Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
πππUsikimbie huu uzi jaji akishasoma adhabu na kupiga nyundo mezani.
Sema Hawa usgn hawako makini wangekuwa na bao zaidi ya 357'
USGN 1 - 0 Simba SC
Ila Simba nao wanazingua
Hahahaha tshabalala kawa uchochoroAdebayor kamkodi Tshabalala anamfanya anachotaka
Ameingia Wawa,jembe sanaHuyu pablo mzito sana kufanya sub
Wamekosa Utulivu Na Kujiamini Tu.Sema Hawa usgn hawako makini wangekuwa na bao zaidi ya 3
Yaani Wana papara sana wakati mechi laini kabisaWamekosa Utulivu Na Kujiamini Tu.