US Navy Operation red wing

Vipi mkuu umesoma kitabu cha wimbo wa gaidi ndio kitabu chake kipya cha sasa hivi nacho kipo vizuri sana
Hapana sijakisoma mkuu...

Kinahusu nini?
 
Hapana sijakisoma mkuu...

Kinahusu nini?
Ni kitabu kama cha mdunguaji lakini.story ni tofauti kinazungumzia gaidi moja wa tanzania aliyetengenezwa kwaajili ya kumuua osama.

Sema kwa ufupi ukiingia kwenye page ya fb alikiwa anatuma sana akasitisha baadae ndio katoa kitabu.

Au hata humu jf kuna uzi wenye sehemu ya story hiyo waweza pitia ukapata kijimwanga kidogo.

Upo kwenye jukwaa la enterteiment
 
Ni hali ya kijiografia Ya eneo Husika nDio ilileta tafaruku yote ile..
Mawasiliano yangekua mazuri na ya haraka msaaDa ungepatikana mapema, Kuwaruhusu wale wachungaji ilikua fair kwakua walikua UNARMED
Na jpo mwisho inaonekana kuna mashambulizi ya nDege dhidi ya magaidi ktk maeneo ya karibu na makazi ya Watu ingawa haikuwa hvyo km mwanDishi alivyosema.., Ila ile ni lugha ya picha kwamba WAHUSIKA WALISHUGHULIKIWA ipasavyo
Thnx Mkuu kwa huu uzi
 
Hiyo ni bonge LA muvi,kila nikiiangaria machozi hunitoka
 
Mm nikiwa na stress zangu naiweka hii movie naipenda sana kwani haichoshi
 
asante mkuu, mungu akupe maisha marefu il uendelee kutupa mengi tucyoyajua kwa undan. achana na wapuuz wachache wasiojtambua mkuu. tuko pamoja
 
LONE SURVIVOR bonge moja la movie aisee, ukiangalia iyo movie ukikutana na mjeda lazima umrespect ..jamaa walikuwa wanne tu lakini walipambana mpaka mauti. Hatari sana!
 
Hiki ni kipaji kingine kinavhipua..hongera saana mkuu..
 
Slowly zamani ulikua unashusha nondo huku ila siku hz unapapita kama hupaonii...
 
Slowly zamani ulikua unashusha nondo huku ila siku hz unapapita kama hupaonii...
Mkuu tupo pamoja somtyme shughuli ndug zinatubana....ila sehemu ya pili itakuwa released next week nitakutag man...
 
Na alaaniwe mwenye nia ovu ya kujaribu kuifungia Jamii forum, inaninufaisha mno, inautanua ubongo wangu vyema. Pongezi kwako uliyetuwekea huu uzi hapa.
 
LONE SURVIVOR bonge moja la movie aisee, ukiangalia iyo movie ukikutana na mjeda lazima umrespect ..jamaa walikuwa wanne tu lakini walipambana mpaka mauti. Hatari sana!
Usiwadharau watu walioapa kulinda mipaka ya ncho yako isivamiwe na adui, watu wanaojitoa kukesha usiku kucha kwaajili yako ili usivamiwe na adui, watu wanaosimama muda wote kwenye mvua na matope wakati wewe umelala ndani huku ukiota ndoto njema kwa mvua inayonyesha. Watu wanaopanda milima na kushuka kuhakikisha adui hagusi maeneo yako yanayokufanya ufurahie uhuru ulionao sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…