I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Trump atasaini amri leo ya kuiwekea vikwazo ICC kuhusiana na uchunguzi waliowahi kuufanya hapo nyuma kuhusu Marekani na washirika wake kama Israel, vikwazo hivyo ni ikiwemo vikwazo vya kifedha na vya visa kwa wahusika wa uchunguzi huo na familia zao, ikisema Ikulu.