US na UK zitaizuia tena Ukraine kutumia ATACMS na Storm shadow kupiga ndani ya Russia?

US na UK zitaizuia tena Ukraine kutumia ATACMS na Storm shadow kupiga ndani ya Russia?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
US na UK zilikuwa zimeizuia Ukraine kutotumia makombora ya ATACMS ya USA na Storm Shadow ya UK kupiga ndani ya Russia. Juzi kati wakairuhusu na Ukraine ikayatumia kupiga ndani ya Russia. Putin amechafukwa sana baada ya kitendo hicho. Kwanza kasema kuwa hatasita kupiga target za kijeshi za nchi ambazo zinaruhusu makombora yao kupiga ndani ya Russia. Pia amelegeza sheria za matumizi ya silaha za nyuklia akisema kuwa shambulio kutoka nchi isiyo na nyuklia lakini inayosaidiwa na nchi ya nyuklia litahesabiwa kuwa ni shambulio la hao wawili pamoja na Russia itakuwa na haki ya kujilinda kwa silaha za nyuklia.

Pia kaishambulia Ukraine kwa kutumia makombora ya masafa ya kati yenye uwezo wa kubeba silaha za nyuklia na ni ambayo si rahisi kuyaintercept. Kamaliza kwa kusema kuwa wenye mashaka na maamuzi yake wayaondoe, yaani anamaanisha anachosema.

Swali, US na UK wataendelea kuiruhusu Ukraine iendelee kuipiga Russia kwa makombora yao au watafyata baada ya huu mkwara? tutegemee nini iwapo hawatafyata?
 
Mambo yao tuwaachie wenyewe, acha sie tupambane na wapinzani 😁
 
US na UK zilikuwa zimeizuia Ukraine kutotumia makombora ya ATACMS ya USA na Storm Shadow ya UK kupiga ndani ya Russia. Juzi kati wakairuhusu na Ukraine ikayatumia kupiga ndani ya Russia. Putin amechafukwa sana baada ya kitendo hicho. Kwanza kasema kuwa hatasita kupiga target za kijeshi za nchi ambazo zinaruhusu makombora yao kupiga ndani ya Russia. Pia amelegeza sheria za matumizi ya silaha za nyuklia akisema kuwa shambulio kutoka nchi isiyo na nyuklia lakini inayosaidiwa na nchi ya nyuklia litahesabiwa kuwa ni shambulio la hao wawili pamoja na Russia itakuwa na haki ya kujilinda kwa silaha za nyuklia.

Pia kaishambulia Ukraine kwa kutumia makombora ya masafa ya kati yenye uwezo wa kubeba silaha za nyuklia na ni ambayo si rahisi kuyaintercept. Kamaliza kwa kusema kuwa wenye mashaka na maamuzi yake wayaondoe, yaani anamaanisha anachosema.

Swali, US na UK wataendelea kuiruhusu Ukraine iendelee kuipiga Russia kwa makombora yao au watafyata baada ya huu mkwara? tutegemee nini iwapo hawatafyata?
Mandonga kazini.
 
Russia kwa uchumi wake dhaifu hawezi kustahamili madhara ya vita dhidi ya wenye uchumi mkubwa na imara.

Endapo italazimika kwa vita kupiganwa kitu ambacho hakielekei kutokea basi ndio utakuwa mwisho wa utawala wa dikteta Putin kwani hata wananchi wake watamgeuka hatari.
 
Russia kwa uchumi wake dhaifu hawezi kustahamili madhara ya vita dhidi ya wenye uchumi mkubwa na imara.

Endapo italazimika kwa vita kupiganwa kitu ambacho hakielekei kutokea basi ndio utakuwa mwisho wa utawala wa dikteta Putin kwani hata wananchi wake watamgeuka hatari.
Uchumi dhaifu!?..walao vyakula vya mbwa na nyau kutokana na athari za vita Ukraine,siyo warusi
 
Inategemea na mapendekezo ya madalali na wauza silaha
 
Cha muhimu, mimi na wanangu huku milima ya Kolero, tunaendelea na maisha yetu ya kienyeji.
 
US na UK zilikuwa zimeizuia Ukraine kutotumia makombora ya ATACMS ya USA na Storm Shadow ya UK kupiga ndani ya Russia. Juzi kati wakairuhusu na Ukraine ikayatumia kupiga ndani ya Russia. Putin amechafukwa sana baada ya kitendo hicho. Kwanza kasema kuwa hatasita kupiga target za kijeshi za nchi ambazo zinaruhusu makombora yao kupiga ndani ya Russia. Pia amelegeza sheria za matumizi ya silaha za nyuklia akisema kuwa shambulio kutoka nchi isiyo na nyuklia lakini inayosaidiwa na nchi ya nyuklia litahesabiwa kuwa ni shambulio la hao wawili pamoja na Russia itakuwa na haki ya kujilinda kwa silaha za nyuklia.

Pia kaishambulia Ukraine kwa kutumia makombora ya masafa ya kati yenye uwezo wa kubeba silaha za nyuklia na ni ambayo si rahisi kuyaintercept. Kamaliza kwa kusema kuwa wenye mashaka na maamuzi yake wayaondoe, yaani anamaanisha anachosema.

Swali, US na UK wataendelea kuiruhusu Ukraine iendelee kuipiga Russia kwa makombora yao au watafyata baada ya huu mkwara? tutegemee nini iwapo hawatafyata?
Mpiganaji mzuri hujihaddhari sana na adui aliyekaa kimya.
 
Back
Top Bottom