunge wa US awasemee, mbunge wa kawaida wa US unafikiri ana sauti kweli ya kugeuza hata nukta moja ya matokeo ya uchaguzi au kuzuia chochote? Yaani hana chochote huyo, sheria hamruhusu na hana mamlaka hayo hata nukta, yeye anasema kama nani? Huyo anabweka bweka tu huku akijua hana chochote
Unataka ushahidi gani zaidi ya kura zile zilizokamatwa? Unataka nini zaidi ya kura alizopata Magufuli katika baadhi ya maeneno zinazozidi idadi ya wapiga kura?Leteni huo ushahidi wa Fraudulence kwenye uchaguzi.
Hakuna kuacha mpaka waadhibiwe kwa kuharibu uchaguzi.Matwitatwita mengi kila siku tumechoka,uchaguzi umekwisha watuache na Bongo yetu.
Dictators never heed to words only Bombs! Mkitaka kutusaidia mbane Kwa mabomu, maneno hatasikia
Mkuu wewe huwaga una akili nyingi sana hadi nyingine humwagika na kukosekana pa kuzihifadhi hatimae zinatoa michango ya namna hii.Kama kweli wanataka kutusaidia, wamshushie mzigo kwa ma-drone hapo Chamwino kiulaini halafu wapotee tu bila kusema kitu.
Mkuu wewe huwaga una akili nyingi sana hadi nyingine humwagika na kukosekana pa kuzihifadhi hatimae zinatoa michango ya namna hii.
Wanaua tu kila siku, zanzibar wametuulia Mazrui Nassor wetu tena usiku wa leo
Mimba changa inakusumbuaTukutane tarehe 2 ili mjue hii ni nchi yetu sote na sio ya CCM pekee.
Engel Statement on Elections in Tanzania
Bronx, NY—Representative Eliot L. Engel, Chairman of the House Committee on Foreign Affairs, today made the following statement:
“It has been tragic to see Tanzania, once a promising democracy, slide into autocracy under John Magufuli’s leadership. Wednesday’s election to secure Mr. Magufuli’s second term was marred by fraud and the intimidation of the ruling party’s political opponents, in addition to disruptions to social media and other online communication platforms. I call on Tanzanian security forces to immediately cease violence against members of the political opposition attempting to peacefully protest the conduct of the elections."
Mkuu hii habari ni ya kweli ?????????????Wanaua tu kila siku, zanzibar wametuulia Mazrui Nassor wetu tena usiku wa leo