20 February 2022
LIVE: US GENDARMERIE VS SIMBA SC | KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA
Niamey, Niger
Uwanja wa Jénérali Seyni Kountché Jijini Niamey.
Union Sportive de la Gendarmerie Nationale ni klabu ya soka ya Niger yenye makao yake mjini Niamey. Iliasisiwa mwaka 1996.
Union Sportive de la Gendarmerie Nationale is a Nigerien football club based in Niamey.
Kwa upande wa Simba SC Yusuf Valentine Mhilu na Erasto Nyoni pia wamo katika kikosi cha wana Msimbazi
GOAL 11' Wilfred wa US Gendarmerie Nationale
Dakika 26' US Gendarmerie Nationale
1 - 0 SIMBA SC timu zinapata dakika za kunywa maji.
Dakika 29' Z. Adebayo wa US Gendarmerie Nationale ana wakosa SSC
Dakika 37' mchezaji anayesumbua sana Z.Abebadeyo anafanyiwa foul na walinzi wa Simba SC
Dakika 45' : HALF-TIME
US Gendarmerie Nationale 1- 0 SSC
Dakika ya 52' Abebayo analazimisha kona, air Manula anakamata mpira
Dakika 60' Sheik Abdul Nassir nahodha wa Union Sportive de la Gendarmerie Nationale akosa bao la wazi kabisa, kweli Mungu Mkubwa yupo na Simba SC
Dakika 65' John Bocco kuchukua nafasi ya Peter Banda
Dakika 68' Kapombe anachonga adhabu karibu na kibendera cha kona upande wa US Gendarmerie
Dakika 71' kuna matumaini baada ya ujio wa John Bocco Papaa', Simba SC kama timu inaingia sana katika eneo la miguu 18 ya lango la US Gendarmerie Nationale ya Niger
Dakika 75' Sergie Wawa ana mzuia mchezaji wa US Gendarmerie na wanapata free kick, adhabu mpira unakwenda juu na kuwa goal kick .
DAKIKA 80 ' US GENDARMERIE 0 - SIMBA SC
Dakika ya 82' Jimson Mwanuke anaemia
GOAL : Dakika 83' Bernard Morisson anasawazisha kufuatia mpira wa kona ktk lango la US Gendarmerie
Dakika ya 83 : US Gendarmerie 1 - 1 Simba SC
Dakika 90' + 4
Dakika nne za nyogeza mpira unaendelea
Dakika 93' nafasi kwa Johnny John Bocco papaa anapaisha mpira
DAKIKA 94' MPIRA UMEKWISHA
FULL-TIME :
US Gendarmerie 1 - 1 Simba SC