Yurri
Senior Member
- Apr 29, 2015
- 186
- 238
Naona umeshindwa kabisa kuficha ujinga wako, ndio maana tunabakia kuwa third world contries kwa mawazo haya.Mwachie the bold ndo mbabe wa hizi kitu. Sio lazima wote tuandike. Unaharibu ladha ya mambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona umeshindwa kabisa kuficha ujinga wako, ndio maana tunabakia kuwa third world contries kwa mawazo haya.Mwachie the bold ndo mbabe wa hizi kitu. Sio lazima wote tuandike. Unaharibu ladha ya mambo
Umenena vyema sana mkuu...Sishangai nchi yetu kutokuendelea kwasababu ya kuwepo watu wa aina kama yako.....
Mtu mwenye hekima na namna njema ya kufikiri kama The bold hawezi kuwa na mawazo ya ajabu kama yako kwasababu anafahamu kuwa vipaji huwa vinatolewa kwa wengi hivyo hakuna haja ya kukandamizana namna hii....
Pamoja na hayo,huyu mleta hii thread hapa amelelezea tukio moja tu na halifanani na yale anayoyafanya The bold,na hata kama yangefanana hakuna ubaya wowote wa mtu mwingine kuelezea...
Kungekuwa na watu kama wewe tangu kuumbwa kwa dunia hii tusingekuwa tumeendelea kabisa..
Aina hii ya kufikiri ni hatari sana kwa maendeleo ya binadamu...
Acha ushamba kama ujaiona movie kausha umepuyanga kinoma kila mtu anauhuru wa kuandika kwani umeitwa ku changia acha uchawi huo simu yake bando lake mwache atupe burudani shm! eti bold kwani lazima awe yeye tuliza lepe ilo
Wakuu,Una mahaba na hekaya za huyo mtu wako the bold.Mkuu kila mtu ana haki ya kuelimisha na kuburudisha hili jukwaa sio LA the bold mfuate whatsap.
Mwachie the bold ndo mbabe wa hizi kitu. Sio lazima wote tuandike. Unaharibu ladha ya mambo
Ndio maana uka quote uzi wote cos hujielewi, sasa huyo the bold tungemsubr mpk ln kutuletea nyuzi kali km hii?Mwachie the bold ndo mbabe wa hizi kitu. Sio lazima wote tuandike. Unaharibu ladha ya mambo
Asee naomba uni hook km ipo humuHadithi ya Hussein Issa Tuwa inayokwenda kwa jina la Mdunguaji [Sniper] ingekuwa haijatoka kabla ya hili tukio ingeonekana amekopi kwa namna fulani maana inafanana kiasi na tukio hili....
Kwa wale walioisoma wanaelewa....
Well said mkuu much respect!Wakuu,
Naomba nisihusishwe kwenye comment za namna hii! The Bold ni mtu mnyeymnyekevu na kamwe huwezi kumkuta hata siku moja anamkejeli mtu au kulumbana na watu humu...
Hawa wanataka kutumia jina langu kukashifu watu binafsi siwaungi mkono na wala sifurahishwi na hiki kitu!!
Natamani watu wajue vile naumia nikona jina langu linatumika vibaya kukashifu watu!!
Huu si uungwana kabisa.
Hadithi ya Hussein Issa Tuwa inayokwenda kwa jina la Mdunguaji [Sniper] ingekuwa haijatoka kabla ya hili tukio ingeonekana amekopi kwa namna fulani maana inafanana kiasi na tukio hili....
Kwa wale walioisoma wanaelewa....
Niliisoma na nina kitabu chake mkuu....Hahahah a mkuu kumbe na wewe umeisoma na ni mdau wa tuwa.big up sana mkuu.
Vampire,black mamba. Hamedee