US kuiwekea vikwazo ICC leo; yasema White house

Mbona ametoa tamko la kuwa atawaongezea vikwazo anataka wasiwe hata intercontinental ballistic missiles yani anataka wawe na silaha za mabomu ya kurusha na bunduki tu.
Iran wasijaribu kumsikiliza maana US huwa anapenda kwanza usiwe na silaha ili akuvamie
 
cc..
 
Ndio maana ya superpowaer unafanya kitu chumbani kwako madhara yanaonekana Dunia nzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…