USA, mataifa mengi Ulaya na India ni miongoni mwa ambao ndege zao bado haziruhusiwi kuingia Kenya, natumai hawatalialia kama Watanzania

USA, mataifa mengi Ulaya na India ni miongoni mwa ambao ndege zao bado haziruhusiwi kuingia Kenya, natumai hawatalialia kama Watanzania

Mimi ni mtanzania, nilisikitika sana kuona watanzania wenzangu kulichukulia suala la Kenya kuzuia safari za anga kutoka Tanzania kama jambo lililoilenga Tanzania pekee huku tukisahau kuwa Kenya ilizuia karibu nchi zote duniani kutua Kenya na nchi 11 pekee ndio wanaweza kutua Kenya.

Watanzania tunalazimisha sana Kenya watujumuishe kwenye hizo nchi wakati hatukidhi vigezo vyao.

Sababu tunayotumia watanzania ni hafifu sana, eti tunasema kwa kuwa sisi Tanzania tuliwaruhusu watue basi na sisi waturuhusu tutue!

Ni sababu ya kijinga kabisa. Tanzania tumesahau kuwa sisi tulifungua anga letu kwa kila nchi kuja Tanzania (kwa sababu hatuogopi Corona!) sasa tunalazimisha na sisi twende kwao hata kama vigezo vyao vinatukataa.

Dah kwa mara ya kwanza nimekutana bango la mtu anayetumia ubongo, aisei namuita Bishop Hiluka aje ajifunze kitu hapa.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Huo ushabiki wa Tz vs Ke utakuua bro, mambo haya waachie vijana labda kama huna kazi za kufanya. Na hiyo mantiki unayoitafuta kwa Tanzania itakusaidia nini kama haiwezi hata kukuletea ugali kwa meza. Nadhani kila nchi iko huru na iachwe ipigane kivyake sioni kwa nini Kenya (only Kenyans) mnalazimisha kutupangia nini tufanye, na kama Tanzania inaficha takwimu kwa nini mnahangaika kutaka kuleta ndege zenu, si mpeleke nchi zingine?

However, Kenyans are not our enemies. Kenyans are our brothers and sisters. They have been our friends since Nyerere's time. How come that it's only this period of time that people speak of our differences! What differences do we have? If the two governments have any issues, they have to sit on table and discuss. We citizens want peace with our neighbours and not otherwise...

Duh naona umejishuha kama wenzako humu na kuanza mipasho, ila fahamu corona imebadilisha dunia, watu hawaishi au kuhusiana kwa mazoea tena, Marekani ana undugu sana na Uingereza ila kwa mara ya kwanza walifungiana, na haikua kwa mapenzi yao au chuki ila ni kwa hali ya kila mmoja kulinda afya ya watu wake.
Watu wamefungiana hata kwenye level ya miji na majimbo.
Hili ni tatizo la kisayansi na linakabiliwa kisayansi sio kwa kutegemea matamko ya wanasiasa halafu unataka ulazimishe na kung'ang'ania raia wako waingie kwenye mataifa ya watu bila kufuata taratibu wakati wewe umejichokea hufanyi chochote umetelekeza mbinu zote za kisayansi.
 
Ilipotolewa orodha ya ndege zinazoruhusiwa kuingia Kenya, na humo Watanzania wakaona zao hazimo, jamaa wamelialia sana ikiwemo hata wale ambao hawajawahi kukaribia uwanja wa ndege na wala hata siku moja hawategemei kuiona ndege wachilia mbali hata kuabiri. Taifa lote kuanzia walalahoi mitaa ya mabandani Tandale, kwenda mikoani vijijini na kote waliifanya kama ndio habari kubwa ya nchi, kila mmoja akawa kama aliyefiwa. Hehehe bandugu zetu huwa mnachekesha sana.

Sasa kwa taarifa zenu, mikakati ya kuzuia baadhi ya mataifa haikufanywa kwa kuzingatia chuki kama mlivyo, tumezuia hata mabeberu USA na washirika wake, maana kwao taarifa za corona hazijakaa sawa, kirusi kinawatesa sana, japo wanatoa taarifa, wanapima na kutoa taarifa, hawajajichokea kama Tanzania ambao wametelekeza zoezi lote na kuachia kila mtu ajiaminishe hakuna corona, aidha ajifie au apone mwenyewe huko atajijua.

Yaani ni kama demu anataka mfanye naye tendo ila hataki mpime UKIMWI, ameng'ang'ania kwamba yeye anajijua yuko sawa na kwamba UKIMWI ni gonjwa la mabeberu na halimhusu na hatoruhusu hata utumie kinga, mfanye naye hivyo hivyo kavu. Watanzania walianza kung'ang'ania mpakani kwamba waingie bila kupimwa, tukakomaa mpaka wakaachia, leo hii wanapimwa na wataalam wetu.

Hii ya ndege pia wameng'ang'ania, sema wataruhusiwa ila lazima tuwapime, ukija Kenya kaa ukijua lazima uwe tayari kupanua mdomo kifaa cha kupima corona kitumbukizwe humo. Hatutaki kuvuna mabua kisa tumecheka nanyi.

========

Kenya has excluded the US and the major European nations from a list of countries whose nationals will be allowed in when international flights resume from tomorrow.

A protocol guiding the resumption of international flights only has Canada, Switzerland, Japan, China and South Korea outside of Africa in the list of 11 countries whose citizens will initially be allowed into Kenya.

This means China is the only country among the top 10 nations that accounted for most of the tourists to Kenya last time that is on the list.

Also on the list are Zimbabwe, Ethiopia, Uganda and, Rwanda, Morocco and Namibia.

The list excludes countries like US, Tanzania, Britain and India, which brought in 743,310 tourists to Kenya or 37.1 percent of the two million travellers.

Source: Business Daily
Nimekuja kugungua kwamba unalipwa ili kuichafua Tanzania mitandaoni hakuna point unayoandika zaidi ya maneno ya chuki, kujikweza, majigambo pamoja na majivuno unaendelea kutuonyesha jinsi wakenya walivyo wapenda sifa. Haya mnaweza yotee ila muache kulamba matapishi yenu mkitoa kauli isimamieni msiyumbishwe na maamizi yatakayo chukuliwa na upande wa pili kama mnavyo badili misimamo kila kulicha kwa kuchukua hatua za kukurupuka za viongozi mizigo kwa taifa lenu. Kama una akili utanielewa
 
Mimi ni mtanzania, nilisikitika sana kuona watanzania wenzangu kulichukulia suala la Kenya kuzuia safari za anga kutoka Tanzania kama jambo lililoilenga Tanzania pekee huku tukisahau kuwa Kenya ilizuia karibu nchi zote duniani kutua Kenya na nchi 11 pekee ndio wanaweza kutua Kenya.

Watanzania tunalazimisha sana Kenya watujumuishe kwenye hizo nchi wakati hatukidhi vigezo vyao.

Sababu tunayotumia watanzania ni hafifu sana, eti tunasema kwa kuwa sisi Tanzania tuliwaruhusu watue basi na sisi waturuhusu tutue!

Ni sababu ya kijinga kabisa. Tanzania tumesahau kuwa sisi tulifungua anga letu kwa kila nchi kuja Tanzania (kwa sababu hatuogopi Corona!) sasa tunalazimisha na sisi twende kwao hata kama vigezo vyao vinatukataa.
Mimi nahisi hujaelewa nini hasa watz wanakikataa, kuzuia safari kutoka Tz kwaajili ya Hali yao ya Corona si issue, issue ni kwamba kwanini wao waombe kuendelea kufanya safari sehemu wanayo idhania si salama?hawaoni hao wasafiri watakaowaleta watawa expose kwenye hatari km wanavyoona kuwa Tz si safe?
Kwa kifupi tatizo la Kenya liko kimaslahi ya kibiashara zaidi.
 
Mimi hizi taarifa nimezisikia leo, kumbe kulikuwa na tit for tat na hatimaye kenya kasalimu amri.
kwa nini wakenya wameshindwa kuelewa watanzania miaka yote hii.

Hii sio southern Sudan.

Hii united republic jamani.
 
Duh naona umejishuha kama wenzako humu na kuanza mipasho, ila fahamu corona imebadilisha dunia, watu hawaishi au kuhusiana kwa mazoea tena, Marekani ana undugu sana na Uingereza ila kwa mara ya kwanza walifungiana, na haikua kwa mapenzi yao au chuki ila ni kwa hali ya kila mmoja kulinda afya ya watu wake.
Watu wamefungiana hata kwenye level ya miji na majimbo.
Hili ni tatizo la kisayansi na linakabiliwa kisayansi sio kwa kutegemea matamko ya wanasiasa halafu unataka ulazimishe na kung'ang'ania raia wako waingie kwenye mataifa ya watu bila kufuata taratibu wakati wewe umejichokea hufanyi chochote umetelekeza mbinu zote za kisayansi.
Mimi na wewe ni nani anayejishusha? Kutwa kucha upo JF kuongelea Tanzania, hata sijui kazi unafanya saa ngapi! Narudi tena: unachoshadadia wewe ni ushabiki wa Tz vs Ke tu na wala huna chochote...
 
Mwanangu una hangaika,unafungua threads kumi kumi,wakati nyie ndio mmeanza sisi tumewajibu alafu tumekaa kimya.

Kuanzia ww mpaka viongozi wenu wanapiga kelele SISI TUMEKAA KIMYA,sasa sijui nani ANATAPATAPA.
 
Hakun
Hehehe!!! Wala sihangaiki, najaribu kutafuta mantiki ya kwanini mlilia sana kuliko mataifa yote ambayo hatukuweka kwenye baadhi ya wanaoruhusiwa kuja watakavyo, nyie sasa hivi mumepigwa stop dunia yote, kila ramani inaonyesha rangi nyekundu kwa Tanzania lakini ilipofanywa na Kenya pia aisei mkalipuka ni kama mliokutwa na msiba taifa lote.

Mpaka siku mtakubali kutumia njia za kisayansi kukabiliana na hili janga la kisayansi, mtaendelea kutengwa kote.
Leo hii paspoti ya Tanzania kutua nayo popote lazima ukubali kupitishwa kwenye ukaguzi wa hali ya juu.
HakunA shida...tumeamua sisi ni nchi huru.
Hatuitaji mtu wa tatu kusimamia maamuzi yetu...
Maamuzi yenu ni yenu na maaamuzi yetu ni yetu na hata km mwingine akiamua iwe urusi china uingereza au kanada jibu ni moja ni wao wameamua
 
Kwani wamelazimishwa?kafunga na huyu kafunga maisha yaendelee...shida wanaotafsiri wanaleta maana any way kwani lazima umruhusu kila mtu kwa siku zote? Leo unaweza ukaruhusu wote kesho ukaamua yule hapana ...watu wanapoteza muda kujadili maamuzi ya TANZANIA.
Tushawai kufunga mpaka miaka saba sembuse ka anga tu...na hakuna alieweza kutulazimisha maamuzi yetu
 
MK254 Achaga Ujinga. Wako wapelekee ndugu zako kisumu. Soma kilicho andikwa chini

 
Ilipotolewa orodha ya ndege zinazoruhusiwa kuingia Kenya, na humo Watanzania wakaona zao hazimo, jamaa wamelialia sana ikiwemo hata wale ambao hawajawahi kukaribia uwanja wa ndege na wala hata siku moja hawategemei kuiona ndege wachilia mbali hata kuabiri. Taifa lote kuanzia walalahoi mitaa ya mabandani Tandale, kwenda mikoani vijijini na kote waliifanya kama ndio habari kubwa ya nchi, kila mmoja akawa kama aliyefiwa. Hehehe bandugu zetu huwa mnachekesha sana.

Sasa kwa taarifa zenu, mikakati ya kuzuia baadhi ya mataifa haikufanywa kwa kuzingatia chuki kama mlivyo, tumezuia hata mabeberu USA na washirika wake, maana kwao taarifa za corona hazijakaa sawa, kirusi kinawatesa sana, japo wanatoa taarifa, wanapima na kutoa taarifa, hawajajichokea kama Tanzania ambao wametelekeza zoezi lote na kuachia kila mtu ajiaminishe hakuna corona, aidha ajifie au apone mwenyewe huko atajijua.

Yaani ni kama demu anataka mfanye naye tendo ila hataki mpime UKIMWI, ameng'ang'ania kwamba yeye anajijua yuko sawa na kwamba UKIMWI ni gonjwa la mabeberu na halimhusu na hatoruhusu hata utumie kinga, mfanye naye hivyo hivyo kavu. Watanzania walianza kung'ang'ania mpakani kwamba waingie bila kupimwa, tukakomaa mpaka wakaachia, leo hii wanapimwa na wataalam wetu.

Hii ya ndege pia wameng'ang'ania, sema wataruhusiwa ila lazima tuwapime, ukija Kenya kaa ukijua lazima uwe tayari kupanua mdomo kifaa cha kupima corona kitumbukizwe humo. Hatutaki kuvuna mabua kisa tumecheka nanyi.

========

Kenya has excluded the US and the major European nations from a list of countries whose nationals will be allowed in when international flights resume from tomorrow.

A protocol guiding the resumption of international flights only has Canada, Switzerland, Japan, China and South Korea outside of Africa in the list of 11 countries whose citizens will initially be allowed into Kenya.

This means China is the only country among the top 10 nations that accounted for most of the tourists to Kenya last time that is on the list.

Also on the list are Zimbabwe, Ethiopia, Uganda and, Rwanda, Morocco and Namibia.

The list excludes countries like US, Tanzania, Britain and India, which brought in 743,310 tourists to Kenya or 37.1 percent of the two million travellers.

Source: Business Daily
Jamaa mbona unateseka kwani lazima uje kwetu si ubaki kwenu HATUWATAKI ,HATUWATAKI
 
Mimi ni mtanzania, nilisikitika sana kuona watanzania wenzangu kulichukulia suala la Kenya kuzuia safari za anga kutoka Tanzania kama jambo lililoilenga Tanzania pekee huku tukisahau kuwa Kenya ilizuia karibu nchi zote duniani kutua Kenya na nchi 11 pekee ndio wanaweza kutua Kenya.

Watanzania tunalazimisha sana Kenya watujumuishe kwenye hizo nchi wakati hatukidhi vigezo vyao.

Sababu tunayotumia watanzania ni hafifu sana, eti tunasema kwa kuwa sisi Tanzania tuliwaruhusu watue basi na sisi waturuhusu tutue!

Ni sababu ya kijinga kabisa. Tanzania tumesahau kuwa sisi tulifungua anga letu kwa kila nchi kuja Tanzania (kwa sababu hatuogopi Corona!) sasa tunalazimisha na sisi twende kwao hata kama vigezo vyao vinatukataa.
Wewe mpuuzi ndio unafanya jamii za kiafrika zinaonekana ni kama mifugo.

Unaelewa hata hoja ya watz wenzako ni kitu gani??au uliamua tu kulala na mafuriko??

Demu wako anaamua kublock number msiwasiliane maana anadai wewe ni malaya,nawewe ili kumsaidia unaamua kusajiri line nyingine ile unaitupa.then analaumu una mambo ya kitoto,sijui utamuelewaje!!!!!
 
Mimi ni mtanzania, nilisikitika sana kuona watanzania wenzangu kulichukulia suala la Kenya kuzuia safari za anga kutoka Tanzania kama jambo lililoilenga Tanzania pekee huku tukisahau kuwa Kenya ilizuia karibu nchi zote duniani kutua Kenya na nchi 11 pekee ndio wanaweza kutua Kenya.

Watanzania tunalazimisha sana Kenya watujumuishe kwenye hizo nchi wakati hatukidhi vigezo vyao.

Sababu tunayotumia watanzania ni hafifu sana, eti tunasema kwa kuwa sisi Tanzania tuliwaruhusu watue basi na sisi waturuhusu tutue!

Ni sababu ya kijinga kabisa. Tanzania tumesahau kuwa sisi tulifungua anga letu kwa kila nchi kuja Tanzania (kwa sababu hatuogopi Corona!) sasa tunalazimisha na sisi twende kwao hata kama vigezo vyao vinatukataa.
We jamaaa pimbi nini sisi inahusuni nini sisi tumeamua kuwazuia kenya wasilete corona na sikingine izo zingune niwao wanajistukia sisi atujasema kwakuwa wao wamezui hapana ila tumezuia kwakua wao ni tishio kwa maambukizi afrika mashari usikaze ubongo
 
Duh naona umejishuha kama wenzako humu na kuanza mipasho, ila fahamu corona imebadilisha dunia, watu hawaishi au kuhusiana kwa mazoea tena, Marekani ana undugu sana na Uingereza ila kwa mara ya kwanza walifungiana, na haikua kwa mapenzi yao au chuki ila ni kwa hali ya kila mmoja kulinda afya ya watu wake.
Watu wamefungiana hata kwenye level ya miji na majimbo.
Hili ni tatizo la kisayansi na linakabiliwa kisayansi sio kwa kutegemea matamko ya wanasiasa halafu unataka ulazimishe na kung'ang'ania raia wako waingie kwenye mataifa ya watu bila kufuata taratibu wakati wewe umejichokea hufanyi chochote umetelekeza mbinu zote za kisayansi.
Huna Cha maana kwenye hoja zako...wewe ni mweupe..but arrogant, mjivuni na mwenye majivuno na majugambo..issue ni TZ na Kenya...mnataka ndege zenu zije TZ 'yenye corona'..hamuogopi kuambukizwa?! Stupid guys...
 
Wewe mpuuzi ndio unafanya jamii za kiafrika zinaonekana ni kama mifugo.

Unaelewa hata hoja ya watz wenzako ni kitu gani??au uliamua tu kulala na mafuriko??

Demu wako anaamua kublock number msiwasiliane maana anadai wewe ni malaya,nawewe ili kumsaidia unaamua kusajiri line nyingine ile unaitupa.then analaumu una mambo ya kitoto,sijui utamuelewaje!!!!!
Mkuu akikujib nitag tafadhari
 
MK254 Achaga Ujinga. Wako wapelekee ndugu zako kisumu. Soma kilicho andikwa chini



Nimesema na narudia tena, naelewa kiwango cha elimu kwenu huwa hovyoo na huchukua kuda sana kuelewa chochote, Kenya imeweka kwenye orodha mataifa ambayo yanadhihirisha jitihada zao dhidi ya corona zinafua dafu, jiulize kwanini majimbo fulani ya Marekani, India, Uhispania, Sweden hawapo kwenye hiyo orodha, na kuna mataifa mengi tu bara uropa hayapo. Sasa nyie msiokua na jitihada zozote ila mnang'ang'ania kwa njaa zenu muingie kwenye mataifa ya watu.
 
Hatukatai kwanini katika orodha yote hiyo itajwe Tanzania pekee kulikoni? Mna ajenda gani?ilitosha kutaja nchi 11 mlizozirusuhu haya yote yasingefika hapa
Ilipotolewa orodha ya ndege zinazoruhusiwa kuingia Kenya, na humo Watanzania wakaona zao hazimo, jamaa wamelialia sana ikiwemo hata wale ambao hawajawahi kukaribia uwanja wa ndege na wala hata siku moja hawategemei kuiona ndege wachilia mbali hata kuabiri. Taifa lote kuanzia walalahoi mitaa ya mabandani Tandale, kwenda mikoani vijijini na kote waliifanya kama ndio habari kubwa ya nchi, kila mmoja akawa kama aliyefiwa. Hehehe bandugu zetu huwa mnachekesha sana.

Sasa kwa taarifa zenu, mikakati ya kuzuia baadhi ya mataifa haikufanywa kwa kuzingatia chuki kama mlivyo, tumezuia hata mabeberu USA na washirika wake, maana kwao taarifa za corona hazijakaa sawa, kirusi kinawatesa sana, japo wanatoa taarifa, wanapima na kutoa taarifa, hawajajichokea kama Tanzania ambao wametelekeza zoezi lote na kuachia kila mtu ajiaminishe hakuna corona, aidha ajifie au apone mwenyewe huko atajijua.

Yaani ni kama demu anataka mfanye naye tendo ila hataki mpime UKIMWI, ameng'ang'ania kwamba yeye anajijua yuko sawa na kwamba UKIMWI ni gonjwa la mabeberu na halimhusu na hatoruhusu hata utumie kinga, mfanye naye hivyo hivyo kavu. Watanzania walianza kung'ang'ania mpakani kwamba waingie bila kupimwa, tukakomaa mpaka wakaachia, leo hii wanapimwa na wataalam wetu.

Hii ya ndege pia wameng'ang'ania, sema wataruhusiwa ila lazima tuwapime, ukija Kenya kaa ukijua lazima uwe tayari kupanua mdomo kifaa cha kupima corona kitumbukizwe humo. Hatutaki kuvuna mabua kisa tumecheka nanyi.

========

Kenya has excluded the US and the major European nations from a list of countries whose nationals will be allowed in when international flights resume from tomorrow.

A protocol guiding the resumption of international flights only has Canada, Switzerland, Japan, China and South Korea outside of Africa in the list of 11 countries whose citizens will initially be allowed into Kenya.

This means China is the only country among the top 10 nations that accounted for most of the tourists to Kenya last time that is on the list.

Also on the list are Zimbabwe, Ethiopia, Uganda and, Rwanda, Morocco and Namibia.

The list excludes countries like US, Tanzania, Britain and India, which brought in 743,310 tourists to Kenya or 37.1 percent of the two million travellers.

Source: Business Daily
 
Nimekuja kugungua kwamba unalipwa ili kuichafua Tanzania mitandaoni hakuna point unayoandika zaidi ya maneno ya chuki, kujikweza, majigambo pamoja na majivuno unaendelea kutuonyesha jinsi wakenya walivyo wapenda sifa. Haya mnaweza yotee ila muache kulamba matapishi yenu mkitoa kauli isimamieni msiyumbishwe na maamizi yatakayo chukuliwa na upande wa pili kama mnavyo badili misimamo kila kulicha kwa kuchukua hatua za kukurupuka za viongozi mizigo kwa taifa lenu. Kama una akili utanielewa
Umegundua Leo?
 
Back
Top Bottom