MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Ilipotolewa orodha ya ndege zinazoruhusiwa kuingia Kenya, na humo Watanzania wakaona zao hazimo, jamaa wamelialia sana ikiwemo hata wale ambao hawajawahi kukaribia uwanja wa ndege na wala hata siku moja hawategemei kuiona ndege wachilia mbali hata kuabiri. Taifa lote kuanzia walalahoi mitaa ya mabandani Tandale, kwenda mikoani vijijini na kote waliifanya kama ndio habari kubwa ya nchi, kila mmoja akawa kama aliyefiwa. Hehehe bandugu zetu huwa mnachekesha sana.
Sasa kwa taarifa zenu, mikakati ya kuzuia baadhi ya mataifa haikufanywa kwa kuzingatia chuki kama mlivyo, tumezuia hata mabeberu USA na washirika wake, maana kwao taarifa za corona hazijakaa sawa, kirusi kinawatesa sana, japo wanatoa taarifa, wanapima na kutoa taarifa, hawajajichokea kama Tanzania ambao wametelekeza zoezi lote na kuachia kila mtu ajiaminishe hakuna corona, aidha ajifie au apone mwenyewe huko atajijua.
Yaani ni kama demu anataka mfanye naye tendo ila hataki mpime UKIMWI, ameng'ang'ania kwamba yeye anajijua yuko sawa na kwamba UKIMWI ni gonjwa la mabeberu na halimhusu na hatoruhusu hata utumie kinga, mfanye naye hivyo hivyo kavu. Watanzania walianza kung'ang'ania mpakani kwamba waingie bila kupimwa, tukakomaa mpaka wakaachia, leo hii wanapimwa na wataalam wetu.
Hii ya ndege pia wameng'ang'ania, sema wataruhusiwa ila lazima tuwapime, ukija Kenya kaa ukijua lazima uwe tayari kupanua mdomo kifaa cha kupima corona kitumbukizwe humo. Hatutaki kuvuna mabua kisa tumecheka nanyi.
========
Kenya has excluded the US and the major European nations from a list of countries whose nationals will be allowed in when international flights resume from tomorrow.
A protocol guiding the resumption of international flights only has Canada, Switzerland, Japan, China and South Korea outside of Africa in the list of 11 countries whose citizens will initially be allowed into Kenya.
This means China is the only country among the top 10 nations that accounted for most of the tourists to Kenya last time that is on the list.
Also on the list are Zimbabwe, Ethiopia, Uganda and, Rwanda, Morocco and Namibia.
The list excludes countries like US, Tanzania, Britain and India, which brought in 743,310 tourists to Kenya or 37.1 percent of the two million travellers.
Source: Business Daily
Sasa kwa taarifa zenu, mikakati ya kuzuia baadhi ya mataifa haikufanywa kwa kuzingatia chuki kama mlivyo, tumezuia hata mabeberu USA na washirika wake, maana kwao taarifa za corona hazijakaa sawa, kirusi kinawatesa sana, japo wanatoa taarifa, wanapima na kutoa taarifa, hawajajichokea kama Tanzania ambao wametelekeza zoezi lote na kuachia kila mtu ajiaminishe hakuna corona, aidha ajifie au apone mwenyewe huko atajijua.
Yaani ni kama demu anataka mfanye naye tendo ila hataki mpime UKIMWI, ameng'ang'ania kwamba yeye anajijua yuko sawa na kwamba UKIMWI ni gonjwa la mabeberu na halimhusu na hatoruhusu hata utumie kinga, mfanye naye hivyo hivyo kavu. Watanzania walianza kung'ang'ania mpakani kwamba waingie bila kupimwa, tukakomaa mpaka wakaachia, leo hii wanapimwa na wataalam wetu.
Hii ya ndege pia wameng'ang'ania, sema wataruhusiwa ila lazima tuwapime, ukija Kenya kaa ukijua lazima uwe tayari kupanua mdomo kifaa cha kupima corona kitumbukizwe humo. Hatutaki kuvuna mabua kisa tumecheka nanyi.
========
Kenya has excluded the US and the major European nations from a list of countries whose nationals will be allowed in when international flights resume from tomorrow.
A protocol guiding the resumption of international flights only has Canada, Switzerland, Japan, China and South Korea outside of Africa in the list of 11 countries whose citizens will initially be allowed into Kenya.
This means China is the only country among the top 10 nations that accounted for most of the tourists to Kenya last time that is on the list.
Also on the list are Zimbabwe, Ethiopia, Uganda and, Rwanda, Morocco and Namibia.
The list excludes countries like US, Tanzania, Britain and India, which brought in 743,310 tourists to Kenya or 37.1 percent of the two million travellers.
Source: Business Daily