van-de
Member
- May 26, 2017
- 74
- 73
Hakuna kitu wanaenda kufanya hawa!!Mnaweza kurudi na points 0.........maana sioni mtapata ushindi wapi.........
Simba sioni kupata ushindi Leo na RSB pale Morocco
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kitu wanaenda kufanya hawa!!Mnaweza kurudi na points 0.........maana sioni mtapata ushindi wapi.........
Simba sioni kupata ushindi Leo na RSB pale Morocco
Mnaenda kupigwa 2Kazi imeanza sasa
View attachment 2125178
Nani sasaNa wapiigweeeeese
HahahahMi nazitaka alama zote tatu nina kazi nazo huku mtaani
ZBC2Mbona Azam sijaona ratiba ya kuonesha hii mechi??
Kuna siku uliwahi kuona wanapata ushindi wapi bwana UTO?Mnaweza kurudi na points 0.........maana sioni mtapata ushindi wapi.........
Simba sioni kupata ushindi Leo na RSB pale Morocco
Mkude itakuwa kapata injurySema hapo kwa nyoni tumepigwa na kitu kizito kichwani
ZBC2Mbona Azam sijaona ratiba ya kuonesha hii mechi??
Nguvu mojaKila la kheri mnyama
Na m4m4 yako piaMnaenda kupigwa 2
Wanajua kipigo kinawahusu, hivyo wanaangalia kwa kuchunguliaMashabiki wa Gendarmerie hawajuhudhuria kwa wingi uwanjani
Sema hapo kwa nyoni tumepigwa na kitu kizito kichwani
Hilo halina ubishiMnaweza kurudi na points 0.........maana sioni mtapata ushindi wapi.........
Simba sioni kupata ushindi Leo na RSB pale Morocco