USA miaka ya nyuma niliwahi kunusurika kupigwa risasi na Polisi wa Chicago

USA miaka ya nyuma niliwahi kunusurika kupigwa risasi na Polisi wa Chicago

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Mnaokwenda ughaibuni nawapa muongozo usije kuwa marehemu huko. Miaka 2004 katika utafutaji wangu wa kusafiri niliingia jiji la Chicago nikiwa maeneo ya Northbrook.

Kutokana na umiliki silaha kuwa mkubwa basi polisi wengi kumuamini mtu yoyote ni ngumu yaani polisi akikusimamisha na kama wewe ndio ngozi ya coca cola bora unyooshe mikono juu ufate anavyotaka la sivo kifo ni kubeep.

Nilikuwa sielewi utaratibu wao baada ya kuhisiwa kilichonitokea walipiga kale kasilaha ka shoti
 
hako ka shoti walikupiga shoti ya wapi...??😂
 
Ndoto yangu maishani (lifetime wish)nikupigwa shaba nakuonja ladha ya shaba.

I just want to feel the taste of lead and the room temperature challenge.

Lord help me my wish to be fulfilled maamaee!

miviga
 
Ndoto yangu maishani (lifetime wish)nikupigwa shaba nakuonja shaba yake.

I just want to feel the taste of lead and the room temperature.

Lord help me my wish to be fulfilled maamaee!

miviga
UZURI WA KULE SILAHAA INAUZWA KAMA MADUKA YA SIMU KARIAKOO YANI KIGEZO NA MASHARTI UWE NA AKILI KAMA ZA SABAYA
 
Back
Top Bottom