Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Kwani Russia hapendi atumie hayo mafuta yake yeye mwenyewe? Tatizo ni uchumi wake ni dhaifu.Lakini mafuta yake hauzi nje anatumia yy tu na bado haya mtoshi kwa hiyo mafuta yake hayana faida yeyote kwako na kwa nchi yako, tofauti na mafuta ya Urusi na warabuni yana faida kubwa katika maisha yako ya kila siku maana yanasambaa dunia nzima.